Barnaba amesema kuna wasanii kila mara ni kusema kuweni tayari kwa ujio wangu hadi inafika wakati unajiuliza tuwe tayari mara ngapi? na kuongeza kuwa muda mwingine kutokuongea kuna...
Friday, June 2, 2017
BARNABA: KAMA HUNA CHA KUONGEA KAA KIMYA
Barnaba amesema kuna wasanii kila mara ni kusema kuweni tayari kwa ujio wangu hadi inafika wakati unajiuliza tuwe tayari mara ngapi? na kuongeza kuwa muda mwingine kutokuongea kuna...
Labels:
HABARI & UDAKU
FELLA AWEKA WAZI SABABU ZA JUMA NATURE KUFELI KWA SASA KIMUZIKI
Kundi ambalo baadaye lilikuja kugawanyika na kuibua makundi mawili ambayo ni TMK Wanaume Family na TMK Wanaume Halisi ambapo Juma Kassim Kiroboto ndiye ambaye alikuwa kiongozi wa TMK Halisi ambao...
Labels:
HABARI & UDAKU
MSANII KUTOKA AFRICA AKABIDHIWA JUKWAA LA BET 2017
Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika katika jiji la (L.A)Los Angeles nchini Marekani katika ukumbi wa Microsoft Theater , Hata hivyo msanii tokea bara la Afrika Wizkid nae ametajwa katika watu watakao weza kushiriki kutoa burudani kwenye Tuzo hizo kubwa huku list hiyo ikiwa na...
Labels:
HABARI & UDAKU
ASLAY AWA CHANZO CHA KILA MMOJA YAMOTO BAND KUCHOMOKA KIVYAKE
Akizungumza na EA Radio katika kipindi cha Planet Bongo, msanii Beka amesema baada ya Aslay kuchukua hatua hiyo nao walishawishika kufanya hivyo ndipo...
Labels:
HABARI & UDAKU
Subscribe to:
Posts (Atom)