Kila kukicha walimwengu wanakuja na yao, yapo yanayohuzunisha na yale yanayofurahisha kama ilivyo lengo la safu hii, ni kukuacha ukifurahi tu kama si kupigwa na butwaa.
Zamani ilikuwa ni vigumu kumkuta mtu amesimama katika maeneo ya makaburi na hii ilikuwa ikiwahusu sana wale watu ambao wamekuwa na hofu ya kufa. Ndiyo maana...