![post-feature-image](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiXZ6Zd0-aKMvMA10uGuyRUcyuabfgW6zYHamNvYr4w6ezYPRIpndE0PkoQ28upz_uglCCETiVyqqxhYDNYBpEtb35Mbz1icXfrjvhpkw5aHmSH4qO2EJuHzHAugpTcP8JL5Ijnub3RrX4/s640/mary+u.jpg)
Hatimaye Diamond na Ne-Yo wameshoot video ya wimbo wao, Marry You. Video imefanyika jijini Los Angeles, Marekani. Wimbo huo ulirekodiwa kitambo baada ya Diamond kumfuata Ne-Yo Nairobi alikoenda kwenye kipindi cha Coke Studio Afrika, msimu wa tatu.
Baada ya hapo wawili hao walikutana tena Marekani kumalizia baadhi ya vipande. Mwezi May, Ne-Yo na Diamond waliuimba wimbo... huo pamoja kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, kwenye tamasha la Jembeka.
Tazama Video Hapa:
0 comments:
Post a Comment