Pages

Subscribe:

Thursday, February 15, 2018

ZARI ASHEREHEKEA VALENTINES DAY KWA KUMPIGA CHINI DIAMOND PLATNUMZ


February 14,2018 ni siku ambayo inafahamika kama siku ya wapendanao (Valentine Day) na hivyo wengi husheherekea siku hii wakiwa na wapenzi wao na hupokea zawadi tofauti tofauti kama maua n.k.

Ila kwa upande wa mzazi mwenzake Diamond Platnumz ambaye ni Zari the bosslady ambaye wengi walitegemea kuwa huenda Diamond Platnumz atakua na mzazi mwenzake huko Afrika Kusini lakini...
imekuwa ndivyo sivyo.
 
Kupitia snapchat account ya Zari amepost maneno haya “Happy Valentine’s ni siku ya kawaida kwangu, kwenye kusaka pesa”

Maneno haya ya Zari kupitia snapchat yake yametafsirika kuwa huenda Diamond Platnumz na Zari hawako sawa mpaka sasa kutokana na tetesi zinazoendelea kuhusu Wema Sepetu kuwa karibu na Diamond Platnumz.


Understand that this is very difficult for me to do. 
There have been multiple rumors some with evidence floating around in ALL SORTS of media in regards to Diamond’s constant cheating and sadly I have decided to end my relationship with Diamond, as my RESPECT, INTEGRITY, DIGNITY & WELL BEING  cannot be compromised. 
We are separating as partners but not as parents. 
This doesn’t reduce me as a self-made individual, and as a caring mother, and the boss lady you have all come to know. 
I will continue to build as a mogul, i will inspire the world of women to become boss ladies too. 
I will teach my four sons to always respect women, and  teach my daughter what self-respect means. 
Unlike many, I’ve been in the entertainment industry for 12 years, and through all my challenges I came out a victor because I am a winner, and so are all of you Zari supporters. 
HAPPY VALENTINE'S
Huku kupitia ukurasa wake wa Instagram Zari amepost picha ya ua Rose lililo sinyaa na kuandika ujumbe mreefu ulio semeka hivi:
  
Understand that this is very difficult for me to do.
There have been multiple rumors some with evidence floating around in ALL SORTS of media in regards to Diamond’s constant cheating and sadly I have decided to end my relationship with Diamond, as my RESPECT, INTEGRITY, DIGNITY & WELL BEING cannot be compromised. 

 
We are separating as partners but not as parents.
This doesn’t reduce me as a self-made individual, and as a caring mother, and the boss lady you have all come to know. 

 
I will continue to build as a mogul, i will inspire the world of women to become boss ladies too.
I will teach my four sons to always respect women, and teach my daughter what self-respect means. 

 
Unlike many, I’ve been in the entertainment industry for 12 years, and through all my challenges I came out a victor because I am a winner, and so are all of you Zari supporters.
HAPPY VALENTINE'S

0 comments:

Post a Comment