Pages

Subscribe:

Saturday, December 31, 2016

AFYA YA CHID BENZ YAMSHTUA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AONANA NA MZAZI WA CHID

Hivi karibuni zilisambaa picha kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha msanii wa Bongofleva Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ akionekana kurudi kwenye dawa za kulevya.

Leo December 31 2016 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amekutana na kufanya mazungumzo na mama wa Chid Benz, baada ya kuonana na mama yake Chid Benz haya ni maneno aliyoyaandika kwenye ukurasa wake wa Instagrm...

MFUGAJI ALIYE MCHOMA MKULIMA MKUKI WA MDOMONI ABAINIKA

Wafugaji wa kijiji cha Changalawe kata ya Masanze wilaya Kilosa mkoani Morogoro walioyakimbia makazi yao wakihofia kukamatwa na jeshi la polisi kufuatia tukio la mkulima Agustino Mtitu kuchomwa mkuki mdomoni na kutokea shingoni hatimaye wamerejea makazini kwao huku wakilalamikia baadhi ya mifugo yao kukatwa mapanga na watu wasiojulikana.

Wakizungumza baada ya kurejea kutoka porini walikojificha kwa siku tano wafugaji hao wanawake kwa wanaume pamoja na watoto wamesema mtuhumiwa wa kosa la kumchoma mkuki mkulima wamemkabidhi...

JAY DEE APOST CHETI CHA TALAKA ALIYO PEWA NA KUANDIKA MANENO HAYA


Ameandika hivi:
Katika vitu vikubwa ninavyoshukuru 2016
Ni kutoka katika Cheti cha juu na kuingia Cheti cha chini
Bila kujali wanafikiria nini Nilifanya hivyo kwa manufaa na furaha yangu , maisha yangu na familia yangu.


Namshukuru Mungu kwa kunipa nguvu kwani haikuwa kazi rahisi ukizingatia swala la kuogopa watu wata ku judge vipi. Baada ya battle ya...

ALIKIBA ATWAA TUZO HII NCHINI UFARANSA



Fresh kutoka kushinda tuzo ya video bora ya mwaka (Aje) kwenye tuzo za Soundcity MVP za Nigeria, Alikiba ameongeza nyingine wikiendi hii. Mkali huyo ameshinda tuzo ya Chaguo la Watu (Prix du Public) kwenye tuzo za Ufaransa za Wana Music Awards zilizotolewa Ijumaa hii.

“Hii ilikuwa ni tuzo pekee ambayo ilikuwa wazi kwa watu kupiga kura mwaka huu na msisimko uliozalishwa na tuzo hii umevuka matarajio yetu kwa kuwa na majadiliano zaidi ya...

HARMONIZE: WCB HAKUNA CHUKI WALA USHINDANI KATI YETU



Harmonize amedai kuwa hakuna ushindani ndani ya lebo ya WCB wala chuki tofauti na watu wengine wanavyodhania. Hitmaker huyo wa Matatizo, amekiambia kipindi cha FNL cha EATV kuwa ndani ya lebo yao hawajawahi kushindana wala wanapotoa nyimbo hawatoi kwa mashindano kati yao ila mashabiki ndio wanaowachukulia hivyo lakini kibiashara kwao inakuwa vizuri.

Muimbaji huyo ameongeza kuwa hakuna msanii wa lebo hiyo anachukia pindi mwingine anapofanya kolabo na msanii mwingine mkubwa kwa kuwa kila mtu anakuwa...

KIDOGO YA DIAMOND YATWAA WIMBO BORA WA MWAKA HUKO AUSTRALIA


maxresdefault-2-950x720
Diamond Platnumz amekuwa na mwaka  mzuri sana kwani karibia nyimbo zake zote alizotoa kwa mwaka huu zimeweza kupokelewa vizuri sana mbali tu ya kupokelewa vizuri lakini pia amekwara tuzo kibao kupitia kazi zake. 

Mwezi uliopita kituo maarufu cha Radio nchini Australia cha RADIO AFRO AUSTRALIA kiliandaa tuzo za kutafuta nyimbo zilizofanya vizuri kwenye mabara tofauti tofauti na kwenye kipengele cha wasanii waliongiza...

