skip to main |
skip to sidebar
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa
staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa
laivu wakijiachia kwa raha zao. Kwa mujibu wa chanzo,kigogo huyo ni mtu
mwenye fedha zake aitwaye Jimmy...
Yakiwa yamebakia masaa machache tu ile party iliokua ikisubiriwa kwa hamu
Zari All White party kufanyika jijini Dar.
Pati ambayo imeandaliwa na Zari aka Mrs Chibu Dangote pamoja na mpenzi wa
zamani wa Wema Sepetu bwana Diamond Platnumz aka Chibu Dangote.
Madam Wema Sepetu nae akaona alipize kisasi kwa kwenda kufaya party yake
jijini...
Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, ameeleza kuwa
endapo staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford ambaye sasa hivi wanapika na
kupakua, atamuonesha utulivu na uaminifu hataona sababu ya kutomuoa.
Nay aliyasema hayo juzikati alipokuwa akizungumzia mipango yake na Shamsa
ambaye amejiweka kwake baada ya...
STAA wa Bongo Fleva nchini, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' amefunguka
kuwa tayari amemvalisha pete ya uchumba mpenzi wake Zarinah Hassan
'Zari' na anatarajia kupata mtoto wa kike mwaka huu. Diamond aliyaongea hayo hivi punde katika Exclusive One on One Interview
ya...
Kwa Mujibu wa chombo kimoja cha habari inasemekana Baba Mzazi wa Diamond,
Mzee Abdul Juma Hali yake si nzuri kiafya kwani anasumbuliwa na Ugonjwa wa
miguu kiasi cha kuwa ni mtu wa kulala tu hajiwezi.
Baba huyo wa Diamond Amedai kuwa Mtoto wake Diamond...
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amewaacha njia panda
mashabiki ‘kindaki ndaki’ wa Wema sepetu maarufu kama team Wema baada ya
kuweka ‘screenshot’ ya ujumbe wa tangazo la pati ya mwanadada Zari
inayofahamika kama Zari All While Party.
Aunt alibandika picha hiyo (hapo juu) na kuandika maneno haya kuonyesha kuwa...
Staa wa filamu za Kibongo,Wema Sepetu amekiri kufunga ndoa bomani hivi
karibuni ambayo ilihudhuliwa na watu wachache. Akizungumza na Clouds FM
alisema kuwa aliamua kufunga ndoa ya siri kwa kuogopa kupigwa 'juju' na
mumewe angeshindwa kumuoa.
‘’Mume wangu ni Mtanzania na siyo maarufu na ndoa yangu ilihudhuliwa na...