Akizungumza na mwandishi Saida Karoli amesema Eddy Kenzo ana mapenzi makubwa kwake, hivyo akaona ni vyema...
atetee upendo wake huo kwa kufanya naye kazi.
Pia Saida Karoli amesema kwa sasa msanii huyo ndiye anayekubalika zaidi Afrika Mashariki kutoka nchini Uganda, hivyo ni wakati muafaka kwake kujaribu kupenya zaidi kwa kumtumia Eddy Kenzo.
Hivi karibuni Saida Karoli amefanya kolabo na wasanii wa muziki wa kizazi kipya wa kiume Belle 9 na G nako, na kazi hiyo kufanya vizuri kwa muda mfupi.
0 comments:
Post a Comment