Siku za nyuma kidogo Country Boy alisema kuwa moja ya kitu klichoua muziki wa msanii babu wa kitaa ni kutokana na kuendekeza starehe na kulewa umaarufu na ndio maana ameshindwa kuendelea na muziki wake.
akiongea na radio clouds fm ,Babu wa kitaa alikiri kuwa usemi wa ndugu yake Country Boy ni kweli na kwamba...