Aliyekuwa mke wa Joseph Mbilinyi ‘Sugu’
ambaye pia ni msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja, Faiza Ally
ameamua kuweka wazi hisia zake kwa msanii wa Bongo Fleva Ali Kiba. Yaani
kama ingekuwa ni mahaba basi tunasema mahaba mubashara kwani sio kwa
kumsifia kule!!
kuweka emoji ya maua ya upendo (Kopa).
“Nimeamka namuwaza tu nasikiliza nyimbo zake huyu kijana mzuri bwana dah hlf Ana class flan hivi yaani wajanja tu kama mm ndio tuna muelewa “Ameandika Faiza Ally Instagram.
0 comments:
Post a Comment