Pages

Subscribe:

Friday, March 2, 2018

Download: Feza Kessy ft Dammy Krane_Simple


Download

ROMA AFUNGIWA KUFANYA MUZIKI KWA MIEZI 6

Msanii wa muziki wa Hip Hop bongo Roma Mkatoliki amefungiwa kufanya shughuli za muziki kwa muda wa miezi sita kwa kile kilichodaiwa msanii huyo kudharua wito wa BASATA na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Akiongea na waandishi wa habari Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Juliana Shonza amesema kuwa amechukua maamuzi hayo kutokana na kumwita msanii huyo ili aweze kufika kwenye mkutano huo lakini...

WANASAYANSI WAGUNDUA ROBOT YA KUTENGENEZA THAMANI ZA NDANI

Watafiti nchini Marekani wameongeza uhodari na shughuli zinazoweza kufanywa na robot, ambapo siku za hivi karibuni roboti  ameongezewa uwezo na sasa anaweza kutengeneza samani za ndani (furniture) jambo linaloaminika kuwa litaongeza usalama.

Timu ya watafiti kutoka Taasisi ya Teknolojia ya Massachusetts’ (MIT) wameongeza uwezo huo wa robot kufanya kazi ya kutengeneza samani, sio kwa maana ya mafundi seremala bali kuwafanya...

MTOTO WA AJABU AZALIWA NCHINI UINGEREZA

Mwanamke mmoja nchini Uingereza, ambaye ametambuliwa kwa jina la Sarah amekuwa gumzo kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii nchini humo baada ya kujifungua mtoto baaada ya kuugua saratani ya matiti.

Kutokana na ugonjwa huo madaktari walimwambia kuwa hawezi tena kushika ujauzito na kuzaa mtoto, na kwamba nafasi yake ya kuzaa ni asilimia 1 tu, lakini cha kushangaza ni kwamba...

Watch & Download: Navio x Vanessa Mdee_Nielewe (Official Video)


Watch Here

DIAMOND PLATNUMZ KUSHIRIKI KTK WIMBO MAALUM WA KOMBE LA DUNIA


Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz anatarajiwa kushiriki katika wimbo maalumu wa Kombe la Dunia. Wimbo huo utakuwa unawakilisha bara la Afrika. 

Wimbo huo ambao umedhaminiwa na kampuni ya vinywaji baridi ya Coca-Cola, Diamond atashirikiana na wasanii wengine kama Sami Dani kutoka Ethiopia, Ykee Benda kutoka Uganda na...

RAY ATOA SOMO KWA WANAOOGOPA KUNYONYESHA KISA MAZIWA YATALALA


Msanii wa filamu Bongo, Ray Kigosi ametoa somo zito kwa wadada wanaonyonyesha watoto.

Muigizaji huyo amesema amekuwa akipokea jumbe nyingi kutoka kwa watu mbali mbali zikimtaka kueleza siri ya mtoto wake na Chuchu Hansy, Jaden kukua haraka na kuonekana mchangamfu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Ray amekuwa na haya ya kusema...

SIMBA AKAMATIKA UWANJA WA MCHINA AAMBULIA SARE



Kikosi cha timu ya Simba kimelazimishwa sare ya bao 3 – 3 dhidi ya timu ya Stand United mchezo wa ligi kuu soka Tanzania uliyopigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Waliyo funga mabao kwa upande wa kikosi cha Simba ni Asante Kwasi, Nicolas Gyan na Laudit Mavugo wakati kwa upande wa Stand United wakiwa ni...

NAY WA MITEGO KUACHIA MIKONO JUU RMX BAADA YA NGOMA ZAKE KUFUNGIWA



Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego amewataka mashabiki wake wa muziki nchini kusubiria remix ya wimbo ‘Mikono Juu’ ambao umefungiwa na Naibu Waziri wa Habari, Juliana Shonza kwa kigezo cha maadili.

Rapa huyo mchana huu amewauliza mashabiki wake kama aachie remix ya wimbo huo au la!. “Unadhani Tuachie Goma Lingine Au Tuache #MikonoJuu Iindelee Au Tufanye Remix,” aliandika Nay wa Mitego kupitia...

P DIDDY APINDULIWA NA JAY Z KTK NAFASI YA KWANZA KUWA MSANII MWENYE PESA ZAIDI

March 2, 2018 Forbes imemtaja rapper Jay Z kuwa na utajiri wa Dola Milioni 900 na kumfanya kumshinda Rapper  P Diddy ambaye amekuwa akishikilia nafasi hiyo kwa miaka takribani saba.

Vitu vilivyomuingizia Jay Z pesa ni pamoja Tidal, mauzo ya Album, ziara zake za muziki, label ya Roc Nation, Roc Nation Sports, na vinywaji vya...