Pages

Subscribe:

Friday, November 11, 2016

JUX AWACHANA MTV ADAI HATA POLLS ZA KURA KWENYE MAMA ZINGEANIKWA BASI DIAMOND ANGETWAA TUZO


Ushindi wa tuzo ya Alikiba kwenye tuzo za MTV EMA ambayo awali alipewa Wizkid umefichua mambo mengi kiasi cha kuanza kuwapa wasiwasi wasanii wa Tanzania.

Jux ameamua kufunguka ya moyoni kwa waandaji wa tuzo hizo, huku akiwalaumu kwa kuacha watu wapige kura huku washindi wanawapendekeza bila ya hata kuzingatia kura za mashabiki. Jux anaamini kama zoezi la...
upigaji kura kwenye MTV EMA lisingekuwa wazi Alikiba asingeshinda tuzo ambayo anastahili.

jux

juxmond
Jux pia amesema polls za upigaji kura kwenye tuzo za MAMA’s nazo zingekuwa wazi basi tuzo hizo zingerudi nyumbani, amedai kuwa anaamini Diamond alishinda lakini walimpa Wizkid.

0 comments:

Post a Comment