Kisa cha mwanafunzi mmoja wa chuo
kikuu nchini Tanzania kuuwawa kwa risasi wakati polisi ya nchi hiyo
ilipokuwa ikitawanya kile walichokiita mkutano usio halali wa wafuasi wa
upinzani kimeibua maswali na hisia kali miongoni mwa umma juu ya
kiwango cha nguvu ambacho polisi hutumia wanapokabiliano na
waandamanaji.
Maelezo ya kifo cha msichana huyo yamedai hakulengwa
moja kwa moja kwa sababu hakuwa sehemu ya waandamanaji wala kitisho kwa
usalama, Lakini polisi wameshutumiwa kwa kutumia risasi za
moto zilizosababusha kifo chake. Polisi wenyewe wanasema...