SOLO THANG: SIKUWA NA LENGO LA KUMDHALILISHA CHID BENZ



Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Solo Thang amefunguka baada ya baadhi ya watu kumjia juu kwa kusambaza kipande cha video alichorekedi akiwa na Chidi Benz.  

Akiongea kwenye kipindi cha E News cha EATV, Solo amesema kuwa Chidi ndiye aliyemtaka amshoot video wakati walipokutana ila hakuwa na nia kama...

RAY VANNY: NIPO TAYARI KUFANYA COLLABLE NA ALIKIBA MUDA WOWOWTE


Hakuna asiyejua kama kuna bifu ambalo sio la pole pole kati ya C.E.O wa WCB Wasafi Diamond Platnumz na mtu mzima Alikiba. Bifu ambalo limekaa kibiashara zaidi na hata ushindani katika game.

Waliwahi kusikika Baraka Da Prince ambaye anaonekana kuwa yupo karibu sana na msanii Alikiba, na hata Abdu Kiba ambaye ni mdogo wa damu wa msanii Alikiba na wakadai kuwa wao...

YOUNG D: SIFIKIRII KWENDA KIMATAIFA MPAKA NIKUBALIKE NYUMBANI



Rapper Young Dee amesema hafikirii kwa sasa kufanya jitihada za kwenda international wakati nyumbani bado hajapenya ipasavyo. Dee anasema anachoamini ni kuwa msanii hawezi kufanya vizuri kimataifa kama nyumbani bado hafanyi vizuri.

“Kuna sehemu mimi sijafika bado Bongo nahisi, Tanzania ni nchi kubwa sana, kuna East Africa halafu kuna Africa halafu...

YEMI ALADE KUHUSIKA KWENYE TUZO ZA GRAMMY


Wakati mashabiki wa muziki Afrika nzima wakiwa wanasuburia tuzo ya Grammy kutoka kwa Wizkid kupitia wimbo wa Drake wa “One Dance”, Yemi alade amepokea mwaliko wa kuhudhuria tuzo hizo.

Afrika inazidi kusonga mbele na kufanya vizuri kwenye sekta ya muziki kwa kuwakilishwa na wasanii kibao kutoka kila pande ya Afrika, Sasa msanii kutoka Nigeria, Yemi Alade anayetamba na...

Thursday, December 29, 2016

MUZIKI YA DARASA YAKAMATA NAMBA MOJA KWENYE TRACE TV



Video ya wimbo wa Darassa, ‘Muziki’, imeshika namba moja kwenye chati za kituo cha runinga cha Trace TV kwenye Top 10 ya nyimbo za Hip Hop.

Hatua hiyo imekuja baada ya kujiwekea rekodi zake kadhaa ikiwemo kufikisha views milioni moja ndani ya wiki mbili kitu ambacho hakijawahi kutokea kwenye maisha yake ya muziki., Kwa sasa wimbo huo umeshatazamwa zaidi ya...

DIAMOND, ALIKIBA, HARMONIZE NA NAVY KENZO WASHINDA TUZO HII


Huenda mwaka 2016 ukawa unaenda kuisha vizuri kwa  wakilishi wetu kujinyakulia tuzo huko Ghana.

Usiku wa December 28 2016 tuzo za WatsUp TV Africa Music Video Awards 2016 ndio zilitangazwa Accra Ghana, washindi 22 walitangazwa kupitia Press Conference wakiwemo wasanii wa Tanzania waliyofanikiwa kushinda tuzo hizo kwa...

CHEMICAL: NIMEKUWA SURPRISED BAADA YA KUPATA UJUMBE WA STEREO



Baada ya rapper Stereo Jumatano hii kutoa la moyoni kwa kueleza jinsi anavyompenda rapper Chemical, Chemical amefunguka na kuzungumza kauli hiyo huku akidai ni kitu ambacho hakukitegemea kusikikia kutoka kwa rapper huyo.

Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio Jumatano hii, Chemical amedai baada ya kumsikia Stereo redioni ni wazi inaonyesha anachokisema Stereo kinatoka moyoni mwake ila kwa sasa...

