Pages

Subscribe:

Sunday, September 10, 2017

AFYA: YAJUE MAGONJWA 16 YANAYO TIBIKA KWA KULA NDINZI

Image result for Banana
Ina vitamini A,B na E pia ina madini ya iron, potassium, calcium, sodium, magnesium, silicon, phosphorous, surphur na chlorine. 
 
Msaada wake mwilini 
Hupigana na magonjwa ambayo huja na maji mwilini 
Husaidia watu wadhaifu 
Husaidia udhaifu wa tumbo au mwili 
Inasaidia sana kuponya ugonjwa wa kifua kikuu 
 
Pia huponya magonjwa kama:...
Rheumatism
Arthritis
Gout
Constipation
Diarrhoea
Gallstone
Chest
Kidney
Small intestine
Neva
Kuvimba miguu 
 
Unene unaweza kuondoka kwa kuacha kula kila kitu isipokuwa ndizi

Tumia ndizi 10 hadi 15 mara 3 kutwa,
 baada ya dozi hiyo, rudia kula ndizi 5 hadi 10 mara 3 kutwa,
baada ya dozi hiyo rudia kula ndizi 2 tu kwa kila mlo.
Matokeo yatakuwa wazi baada ya kumaliza dozi hiyo.

Tumia ndizi pia kusafisha damu, wengine damu huchafuka na acid na pia ulaji mbaya. Sasa dawa ya kusaidia ni ndizi. Maji ya mgomba wake hutumiwa kwa kuponyesha hermorrhoids (pile) kwa kupaka, na hata kwa kunywa ikiwa yamechanganywa kwa nephritis.

USHAURI
Ndizi isiliwe na mboga za majani (usababisha kiungulia)
Ndizi isitiwe mafuta mengi
Usile ndizi na pombe (usababisha kiungulia)
Ndizi isitumiwe mara 1 kwa wingi.

0 comments:

Post a Comment