skip to main |
skip to sidebar
DIAMOND APATA NOMINATION YA MTV EUROPE.. MASHABIKI WA KIBA WATIA AIBU
Msanii na hifadhi ya taifa Diamond
Platinumz amepata nomination ya best African act katika tuzo za MTV
Europe awards zitakazofanyika Milan Italy. Diamond amepita bila kupingwa pamoja na
Davido, Yemi Alade, na Aka uku imebakia nafasi moja ya nominee ambapo
ushindani ni kati ya Casper nyovest, wiz kid, DJ Arafat, K.o na... stone
boy ambao mshindi atapatikana kutokana na kupata tag nyingi za
mashabiki.#inominatecaspernyovest
Wakati huo huo Katika hali ya
kuhuzunisha na kustabisha mashabiki wa kiba wameamua kulilia nomination
za MTV Ema kwa kuanzisha tag zao eti nomintee Kiba wakati kiba video ya
chekecha haijawahi pigwa MTV
0 comments:
Post a Comment