DIAMOND AWEKA BAYANA TOFAUTI YA TIFFA NA NILLAN


15338444_1864246673794354_6533108495208677376_n
Diamond amekuwa ni mmoja kati ya wasanii ambao wanaendesha maisha yao kibiashara, kuthibitisha hilo ni hivi tunavyoona mambo yanayo endelea kwenye familia yake, Kama ni mfatiliaji wa familia ya Bw. Nasib (Diamond) Abdul basi utakuwa tayari ushaona utofuti uliopo baina ya watoto wake wawili, hapa namzungumzia Princess Tiffah pamoja na Prince Nillan.

Kipindi mwanae wa kike Tiffah, baada ya kuzaliwa alikuwa ni mtoto ambae kapokea shamra shamra nyingi za hatari kutoka kwenye familia yake na kupata deal kubwa za matangazo katika umri mdogo lakini kwa Nillan...

NAVY KENZO KUZINDUA ALBUM YAO WEEKEND HII


Navy Kenzo wataizindua rasmi album yao mpya, ‘Above In A Minute’ Jumamosi hii, December 31.Uzinduzi huo utafanyika kwenye ukumbi wa Hyatt Regency Level 8 jijini Dar es Salaam.

Nyimbo zilizomo kwenye album hiyo ni pamoja na Lini waliyomshirikisha Alikiba, Bajaj waliyomshirikisha msanii wa Nigeria, Patoranking, Done wakiwa na Mr Eazi, Morning, Bless Up wakiwa na msanii wao, Rosa Lee, Nipendelee wakiwa na...

NANDY KUTOSAHAU HAYA KWA MWAKA 2016


Katika kuelekea kuumaliza mwaka huu wa 2016 kila mmoja anakuwa na kumbukumbu ya mambo muhimu ambayo yamemtokea ndani ya mwaka hadi kufikia kuumaliza, haijalishi kama ni mazuri au mabaya, yote yanaweza kukaa kwenye kumbukumbu.

Mwanadada Nandy amepiga story na smashkilimanjaro na kutusanua ni mambo gani ambayo kwa upande wake hawezi kuyasahau kwa mwaka huu wa 2016.
Ni dhahiri kabisa kuwa mwaka huu umekuwa ni...

Tuesday, December 27, 2016

TIMBULO: SIJUTII KABISA KUACHA UALIMU

Msanii Timbulo ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Usisahau' amefunguka na kusema toka ameacha kufundisha na kuachana na fani yake ya ualimu na kukimbilia kwenye muziki hajawahi kujutia maamuzi hayo kwani muziki umekuwa ukimpa mafanikio makubwa zaidi.

Timbulo alisema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo ya EATV na kusema saizi hakuna kitu kingine anachofanya zaidi ya muziki na kila kitu unachomuona nacho au anachomiliki ni kutokana na...

BILLNAS: MUZIKI WANGU SIYO BIG-G



Rapa Bill Nas anayefanya poa na wimbo wake 'Chafu pozi' amefunguka na kusema muziki wake si 'Bubble gum' bali muziki wake unaishi na kudumu kwenye ramani ya muziki tofauti na aina ya muziki ambao unafanywa na baadhi ya wasanii ambao haudumu kwenye ramani.

Bill Nas amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo na kusema ngoma zake zote alizotoa hata zikipigwa leo bado zinafanya vizuri licha ya...

RAY C ABADILI MWONEKANO AJA NA STAILI YA KIHINDI


Huwenda huu ukawa ndio ujio mpya wa msanii mkongwe wa muziki wa bongofleva Rehema Chalamika aka Ray C baada ya misukosuko ya hapa na pale katika maisha yake ya muziki.
 
Muimbaji huyo ambaye amedaiwa kuweza kuachana na matumizi ya Madawa ya kulevya baada ya kushindwa kwa muda mrefu na baadaye kukaa kwa muda mrefu ndani ya studio ya...

HII NDIYO REKODI WALIYO IACHA WCB HUKO IRINGA

Usiku wa Dec 25, 2016  wakali wa Bongo Fleva akiwemo Diamond Platnumz, Harmonize, Rayvanny, Queen Darleen, Q Boy, Chege pamoja na msanii kutoka Nigeria Kcee wameandika historia katika mkoa wa Iringa.

Show hiyo iliyopewa jina la Vodacom Wasafi Festival imefanyika katika uwanja wa Samora Stadium, hizi ni baadhi ya picha kutoka mahali palipofanyika tamasha hilo...

