Serena amerudi uwanjani kucheza michuano ya Fed Cup Asheville USA lakini amezichukua headlines kufuatia kujitokeza uwanjani hapo mume wake na...
mtoto wake Alexis Olympia.
Mchezo huo ulihudhuria na kufuatiliwa na watu mbalimbali lakini kitendo cha mume wa Serena anayejulikana kwa jina la Alexis Ohanian alikuwa uwanjani hapo akiwa kambeba mtoto na kumnywesha maziwa wakati Serena akiwa anacheza kimewavutia wengi.
VIDEO



Follow on Instagram
0 comments:
Post a Comment