Pages

Subscribe:

Wednesday, March 14, 2018

DOGO JANJA: UWOYA NDIYE ALIANZA KUNIVISHA VITU VYA KIKE NA KINIPAKAA MAKE UP

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Dogo janja ambaye sasa hivi ameachia video ya wimbo wake mpya wa 'Wayu wayu' na kuacha gumzo kwa mashabiki kwa kuvaa uhusika wa mwanamke, na kusema kuwa mke wake ndiye alimfanya awe hivyo. 

Akizungumza, Dogo Janja amesema mke wake ambaye ni muigizaji wa filamu za bongo, Irene Uwoya, ndiye alianza kumfanyia make up wakiwa mapumzikoni Zanzibar, na kumvalisha vitu vya kike, ndipo...

Download: Don Pol_Nani Hakosei


Download

Watch & Download: Angel Benard_Utukumbuke (Official Video)


Watch Here

Download: Marioo_Bure


Download

DAVIDO AMKUMBUKA RAFIKI YAKE ALIYE DAIWA KUMUUA


Siku ya jana msanii wa muziki Davido ametumia mtandao wa kijamii wa Instagram kufanya kumbumbu ya Tagbo Umeike ambaye ni rafiki yake.

Mkali huyo ambaye kwa sasa ana tour ya ’30 Billions Africa’ ametumia mtandao huo upande wa Instastory kumkumbuka swahiba wake huyo aliyefariki...

SHAMSA: MAHUSIANO YA MASTAA HUWA HAYADUMU SABABU HUWA WANALETA USTAA


Msanii wa Filamu Bongo, Shamsa Ford amefunguka sababu ya baadhi ya mstaa hasa wa kike kutodumu katika mahusiano.

Muigizaji huyo amesema mahusiano ya watu maarufu hayadumu kutokana wanaingiza umaarufu wao katika mahusiano yao. Kupitia ukurasa wake Instagram Shamsa ameandika; “Nimegundua mahusiano mengi ya watu maarufu hayadumu kwa sababu...