AY AMTAMBULISHA MCHUMBA WAKE

Mwanamuziki Ay kwa Mara ya kwanza amemtambulisha rasmi Mpenzi wake.... Habari hii Leo imekuwa gumzo mitandaoni kwa wengi walikuwa wakijiuliza Ay mpenzi wake ni nani hasa baada ya Swahiba wake wa Karibu Mwana FA Kuoa.

HII NDIYO SABABU YA HUSSAH KUITOSA WASAFI BEACH PARTY



Wasafi Beach Party iliyofanyika Disemba 24, Jangwani Sea Breezy jijini Dar es Salaam, ilikuwa iwakutanishe mahasimu warembo Huddah Monroe na Vera Sidika jukwaani kama mahost. 

Wengi tulikuwa tukisubiri kushuhudia drama ya kufungia mwaka kutoka kwa warembo hao wa Kenya, lakini bahati mbaya fahari mmoja hakutokea. Huddah Monroe ametumia Snapchat kuelezea sababu iliyomfanya ashindwe kuja kwenye party hiyo kuwa ni kushindwa...

ZARI: HAKUNA KITU NINACHO KIPENDA MAISHANI KAMA KUZAA

Wakati mabinti wengine wakijikita katika matumizi ya mikorogo na kukimbilia wanaume wenye pesa hali ni tofauti kwa mwanamama zari hassan (the boss lady ) ambaye amekiri wazi kuwa kitu anachopenda zaidi katika maisha yake ni kuzaa.

Zari ambaye ni mpenzi wa mwanamziki nyota Africa diamond platnumz amesema hayo ikiwa ni siku chache tangu apate mtoto wa kiume aliyezaa na diamond ambaye watu walimbeza kuwa...

SOLO THANG: CHID BENZ ANASTAHILI KUOMBEWA SIWEZI MHUKUMU

Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop, Solo Thang ameposti video akiwa na rapa Chidi Benz ambaye walikutana usiku na kuongea baadhi ya mambo, lakini kutokana na hali aliyokuwa nayo Chidi Benz Solo Thang alisema hawezi kumuhukumu bali anastahili kuombewa tu.

Katika ujumbe ambao Solo Thang aliandika kwenye mtandao wake wa Instgram alisema hawezi kuhukumu na hata iweje bado Chidi Benz ataendelea kuwa...

CHRISTIAN BELLA: DIAMOND NI SUKARI ALIKIBA NI CHUMVI


Mkali wa masauti Christian Bella Obama amefunguka juu ya u-team ambao unaendelea kkkatika tasnia ya muziki hapa Tanzania especially Team Kiba na Team Diamond.

Akiongea na E-News ya EATV Christian Bella amefunguka kuwa hao wote ni wasanii wazuri na kila mmoja anafanya vizuri kwa upande wake kama ni mtu unaeelewa wala huwezi...

MADEE AKASIRISHWA NA PICHA PAMOJA NA VIDEO ZA CHID BENZ


Baada ya kusambaa kwa picha na video tofauti tofauti za msanii Chidi Benz akiwa amerudi katika hali yake ya matatizo kama aliyokuwa nayo mwanzo, Madee ameonyeshwa kukerwa na kitendo cha watu ambacho wanafanya kwa msanii huyo mkongwe wa HipHop.

Kupitia kurasa yake ya Twitter, Madee ameandika ujumbe ambao unaonyesha kutopendezwa na picha zinazokuwa zinarekodiwa zikimwonyesha Chidi Benz, Madee amefunguka na kusema...

Friday, December 23, 2016

ICE BOY: YOUNG KILLER ANA ROHO MBAYA


14607148_209506012836579_1678805950393221120_nRapa Ice Boy ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Tumbua majipu’ amefunguka na kusema Rapa Young Killer alikuwa hapendi kuona yeye anafanikiwa na kutoka kwenye muziki licha ya kufanya naye kazi kama ‘Back vocal Artist’ kwa miaka mitatu.

Ice Boy alisema baada ya kugundua Young Killer anambania na kutotaka msanii atoke aliamua kuachana naye na kufanya mambo yake mwenyewe mpaka...

