
Aliyekuwa mume halali wa muigizaji wa filamu bongo Irene Uwoya, mcheza soka kutoka nchini Burundi Hamad Ndikumana, ameonyesha kujibu mapigo baada ya mwenza wake kuonekana kuolewa, kwa kupost picha akiwa na mwanamke mwengine.
Kwenye
ukurasa wake wa instagram Ndikumana amepost picha hizo, huku akiandika
ujumbe kama ambao unaonekana ni kurusha vijembe kwa mwenza wake huyo,
ambaye...








Norway inasema kuwa kundi la watafutaji limepata mabaki ya ndege ya
Urusi aina ya helikopta, ambayo ilianguka baharini ikiwa na watu 8 ndani
yake.

































Follow on Instagram