Pages

Pages - Menu

Saturday, May 21, 2016

DIAMOD ATAJWA KUWANIA TUZO ZA BET 2016


diamond89
Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa, mwaka huu 2016. Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo.Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.

No comments:

Post a Comment