Pages

Subscribe:

Saturday, December 10, 2016

2016 UTABAKI KUWA MWAKA WA HISTORIA KWA ALIKIBA


Nusu ya kwanza ya mwaka 2016 ilianza kwa Alikiba kusaign Sony, Sony walimsaign Davido kwa dola za kimarekan milion 4 kwa mwaka inakadiriwa Ali pia alisogelea kiasi hicho cha pesa. 

Nyimbo ya Aje pekee ilimpa zaidi ya shilingi Milioni 900 za kitanzania, hapa unazungumzia mdundo uliosambaa pote duniani, ameuza rington sana, Mtn,Vodacom,Safaricom Muito katika nchi zinazotumia...
sana simu za Kenya, Uganda, South Africa, Nigeria etc,
Pamoja na haya na mengne mengi.

Nusu ya pili inamalizika kwa nominations za kutosha, awards, shows n.k
Akiwa ametajwa karibu katika kila tuzo Ali amejizolea sifa tele ikiwa ni pamoja na kutrend kwa mambo mbalimbali na matukio ya kila aina.

Tuzo alizochukua mpaka sasa ni 7(and counting)
Licha ya nguli huyo kutozipost tuzo hizo kama kawaida yake, mashabiki zake sasa wamekua na amani baada ya kuvuta, MtvEMA,oscar,bfta etc

0 comments:

Post a Comment