Pages

Subscribe:

Friday, February 23, 2018

VITU VYA JIKONI VINAWEZA KUBADILI MWONEKANO WA NGOZI YAKO YA GOTI NA VIWIKO

Unaweza kua na ngozi laini sana kwenye uso wako au mwili kwako lakini linapokuja swala la viwiko vya mikono/elbows au magoti case inakuta tofauti sana sababu unakuta kunakua na weusi,roughness na hata kua na vipele au unakuta pamebabuka/ngozi kutoka toka ,simply sio palaini. 

Haya ni matatizo ya kila siku na wanawake wengi ni swala linalotukumba wengi wetu.Wengine hadi kufikia kuficha sehem hizi za mwili sababu zinawa aibisha au...

Instrumental: Moni Centrozone x Country Boy_Mwaaah


Download

Watch & Download: Tekno_Anyhow (Official Video)


Watch Here

MR. T TOUCH: NIMETIMIZA NDOTO ZANGU KWENYE MUZIKI KWA KIASI FULANI

Producer ambaye kila siku anatoa hits hapa Bongo, Mr. T Touch amesema yale aliyofanikisha katika muziki ni machache ukilinganisha na kile alichodhamiria. Mr. T amesema iwapo hadi sasa kama muziki umeshampatia faida anayostahili hawezi kuwa na takwimu za moja kwa moja ila kuna kitu ambacho bado anakihitaji.

“Mimi naona nimetimiza ndoto zangu kwa asilimia ndogo kwa sababu vitu ambavyo naviwaza kuvitimiza ndani ya muziki naona ni...

Download: North Boy_Najimix


Download

Watch & Download: BillNass_Tagi Ubavu (Official Video)


Watch Here

Download: Marioo_Shilingi Ngapi


Download

FA KUMPA ADHABU GUARDIOLA BAADA YA KUUNGA MKONO MAANDAMANO YA CATALAN



Kocha wa Club ya Man City ya England Pep Guardiola amejikuta akiingia matatizoni na chama cha mpira cha England FA, baada ya kuonekana akisapoti jimbo la Catalonia la nchini Hispania kudai uhuru wake kuwa kama nchi uhuru.

Pep Guardiola ni miongoni mwa wahispaniola wanaounga mkono jimboa la Catalonia kujitenga na Hispania na kupata uhuru kama nchi lakini baada ya kuonekana Pep Guardiola katika baadhi ya mechi zake ameonekana akivaa...

WANA SAYANSI WAWEKA WAZI CHANZO CHA UGONJWA WA KUTOA MACHOZI YA DAMU

Kuna magonjwa mengi duniani na mengine mapya huibuka kila siku huku mengine yakipatiwa tiba na mengine tiba zake zikiendelea kutafutwa na wataalamu wa afya. 

Inawezekana wewe ni moja kati ya wengi ambao hawajawahi kusikia ugonjwa wa kutokwa Machozi ya Damu, Wataalamu wanasema kuwa kupitia uchunguzi walioufanya wamegundua kuwa ugonjwa huu unatokana na...

HAWA NDIYO MASTAA WA BONGO FLAVA WALIOWEKA HADHARANI MAHUSIANO

Kuna msemo unasema kila katika mafanikio ya mwanaume basi jua nyuma yake kuna mwanamke imara, leo naomba nikusogezee TOP list ya mastaa wa Bongofleva ambao wameamua kuweka wazi mahusiano yao.

Mastaa wa muziki wa Bongofleva wapo wengi katika mahusiano ya kimapenzi lakini sio kila mmoja ameamua kuyaweka wazi mahusiano yake, ukiachilia mbali wasanii ambao tunafahamu kuwa wameoa, hii ndio TOP list ya mastaa wa Bongo ambao...