Pages

Subscribe:

Wednesday, March 22, 2017

HARMORAPA AWEKA WAZI NGOMA TATU ANAZO ZIKUBALI AJE YA ALIKIBA YAWA NAMBA MOJA

Harmorapa limekuwa jina tajika kwa sasa si nchini Tanzania pekee bali tayari limeanza kupenya eneo zima la Afrika Mashariki.

Mkali huyo kwa sasa anatamba na wimbo Kiboko ya Mabishoo aliyoifanya hivi karibuni akimshirikisha mkongwe wa Bongo flava Juma Nature aka Sir Nature. Kama utani tu, rapper huyu chipukizi amejizolea umaarufu wa ghafla haswa...
tu alipojikuta ameingia kwenye bifu na dancer wa staa wa Marry You na rais wa WCB Diamond Platnumz, Moze Iyobo.

Katika mahojiano na Papo kwa Papo, Harmorapa alifunguka na kuweka wazi juu ya ngoma zake 3 kali anazozikubali ambapo alisema “Nyimbo tatu ambazo nazikubali ni Aje ya Ali Kiba, Mwana ya Ali Kiba na Bongo hip hop ya FidQ”

0 comments:

Post a Comment