Pages

Subscribe:

Friday, October 6, 2017

DIAMOND: NDIYO KWANZA NINA MIAKA 28 SIJAOA NA HATA NIKIOA DINI INARUHUSU KUOA WANNE


Diamond Amekasirika na kuamua kufunguka haya baada ya kila siku kusingiziwa anatoka na huyu na yule sasa ameamua kufunga ya moyoni baada ya kuweka wazi kuwa hajaoa kupitia instagram page yake Diamond ameandika:

Mara Diamond Kamla Huyu, mara sjui naskia anatembea na Huyu, Mara Ooh sjui inasemakana juzi alikuwa na Huyu...Yani kila Ukiamka limezuka jipya, Utazani yangu ina Sukari au Nakojoa...
dhahabu😏. Hebu Niacheni kidogo, niko Busy nahangaika kuipeleka Bongo fleva yetu Duniani.... Sijamkaza yoyote, na Sina Mahusiano na Yoyote anaetajwa, na Siku pia Nikimaliza Mahusiano yangu na Alie South na nikawa na Mwengine na ikifikia kuliweka wazi ntaliweka wazi Mwenyewe, Maana hakuna kitachonizuia... ndio kwanza nna miaka 28, Sijaoa na Hata nikioa Naruhusiwa niwe na wake Wanne PERIOD!!!....


0 comments:

Post a Comment