Pages

Subscribe:

Thursday, December 1, 2016

MBALI NA MUZIKI DIAMOND AJIVUNIA MAMBO HAYA

Msimamizi mkuu wa Lebo ya WCB Wasafi na aliyesaini mkataba na Universal Music Group ya nchini marekani Diamond Platnumz licha ya kuwa katika sakata zito na msanii mwenzio Ommy Dimpoz, Diamond Platnumz anatuchana kitu anachojivunia katika maisha yake hasa katika mziki wake wa hapa bongo na mafanikio pia maneno ya Diamond kwa anachojivunia tangu aingie kwenye muziki wa bongo.

"kitu ambacho namshukuru Mungu ni muziki wetu unatamba sana hapa bongo na Afrika nzima tofauti na miaka ya nyuma. mimi mwanzo niliangaika sana ili tu kupata nafasi ya...

Download: BlackChatta ft Jux_Kama Movie


Download

Watch & Download: Wakazi x Ruby_Sijutii (Official Video)


Watch Here

NO BEEF: UONGOZI WA JAY DEE WARUHUSU CLOUDS FM KUPIGA NA KUTAJA JINA LA JAY DEE KADRI WAWEZAVYO

jide-na-ruge
Baada ya takriban miaka minne ya uadui mkubwa, Lady Jaydee ametangaza kuwa hana tatizo tena na Clouds Media Group. Uamuzi huo umekuja baada ya Mkurugenzi wa Vipindi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba kudai kuwa wapo tayari kuanza kucheza nyimbo za muimbaji huyo mkongwe iwapo atawapa ruhusa.

Jaydee alisema uongozi wake ndio utakaokuja na maamuzi kufuatia ofa ya Ruge. “Kama kuna kauli yoyote ambayo itatakiwa kutoka, management itatoa kauli hiyo ya nini kitafuata.” Na Jumatano hii kupitia kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM, uongozi wa Lady Jaydee ulitoa...

MAKONDA AWAPAMBANISHA BANANA ZORO NA CHRISTIAN BELLA JUKWAANI

page
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amesema ataandaa show ya kuwashindanisha kuimba live kati ya waimbaji wawili mahiri, Christian Bella na Banana Zoro na mshindi mmoja kati yao ataondoka na kitita cha tsh milioni 50.

Amesema hayo katika hafla fupi ya kuwashukuru watumishi wa serikali ya mkoa wa Dar es salaam pamoja na wadau mbalimbali walioshiriki katika ziara yake ya siku kumi ya kusikiliza...

MADEE KUMSHIRIKISHA TEKNO KWENYE WIMBO WAKE MPYA


Hitmaker wa ngoma ya Migulu pande, namzungumzia Madee kutoka TipTop Connection ameamua kufunguka juu ya kolabo yake na Tekno ambayo aliahidi kuitoa muda mrefu.

Akiongea, Madee aliamua kuweka wazi kuhusu kolabo yake yeye na Tekno mambo ambayo yamefanya kuchelewa kwa kolabo hiyo, baada waya kumnasa Madee akafunguka na kusema kwamba jambo kubwa ambalo lilikwamisha ngoma hiyo ni...

GIGY MONEY AWASHAURI WANAWAKE KUTO VAA NGUO ZA NDANI ILI KUBANA MATUMIZI


screenshot_2016-03-28-14-03-17-1
Baada ya video queen, Gigy Money kusemwa katika mitandao ya kijamii kwamba havai nguo ya ndani, mrembo huyo amesema ni kweli havai na ni maisha anayopenda kuishi. Akiongea Jumamosi hii, Gigy Money amesema anajisikia vizuri akivaa nguo bila kufuli kwani anajiona yupo huru zaidi. 

“Hata hapa nilipo sijavaa chu*i na nikweli sipendi kuvaa chu*i ila napenda kuvaa chu*i yenyewe bila kuvaa nguo juu yake,” alisema Gigy Money.
“Chu*i nayo ni nguo na ni vazi la ndani, nivae ch*i nisivae hayo hayawahusu, hapa nilipo sijavaa chu*i. kwanza chu*i inaharibu...

ZIARA YA DIAMOND NA NE-YO YASOGEZWA MPAKA MWAKANI

Ziara ya muimbaji wa Marekani, Neyo na Diamond iliyokuwa ifanyike mwezi Disemba mwaka huu imesogezwa mbele hadi mwezi wa tatu mwakani, Kwa sasa ziara hiyo itaanza Machi 29 na kufikia mwisho April 8 ya mwakani.

Kupitia Instagram Neyo ameandika.
“The December dates have been postponed! But don’t worry U.K. I’m still headed your way with NEW DATES and my bro @diamondplatnumz. 2017, let’s...

Download: Country Boy ft Billnas_Hakuna Matata


Download

BARAKA THE PRINCE AMSAINI LORD EYES KWENYE LEBO YAKE

Na mwimbaji wa bongofleva Baraka The Prince ameingia kwenye headlines za kusimamia wasanii na sasa kaanzisha Label iitwayo BANA itakayosimamiwa na watu wawili ambao ni Baraka na mpenzi wake Naj.

BANA tayari imeshafanya mazungumzo na kujiweka kwenye mstari mstari wa kufanya kazi kwa kuwasimamia Wasanii watatu akiwemo...