Klabu ya Yanga imefunga mwaka 2017 kwa kipigo kitakatifu kutoka kwa klabu ya Mbao FC ya jijini Mwanza kwenye mchezo wa mzunguuko wa 12 wa Ligi Kuu Vodacom Tanzania Bara.
Kipigo hicho cha magoli mawili nunge kimewafanya Yanga washuke hadi nafasi ya nne kutoka nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo mahasimu wao...