

Producer
mkongwe wa muziki wa Bongo Flava Master Jay, amesema tuzo
wanazoshiriki wasanii wetu nje ya nchi haziwasaidii katika kutanua wigo
wa kibiashara wa msanii wa Tanzania huku wakitumia ghara kubwa
kutengeneza video zenye ubora ili...

Pamoja na kuwa ni watoto wa baba tofauti, watoto wa kiume wa Zari
wamempokea kwa furaha kubwa Tiffah, mtoto wa Zari the Bosslady. Zari
kwenye picha hii ameandika: If anybody ever said perfect doesn’t exist,
they were wrong. It surely does!!!! Look at my ‘perfect’ lil life




