Pages

Pages - Menu

Thursday, September 20, 2018

STEVE NYERERE AOMBA SOUDY BROWN NA MAUA SAMA WAPEWE DHAMANA



Wakati msanii wa muziki, Maua Sama pamoja na mtangazaji wa kipindi cha Shilawadu, Soudy Brown wakiendelea kusota rumande huku wasanii wengi wa kionekana kuwa kimya, Alhamisi hii muigizaji Steve Nyerere ameibuka na kuamua kulizungumzia sakata hilo.

Steve ameomba wadau hao wa sanaa kuachiwa halafu waje kuomba msamaha kwa wananchi kwa...