Pages

Subscribe:

Saturday, January 13, 2018

HUU NDIYO USAJIRI BORA WA MAN UTD MUDA WOTE KUWAHI KUTOKEA

Related image
#1Eric Cantona - 1992 - paundi milioni 1.2 kutoka Leeds United
Msimu wa 1992 Manchester United waliuanza kwa kufanya sajili mbili, Dion Dublin kutoka Cambridge United na Erick Cantona kutoka Leeds. Dublin alikuwa chaguo la pili kwa Ferguson baada ya kushindwa...
kumnasa Alan Shearer ambaye alijiunga na Blackburn Rovers. 

Hello ...
#holà #gm #ggmu #mufc #cantona #theking #eric #cantona_276 #cr7 #paris #madrid #manchester #lisbon #mu #manunited #football #ronaldo #messi #neymar #psg #king #united #uk #us

Dublin aliishia kufunga goli mbili kwenye Ligi kuu kabla ajaondoka Old Trafford 1994 lakini kwa upande wa Cantona mambo yalikuwa tofauti kwani alikuja kufanya mambo makubwa Old Trafford. Katika miaka 5 ya alifanikiwa kushinda mataji mann4 ya Ligi Kuu, manne ya kombe la Carling na mawili ya FA.
 
#2Roy Keane - 1993 - paundi milioni 3.75 kutoka Nottingham Forest 
I miss him in the modern game 😔⚽️❤️ #football #soccer #mufc #manchesterunited #legend #red #nike #sharp #roykeane #premierleague #oldtrafford #uefa #championsleague #champion


Roy Keane alikuwa ndiye mchezaji ghali Uingereza pindi alipokuwa ana hamia United katika kipindi chake . Ndani ya muda mfupi kiungo huyo alikuja kuwa moyo wa timu, alifanikiwa kucheza mechi 480 na kushinda mataji 7 ya Ligi Kuupamoja na Ligi ya Mabingwa mwaka 1999mechi ambayo kiungo huyo hakucheza kutokana na kutumikia adhabu ya kadi.
 
#3Andy Cole - 1995 - paundi milioni 7 kutoka Newcastle 
Another 3 Points at Anfield today pls @manchesterunited ⚽️👊🏾 @davidbeckham #mufc



Ndani ya muda mfupi Andy Cole alifanikiwa ndani ya Manchester United na kuwa mtambo muhimu wa magoli pale Old Trafford, ameisaidia klabu kushinda mataji mbali mbali katika kipindi chake kama Ligi Kuu, Ligi ya mabingwa, FA na mataji mengine.
 
#4Ole Gunnar Solskjaer - 1996 - paundi milioni 1.5 kutoka Molde 
Related image

Ni nyota wa kukumbukwa sana pale Manchester United, Mnorway huyo alikuwa supa sabu bora duniani katika kipindi chake, alisajiliwa na Ferguson baada ya wapinzani wao klabu ya Man City kugoma kumsajili, anakumbukwa zaidi mwaka 1999 kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa pale alipotokea benchi na kwenda kufunga goli la ushindi dhidi ya Bayern Munch.
 
#5Teddy Sheringham - 1997 - paundi milion 3.5 kutoka Spurs
Image result for teddy sheringham

Teddy aliletwa kwa ajili ya kuja kuziba pengo la Erick Cantona ambaye alistafu kwa kipindi kifupi tu , amecheza kwa mafanikio makubwa katika muda wake na kushinda mataji mengi, ana kumbukwa na mashabiki wengi wa United mwaka 1999kwenye fainali ya ligi ya mabingwa pale anatokea benchi na kwenda kusawazisha goli dhidi ya Bayern Munich.
 
#6Jaap Stam - 1998 - paundi milioni 10 kutoka PSV 
Image result for JAAP STAM
Mwaka 1998 United walivunja rekodi yao ya usajili mara mbili kutokana na usajili wa Jaap Stam na Dwight Yorke, Stam alikuja kuwa beki bora Duniani katika kipindi alichoitumikia Man United na kushinda mataji yote Old Trafford.
 
#7Ruud van Nistelrooy - 2001 - paundi milioni 19 kutoka PSV
Well done @vardy7! You're number one now and you deserved it. #11inarow.


Ruud van Nistelrooy ni moja wa wafungaji bora wa United, amefanikiwa kufunga magoli 150 katika mechi 219, pia alifanikiwa kuvunja rekodi mbali mbali akiwa Old Trafford.
 
#8Rio Ferdinand - 2002 - paundi 29.1 kutoka Leeds United 

The lads back in Moscow this evening.... what a night!!!! 🏆 @manchesterunited #mufc #2008
Ferdinand alikuwa beki ghali Duniani pindi akijiunga na United akitokea Leeds United, katika maisha yakke pale Old Trafford alifanya mambo makubwa sana na kuwa mmoja wa mabeki bora kuwahi kucheza Manchester United.
 
#9Cristiano Ronaldo - 2003 - paundi milioni 12.24 kutoka Sporting CP 
Image result for berbatov

Ni mmoja wa wachezaji bora wa muda wote Manchester United, amefanya mambo makubwa ndani ya United kabla ajauzwa kwenda Real Madrid kwa uhamisho uliovunja rekodi paundi milioni 80, ndani ya Old Trafford amefanikiwa kushinda mataji kadhaa yakiwemo ya Ligi Kuu, FA, na Ligi ya mabingwa.
 
