Rapa Godzilla amekanusha kuwekwa ndani kimapenzi na aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Fm, Dee Andy.
Kupitia mtandao wa twitter Godzilla amebainisha suala hilo halipo kama lilivyoandikwa kwenye mtandao flani ya kijamii. “Mwambieni yuke boya aliyeandika Jamii Forum nakaa ndani tu kisa Doreen this is...
my family now go play,” alitweet King Zilla.
0 comments:
Post a Comment