Pages

Subscribe:

Friday, March 17, 2017

RIYAMA AMTOLEA UVIVU MWIZI WA ACCOUNT ZA MASTAA INSTAGRAM

Staa wa filamu Nchini Riyama Ally, amewafungukia na kuwashambulia wezi wa mtandaoni wanaofanya hivyo kwa kutumia akaunti za watu maarufu, Riyama amedai wezi hao wameichukua akaunti  ya mumewe na kufuta picha zote kisha kutangaza kuiuza kwa Sh. 70,000.

Aidha Riyama ameeleza kuwa mwizi huyo ameshapatikana na watamchukulia hatua za kisheria ili...
liwe fundisho kwa wezi na matapeli wengine wa mtandaoni.
Muigizaji huyo mahiri wa filamu ambaye ni mama wa mtoto mmoja, yupo katika list ya wasanii wachache wa filamu waliofunga ndoa.
 

0 comments:

Post a Comment