TUNDA MAN: DEBE TUPU SIYO DONGO KWA DIAMOND

Tunda Man amefunguka kuwa cover la wimbo wake mpya ‘Debe Tupu’ halijamlenga mtu yeyote, Kumekuwepo na maneno mengi yaliyozuka mitaani kuwa muimbaji huyo amemdiss hitmaker wa Salome kupitia cover ya wimbo wake huo inayomuonyesha paka akijitazama kwenye kioo na kujiona kama Simba.

Tunda amekiambia kipindi cha Dj Show cha Radio one, “Kitu kikubwa watu wanaangalia ile cover kwa jicho la tatu, waangalie kwa jicho la kawaida tu. Mimi paka niliyemzungumzia ni yule yule paka wa...

VANESSA MDEE: WIMBO WANGU NA BARNABA NTAUACHIA MWAKANI



Vanessa Mdee amethibitisha kufanya wimbo mwingine na Barnaba ambao utatoka mwakani. Hitmaker huyo wa Cash Madame ambaye aliwahi kufanya wimbo wa ‘Siri’ na msanii huyo ambao ulitoka mwaka jana amesema kupitia mtandao wa Instagram kuwa wimbo huo ni moto hatari.

Kupitia mtandao huo, Vanessa ameandika...

BAADA YA NISHA KUFEKI UJAUZITO NAY WA MITEGO AFUNGUKA

Baadaa ya staa wa bongo movie Salma Jabu maarufu Nisha kukaa na Ayo TV katika exclusive interview na kuelezea ukweli kuwa hana mimba bali alidai alikuwa anafikisha sehemu ya ujumbe katika filamu yake ijayo.

Leo December 22 2016 Soudy Brown amezungumza na Nisha akimuomba awaombe msamaha kutokana na kusingizia msanii wa bongo fleva kumpa ujauzito lakini yeye akasema hakumtaja mtu, Aidha Soudy Brown amezungumza na Nay wa Mitego ambaye...

DIAMOND KUMLETA KCEE KWENYE WASAFI BEACH PARTY


Kila mpenda burudani weekend hii chimbo ni Jangwani Sea Breez kwenye Wasafi Beach Party siku ya mkesha wa sikukuu ya Christmas ambapo Diamond Platnumz na team yake nzima ya WCB Wasafi wanatarajiwa kutoa burudani siku hiyo.

Mastaa kutoka mataifa tofauti tofauti watajumuika kwenye party hiyo ikiwa hapo awali tulikwisha tonywa kuwa mrembo Huddah kutoka Kenya na...

WCB KUCHOMA GARI JUKWAANI

Kama Kichwa cha habari kinavyojieleza Meneja wa Diamond Sallam Sk Mendez Akihojiwa na XXL leo Live pale mlimani City amesema wanapanga kupandisha gari Jukwaani na kulipiga kiberiti live watu wakishuhudia siku ya kesho Kwenye Party ya Wasafi, Amedai...

JAY MOE AZIDI KUWABURUZA KIZAZI KIPYA



Juma ‘Jay Moe’ Mchopanga aka Mbakiaji, ni rapper mkongwe ambaye kama ng’ombe mzee, hazeeki maini. Kwa takriban miaka 15 ya career yake, Jay Moe hajawahi kuonekana kuhangaika kuonesha ujuzi wake kwenye hip hop.
 
Ni miongoni mwa wasanii wa zamani wenye hits nyingi ambazo licha ya kuwa na muda mrefu tangu zitoke, bado zinaweza kusikika na upya masikioni mwako. Nyimbo kama Bishoo, Mvua na Jua, Kama Unataka Demu, Maisha ya Boarding, Story 3, Famous ni miongoni mwa...

Tuesday, December 20, 2016

BARAKA DA PRINCE AUMBUKA STUDIO BAADA YA KUIBA WIMBO WA MTU

Baraka da prince aliumbuliwa vibaya kwenye studio za East Africa Radio baada ya kualikwa yeye na msanii waliyekuwa studio moja huko Mwanza, msanii huyo alisema baraka alimuibia nyimbo ya 'Baby sio fine' lakini baraka akabisha, alipozidi kubanwa akawa ana hasira na kutaka kuondoka studio.

Ila msanii Mo music ambaye alikuwa na Baraka studio hiyo moja alithibitisha baraka kuwa...

