Muigizaji wa filamu mwenye nyota yake bongo na Afrika Mashariki Wema
Sepetu, amedai amevumilia matusi vya kutosha anayotukanwa na kupitia
mitandao ya kijamii bila kosa lolote hivyo kwa sasa ataenda nao hatua
kwa hatua.
Wema
Sepetu ametoa kauli hiyo alasiri ya jana (Machi 16, 2018) baada ya
baadhi ya watu kupenda kumtolea maneno machafu na kumdhihaki kwa jambo
ambalo yeye...