Orodha ya wasanii wanaotoka katika kundi la ukapera inazidi kupungua kila kukicha – Alikiba anadaiwa kutaka kufuata nyayo hizo.
Msanii huyo ametajwa kutaka kufunga ndoa na mrembo huyo aliyefahamika
kwa jina la Amina kutoka mjini Mombasa nchini Kenya, Ijumaa ya wiki hii. Kwa mujibu wa chazo chetu kimesema kuwa... taarifa hizo ziliaza kusambaa
baada ya Abdu Kiba kutumbua jibu wiki iliyopita wakati akifanya
mahojiano na gazeti moja la huko Kenya.
Hata hivyo inafahamika kuwa Alikiba amekuwa akienda mara kwa mara
Mombasa kutokana na kuwa na ukaribu na Gavana wa mji huko, Joho.
No comments:
Post a Comment