Pages

Subscribe:

Thursday, March 1, 2018

MATONYA AFUNGUKA ISHU YA KUKAMATWA NA MADAWA NCHINI CHINA

Matonya amefunguka kuhusu tuhuma zilizosambaa kuwa amekamatwa na Madawa ya Kulevya nchini China akisisitiza kuwa sio kweli na wala yeye hajawahi kujihusisha na biashara hiyo kwenye maisha yake. 

Mkali huyo wa Bongofleva amesema taarifa hizo zilimkwamisha sana kwenye mipango yake mingi pamoja na mama yake kuumizwa nazo kiasi cha kumpigia simu na...

BIRDMAN: NICKI MINAJ NDIYE RAPA BORA WA HIP HOP KWA SASA


Big Boss wa Cash Money Records, Birdman amemmwagia sifa rapa Nicki Minaj na kusema kuwa ndiye rapa bora wa kike kwa sasa.

Birdman ametoa sifa hizo kwa Nicki na kusema kuwa ni ‘Best female in hip hop’ wakati wa mahojianao aliyokuwa akifanya na jarida la Rap-Up  hivi karibuni.
“I always say she’s the best ever, best female ever in...

KOLABO YA ALIKIBA NA YVONE CHAKA CHAKA KUACHILIWA HIVI KARIBUNI


Mashabiki wamekuwa na shauku ya kutaka kujua iwapo kolabo ya Alikiba na mwanamuziki mkongwe wa Afrika Kusini, Yvonne Chaka Chaka ipo mbioni kutoka.

Hii ni baada ya Yvonne Chaka Chaka kuposti katika ukurasa wake wa Instagram ujumbe alioandikiwa na Alikiba, ujumbe huo ulisema; I love you Mom Chacha Chaka. Baada ya ujumbe huo Yvonne Chaka Chaka akajibu...

VIDEO YA UTUPU YA ERIC OMOND YAMUWEKA PABAYA


Mchekeshaji maarufu kutoka nchini Kenya, Eric Omondi amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuachia video ikimuonesha akiongelea kwenye mto akiwa mtupu na watoto wadogo. Kwenye video hiyo Omondi anaonekana akioga akiwa mtupu huku watoto wadogo ambao kwa muonekano wao ni makadirio ya chini ya miaka 10.

Baada ya kuposti video hiyo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, alianza kushambuliwa na mashabiki wake na wanaharakati nchini Kenya wakitaka aburuzwe mahakamani kwa...

ROMA: NAMUONEA HURUMA MAMA ANAYEZAA WA MSHONO HATA KWA KUSUKUMA

Rapa Roma Mkatoliki ambaye mpaka sasa anatamba na wimbo wake 'Zimbabwe' amekuwa miongoni mwa watu walionesha hisia zao za kuguswa na maisha wanayopitia wanawake katika nyanja zote na kudai anawaonea huruma sana japokuwa anawapenda kupita maelezo. 

Roma amebainisha hayo kupitia ukurasa wake maalumu wa kijamii ikiwa kama ishara ya kuonesha mapenzi yake aliyokuwa nayo katika kuelekea siku ya...

BARNABA: NAJISIFU KWA KUWA NA SAUTI AMBAYO IMEKUWA SEHEMU YA BURUDANI

Mwalimu na mwanamuziki wa bongo Fleva, Barnaba Elias 'Barnaba Classic' amefunguka na kurusha jiwe gizani kwa kusema hakuna kitu ambacho anaweza kuwalipa watu waliomtendea mema na hata mabaya mpaka kufikia sasa alipo. 

Barnaba alimetoa kauli hiyo kwenye ukurasa wake maalumu wa kijamii mchana wa juzi baada ya kile kinachodaiwa na watu wengi huenda maneno hayo aliyoyatoa bado yanamlenga...

BELLE 9 AWASHANGAA BASATA KWA KUMFANANISHA NA ROMA MKATOLIKI

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Abernego Damiani maarufu kama 'Belle9' ambaye anatamba na wimbo wake mpya 'Mfalme' ameshangazwa na BASATA kushindwa kulitambua jina lake na kudai kitendo hicho hakina tofauti na baba asiyejua majina ya watoto wake. 

Belle amebainisha hayo ikiwa imepita siku moja tokea kwa BASATA kupeleka orodha ya nyimbo 15 zisizokuwa na maadili kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ambazo zina...

LINAH SIPO TAYARI KUFUNGA NDOA MUNGU TUSAMEHE TUNAZAA NJE YA NDOA

Msanii wa Bongo Fleva Linah Sanga maarufu kama 'Ndege Mnana' amefunguka na kudai hayupo tayari kufunga ndoa na Shaban Mchomvu (mwanaume aliyezaa na Linah) kwa sasa kutokana na kuwepo kwa baadhi ya vitu vinavyowakwamisha kufanya hivyo. 

Linah amebainisha hayo kwa kusema "Suala la ndoa zito sana, sina maana nakataa kuolewa na mzazi mwenzangu ila mambo ya ndoa sio ya kukurupuka japo natamani kuolewa kwa kuwa...

NGOMA YA HAVANA YA CAMILA CABELLO NA YOUNG THUG YAZIDI KUWA TISHIO

Image result for CAMILA CABELLO - HAVANA
Havana ni moja kati ya ngoma zinazo tikisa kwenye ulimwengu wa muziki kwa sasa Ngoma imefanywa na Camila Cabello mwana dada kutoka Mexico ft young thug kutoka Marekani ngoma imetoka tarehe 3 August 2017 mpaka sasa ni wiki ya 4 mfurulizo inaendelea kushika nafasi ya 4 kwenye chat ya top 100 ya ngoma zinazo fanya vizuri duniani kwenye mtandao wa Billboard.

kwa upande mwingine kama vile YouTube ngoma hii mpaka sasa Video yake imetazamwa na watu million Mia tano Thelathini na tatu, ishirini na nane elf na...

MITINDO: FISHTAIL BROWS NDIYO HABARI YA MJINI KWA WADADA WA SIKU HIZI


Fishtail Brows by @negrilamircea 😍🐠

Since the Boom of Beauty influencers,instagrammers,bloggers ambao wanaongezeka  kwenye social media kila siku tunapataka kuona new beauty trends ambazo zinakick sana kwenye mitandao ya kijamii especially instagram.

Sasa hivi from different hair trends to makeup trends tushaona kila beauty trends zingine zinakua so weird and hazina hype kubwa ila uzuri...