Download: Mabeste_Kaa La Roho


Download

Download: Queen Darleen ft Rayvanny_Kijuso


Download

NAY WA MITEGO: MPENZI WANGU WA SASA HATAKI KUUZISHWA SURA KWENYE MITANDAO


Mwanamke ambaye amemfanya rapa Nay wa Mitego aandike wimbo ‘Sijiwezi’ hataki habari za kuuzishwa sura katika mitandao ya kijamii kama wapenzi wengine wa rapa huyo waliopita.

Akiongea Jumatatu hii, Nay amedai hawezi kufanya kitu ambacho hapendi mwanamke huyo na ataendelea kuheshimu maamuzi yake huku akikiri kuwa ni jambo gumu kwake kwa kuwa...

GIVE IT TO ME YA BELLE 9 YAMPAGAWISHA KIKWETE


kikwete na Belle 9
Mbunge wa Chalinze na mdau mkubwa wa sanaa na michezo nchini Ridhiwani Kikwete ameshindwa kujizuia na kuweka wazi mahaba yake kwa ngoma mpya ya Belle 9 iliyo zinduliwa mwishoni mwa wiki ya ‘GIVE IT TO ME’.

Ridhiwani ambaye alikuwa ni miongoni mwa wadau walio hudhuria uzinduzi huo alizungumza na kusema kuwa anampongeza sana Belle 9 kwa hatua hiyo video ni kali sana na yeye kama mbunge na kijana huwa anapenda...

KILLY: NIMEJIPANGA ILI KUHAKIKISHA NAPIGA HATUA KIMUZIKI


Msanii wa muziki aliyewahi kufanya vizuri na wimbo, Rudi, Killy baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu na hivi karibuni kuachia wimbo mpya ‘Nikwambie’, amedai wasanii wachanga wanakabiliwa na changamoto nyingi lakini yeye anamejipanga kukabiliana nazo ili kuhakikisha anapiga hatua katika muziki wake.

Akiongea wiki hii, Killy amedai wasanii wengi wachanga wanaingia kwenye game bila kujiandaa vizuri kwa kuwa na kazi nzuri ambazo...

HII NDIYO KAULI YA JOH MAKINI BAADA YA LORD EYES KUCHUKULIWA NA BARAKA

Hatimaye Joh Makini amezungumza kuhusiana na taarifa za Lord Eyez kusainishwa kwenye label ambayo Barakah The Prince ameianzisha, Joh amesema pamoja na kuwa Lord Eyez ni mshkaji wake mkubwa, ana uhuru wa kuchukua uamuzi anaodhani una manufaa kwake.
 
“Mimi Lord Eyez mbali na muziki ni mshkaji wangu sana, we are family. Hata ninavyoongea na wewe wiki moja nyuma kabla sijaenda South Africa tulikuwa wote usiku huo,” amesema Joh. “Mwisho wa siku...

FEROOZ ARUDI KWENYE MUZIKI AJA NA KUNDI LA WABESHI



Ferooz ameamua kuja na kundi jipya ambalo huenda likaanzia pale ambapo Daz Nundaz iliishia. Kundi hilo liitwalo Wabeshi lipo katika studio za Bongo Records kurekodi ngoma zake. Majani ambaye miezi ya hivi karibuni amekuwa busy studio kurekodi miradi mipya, ameweka picha ya wakali hao Instagram na kuandika...

NIKKI MBISHI: HAKUNA KAMA CHID BENZ


Ikiwa imepita miezi kadhaa toka rapa Chid Benz alimaarufu kama ‘Chuma’ kuachia wimbo wake mpya na baadaye kupotea kabisa Rapa Niki Mbishi amefunguka na kusema kuwa katika muziki wa Hip hop hakuna rapa mzuri na mwenye uwezo kama Chid Benzi.

Nikki Mbishi ameonesha kusikitishwa sana na kupotea kimuziki kwa Chid Benz na masuala ya utumiaji wa dawa za kulevya na kusema siku zote huwa anaumia sana juu ya Chid Benz na amemuomba...

BELLE 9 AFUNGUKA HAYA JUU YA TUHUMA KUWA KAMCOPY DIAMOND


Hitmaker wa ngoma ya ‘Give it to me’ mkali toka pande za  mji kasoro bahari Belle 9  ambapo amemshirikisha G Nako, msanii huyo amedropisha ngoma yake siku ya jana kwenye kipindi cha XXL ya Clouds FM.

