Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,
Bishop Josephat Gwajima amesema kuwa Jumatano hii atatembelea Clouds
Media Group kwajili ya kuwapa pole kwa yaliyotokea hivi karibuni.
Ijumaa iliyopita kituo hicho kilivamiwa
na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akiwa na askari wenye
mitutu kuvamia Ofisi za Clouds Media Group, kwa lengo la kushinikiza...
habari yake irushwe katika kipindi cha Da’ Weekend Chat Show maarufu
kama (Shilawadu) kitendo kilichopingwa na wadau mbalimbali wa habari.


Follow on Instagram
0 comments:
Post a Comment