Wiki iliyopita iliripotiwa habari ya
shimo kubwa lilitokea baada barabara kuporomoka ghafla katikati mwa
moja ya miji mikubwa zaidi nchini Japan.
Ilielezwa kuwa Mporomoko huo ulianza
kwa mashimo mawili madogo ambayo baadaye yalianza kupanuka hadi kuwa
shimo kubwa lenye kina cha...
mita 30 na upana wa futi 98.


Follow on Instagram
0 comments:
Post a Comment