Ukiisikiliza ngoma ya salome aliyoitoa Diamond Pltnumz alafu ukichukua nyimbo ya taifa ya sasa ya mtu mzima Darassa ukionganisha na Give it to me ya Belle 9 , utagundua kuwa nyimbo zote...

RAY C AJA NA USHAURI HUU

Msanii mkongwe wa muziki Ray C ameamua kuyapotezea yale yanayozungumzwa katika mitandao ya kijamii baada ya jana mtandao wa Global Publisher kuandika taarifa inayodai kuwa muimbaji huyo wa wimbo ‘Milele’ anajiuza.

Kwa mujibu wa taarifa za mtandao huo zinadai kuwa haikuwa kazi rahisi fuatilia mkasa huo mpaka walipowatumia Kamanda wa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya...

DIAMOND ATOLEA UFAFANUZI JUU YA UJIO WA HUDDAH


Bata ambalo lipo kwenye akili ya kila mpenda burudani kwasasa ni kuhusu Wasafi Beach Party ambayo inatarajiwa kufanyika pande za Jangwani Sea Breeze jumamosi ijayo ya tarehe 24 December.

Show ambayo inasimamiwa na team nzima ya WCB Wasafi. Kitu ambacho kinatrend katika show hiyo ni ujio wa warembo tofauti tofauti kutoka nchi za jirani ambao wanatarajiwa kuja...

NAHREEL AFUNGUKA SABABU YA KUTOWEKA NYIMBO ZAO PENDWA KWENYE ALBUM


Instagram photo by Nahreel NavyKenzo_BOEsJHSj0GK - JPG
Tunazihesabu siku tu kabla ya kuachiwa album mpya ya Navy Kenzo ambayo wameipachika jina la Above in a Minute (AIM).

Wiki iliyopita ilitoka list kamili ya ngoma ambazo zitapatikana kwenye album hiyo, na kilicho washangaza wengi ni pale walipoona ngoma kama Kamatia Chini, Chelewa na nyingine kibao ambazo zimewahi kuhit kitaani hazikuorodheshwa...

VANESSA MDEE APATA SHAVU LA UBALOZI


Hitmaker wa ngoma ya Cash Madame Vanessa Mdee leo hii ametusanua kupitia kurasa yake ya Instagram kuhusu shavu lake jipya ambalo amelipata la kuwa balozi wa Slimtea. Vanessa Mdee ameshindwa kabisa kuzificha hisia zake na kujikuta akiandika ni jinsi gani anajiskia baada ya kudondokewa na shavu hilo nono na kuona kuwa ni nafasi nyingine ya kuikuza brand yake.

“Ninafuraha sana ya kutangaza kwamba mimi ni balozi mpya wa @slimteaglobal ni hatua nyingine kwenye kukuza brand ya...

MASHABIKI WAMSHAMBULIA DIAMOND KISA AJALI YA DARASSA


Ikiwa bado ngoma ya muziki toka kwa Darasa ikitrend, mengi yanazidi kuibuka na story kibao zinaandikwa kuhusu Darasa na muziki wake. 

Juzi kati hapa, mshikaji wetu Darasa alipata ajali alipokua anaelekea kwenye show Kakola, yeye pamoja na director wake huku wakiambatana na producer wake walinusurika na kutoka salama kabisa, kupitia ukurasa wake wa instagram...

Monday, December 19, 2016

Download: Killy_Nikuambie


Download

NAY: MAHABA YA MPENZI WANGU YAMENISUKUMA NIANDIKE WIMBO MPYA


Msanii wa muziki wa hip hip Nay wa Mitego amedai hawezi kuandika wimbo wa mapenzi kama hana filling ya mapenzi au hayupo kwenye mahusiano.Akiongea na Bongo5 Jumatatu hii, Nay amedai wimbo wake mpya ‘Sijiwezi’ ameuandika kutokana na kupewa mahaba mazito kutoka kwa mpenzi wake.

“Mimi siwezi kuandika wimbo wa mapenzi bila kupata filling ya mpenzi kutoka kwa mpenzi wangu au watu wangu wa karibu ndio maana hata unaona na nyimbo chache sana za mapenzi,” alisema Nay. “Hata Sijiwezi umetokana na...