Pages

Subscribe:

Thursday, October 5, 2017

HAMISA MOBETO ATAJWA KUWANIA TUZO NCHINI AFRIKA KUSINI



Mwanamitindo, Hamisa Mobetto amepata shavu kwa kutajwa katika msimu wa nne wa tuzo za Starqt Awards zinazohusisha biashara, mitindo, burudani na vitu vingine.

Hamisa ametajwa katika tuzo hizo kwa kuwania vipengele   viwili ambavyo ni  ‘People Choice Awards’ na ‘Super Mum’. Tukio la  ugawaji tuzo hizo linatarajiwa kufanyika...
  Novemba 4 mwaka huu siku ya Jumamosi katika ukumbi wa Bedford View City Hall, mjini Johannesburg nchini South Afrika.

0 comments:

Post a Comment