Meneja wa Dj maarufu wa nchini Morocco, DJ Van, amesema ushirikiano
ulioanzishwa
kati ya nchi yake na Tanzania baada ya mfalme wao Mohammed V
kuja nchini hivi
karibuni, una nafasi nzuri kwa wasanii wa nchi hizo
kushirikiana pia.
kuwa baada ya kusikia taarifa kuwa wananchi wa Morocco wanaweza kuja Tanzania bila visa, walifurahi na kwamba watakuja kwa wingi.
“Sanaa na utamaduni huwaweka watu karibu, hivyo kama tutaweza kufanya kitu na Diamond bila shaka, itafungua connection kati ya Tanzania na Morocco,” alisema Haddadi. “Itafungua milango kwa watu katika nchi yenu na kwa watu wangu pia,” ameongeza.
Janatte Haddadi (kulia) akiwa na wenzake kutoka nchini Morocco kwenye tuzo za
Afrima, Haddadi amedai kuwa ni muhimu sasa kukawepo na ukaribu wa kumuziki
katika nchi za Afrika Kaskazini na zingine za Kusini, Mashariki na
Magharibi.



Follow on Instagram
0 comments:
Post a Comment