#10Wayne Rooney - 2004 - paundi milioni 27 kutoka Everton

Just want to say a massive thank you to everybody at @manchesterunited. Thanks to the boards over the years, the managers and coaches I've played under, the staff I've worked with, the team mates I've played alongside, and finally the amazing fans that I've been lucky enough to have played for. Thanks for the memories ❤️
Ndiye mfungaji bora wa klabu wa muda wote akivunja rekodi ya muda mrefu iliyokuwa ikishikiliwa na Sir Boby Charton, Rooney amefanikiwa kufunga magoli 253 katika misimu 13 ndani ya United.
 
#11Edwin van der Sar - 2005 - paundi milioni 2 kutoka Fulham
Really enjoyed being back at Old Trafford and till next time!! @manchesterunited #LegendsAreBack

Baada ya kuhusishwa kwa muda mrefu na kujiunga na Manchester United hatimae mwaka 2005 Van der Sar alijiunga na United akitokea Fulham na kuja kuziba pengo kubwa la golikipa ambalo lilikuwa ni changamoto pale Old Trafford katika kipindi hicho, ndani ya kipindi kifupi alifanya kazi kubwa na kuiwezesha klabu kushinda mataji mbali mbali.
 
#12Nemanja Vidic - 2005 - paundi 7 kutoka Spartak Moscow 
 i will remember this moment, i love this club but....
you know...

Alikuja kutengeneza safu bora ya ulinzi yeye pamoja na Rio Ferdinand na kuifanya kuwa ngome ngumu kupitika katika Ligi Kuu ya Uingereza, alichaguliwa kuwa mchezaji bora wa klabu mwaka 2009 baada ya kuiwezesha timu kutoruhusu goli katika mechi 14 mfululizo.
 
#13Michael Carrick - 2006 - paundi milioni 14 kutoka Spurs 

If I could bottle this feeling....
Can't get enough of it.
#RedArmy
Licha ya usajili wake kubezwa kwa baadhi ya wachambuzi na mashabiki lakini mambo yamekuwa tofauti kwani Carrick amefanikiwa kuvaa viatu vya Roy Keane kwa asilimia kubwa, amekuwa nyota muhimu tangu enzi za Ferguson hadi sasa kwa Mourinho.
 
#14Dimitar Berbatov - 2008 - paundi milioni 30.75 kutoka Spurs 
Image result for berbatov
Berbatov alikuwa na nafasi kubwa ya kujiunga na Manchester United kabla ya Ferguson kwenda kumuiba katika dakiaka za mwisho, amefunga magoli mengi pale United na kuja kuwa kipenzi hasa baada ya kufanikiwa kuwafunga Liverpool magoli matatu pekee yake.
 
#15Antonio Valencia - 2009 - paundi milioni 16 kutoka Wigan
Very thankful with this recognition for my 300 games with @manchesterunited This award is dedicated to the children of Ecuador. Dream big and work for it, it comes true. Thanks God.⚽️💪🏽 Muy agradecido por este reconocimiento por haber cumplido 300 partidos con el @manchesterunited . Este premio lo dedico a los niños de Ecuador. Cuando se sueña y se trabaja por ello, se cumple. Gracias Dios.

Tangu enzi za Sir Alex Ferguson hadi sasa kwa Mourinho, Valencia amekuwa mchezaji muhimu, amekuwa akitumika kwenye maeneo tofauti tofauti uwanjani na kutimiza majukumu kwa asilimia kubwa.
 

#16Javier Hernandez - 2010 - paundi milioni 7 kutoka Guadalajara
 Image result for chicharito
Alijiunga na United mwaka 2010 baada ya kombe la Dunia lililofanyika Afrika Kusini, Chicharito alikuwa akifananishwa na Ole Gunnar Solskjae kutokana na staili yao wanayocheza, nyota huyo alikuwa na uwiano mzuri wa kufunga licha ya kuwa anatokea benchi
 
#17David de Gea - 2011 - paundi milioni 18.9 kutoka Atletico Madrid 

On the winning road again 💪🏻🔴 #mufc
Anatazamiwa kama mmoja wa magolikipa bora Duniani kwa sasa, De Gea alisajiliwa kwa ajili ya kuziba nafasi ya Van dar Sar , licha ya kuanza kwa kusuasua lakini ameweza kudumu kwenye namba moja ndani ya Old Trafford katika kipindi chote.
 
#18Robin van Persie - 2012 - paundi 22.5 kutoka Arsenal 
Image result for van persie
Kitendo cha Van Persie kujiunga na United kiliwaumiza sana mashabiki wa Arsenal na kuchukulia kama usaliti, ndani ya msimu wake wa kwanza Mholanzi huyo alifanikiwa kuwa mfungaji bora na kunytakuwa taji la Ligi ya Kuu Old Traffor.
 

#19Paul Pogba - 2016 - paundi milioni 89 kutoka Juventus 

C’mon United!! 👊🏾 @manchesterunited #mufc #heretocreate

Usajili uliovunja rekodi ya klabu na Dunia kipindi anajiunga na United akitokea Juve, Pogba alikuwa na presha kubwa nyuma yake kutokana na pesa zilizo tumika kwenye usajili wake lakini taratibu presha inapungua na mchezaji huyo ameanza kuwa mtu muhimu kwenye kikosi cha United
 

0 comments:

Post a Comment