“Ninawashukuru sana Ali Kiba pamoja na Mr. Blue kwa kunirudisha
kwenye game , ni watu ambao tumekuwa pamoja na wameisapoti sana...
kazi yangu hii” Amesema Abby
Kwa upande wake Mr. Blue amesema Abby Skills ni mtu muhimu sana katika maisha yao ya muziki hivyo wapo naye na watazidi kushirikiana naye katika mambo mbalimbali.
Pamoja na hayo Abby amesema pamoja na kuwa nje ya game kwa muda wote lakini hajawahi kukata tamaa na kujiingiza kwenye vitendo vya madawa ya kulevya kama ilivyo kwa wasanii wengine na kusisitiza kwamba ataendelea kupambana ili kuhakikisha anarejea kwenye game kama zamani na kuwataka mashabiki kumuunga mkono kwa kazi anazofanya.
kazi yangu hii” Amesema Abby
Kwa upande wake Mr. Blue amesema Abby Skills ni mtu muhimu sana katika maisha yao ya muziki hivyo wapo naye na watazidi kushirikiana naye katika mambo mbalimbali.
Pamoja na hayo Abby amesema pamoja na kuwa nje ya game kwa muda wote lakini hajawahi kukata tamaa na kujiingiza kwenye vitendo vya madawa ya kulevya kama ilivyo kwa wasanii wengine na kusisitiza kwamba ataendelea kupambana ili kuhakikisha anarejea kwenye game kama zamani na kuwataka mashabiki kumuunga mkono kwa kazi anazofanya.
0 comments:
Post a Comment