Pages

Subscribe:

Friday, March 31, 2017

Watch & Download: Kendrick Ramar_Humble (Official Video)

Related image

Watch Here

FAHAMU NJIA KUMI ZINAZOWEZA KUUFANYA UUME UWE NA AFYA

Uume (Penis) ni kiungo chenye hisia na muhimu katika jinsi ya kiume kutokana na nafasi yake katika mwili.
 
Wanaume wengi wamekuwa wakitumia kiungo hicho pasipo kuzingatia utunzaji wake nakuifanya sehemu hiyo nyeti kuwa chafu na hata pengine kutoa harufu mbaya kwa kutoifanyia usafi sawasawa hasa baada ya kushiriki tendo la ndoa na kusisahidia haja ndogo. Leo kati safu hii ya afya nikakufahamisha jinsi 10 muhimu za kutunza uume wako kama ifuatavyo...

Watch & Download: Lil Crama ft D Rhodes_Hard (Official Video)


Watch Here

Download: Wizkid ft Drake_Come Closer


Download

Download: Darassa_Utanitoa Roho [Leaked]

Darasa - Utanitoa Roho

Download

SKENDO ZAMPA STRESS DAVIDO MPAKA KULAZWA HOSPITALI


MKURUGENZI wa Lebo ya HKN, David Adeleke ‘Davido’ amekimbizwa hospitali na kulazwa huku chanzo kikidaiwa kuwa ni ‘stress’. Tukio hilo limejiri juzikati ambapo inaelezwa kuwa, Davido amekuwa akisumbuliwa na skendo inayozidi kuenea kwa kasi kuhusiana na kuzaa na mwanamke anayefahamika kama Ayomide Labinjo.

Haikuelezwa hasa hospitali ipi amelazwa lakini kupitia Mtandao wa Snaptchat, Davido liweka kipande cha video akiwa ametundukiwa dripu na kuwaambia mashabiki wake...

HUYU NDIYE LIL CRAMA MSANII KUTOKA TZ ANAYE KINUKISHA MAREKANI


This time around kutoka pande za USA, anakuja Mchizi wa Kibongo mwenye makazi yake huko, akiwakilisha vyem bendera ya 255 mjini Huston Texas anakwenda kwa jina Lil Crama Hustle, ametundoshea bonge moja la Singo ‘Hard’ na bonge moja la chupa vyote akiwa amevifanyia huko huko unyamwezini.

Akijiandaa kufanya Singo yake ya Pili na msanii Christian Bella, LilCrama amewataka watanzania wajenge imani nae “thank god huku wanyamwezi wananielewa vizuri sana so am...

BAADA YA HARMONIZE KUPATA PACHA SASA ZAMU YA WEMA SEPETU

Kuna imani kuwa duniani wawiliwawili! Hii inajidhihirisha kwa mwanadada Lisa Deedee `Tuerny’ ambaye amejipatia umaarufu mitandaoni kutokana na kufananishwa na staa wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu.

Kupitia gazeti, mrembo huyo anafunguka mambo mbalimbali usiyoyajua kuhusu yeye; Ijumaa: Hivi Tuerny ulijuaje kuwa unafanana na Wema?

Tuerny: Nakumbuka mwaka 2012 niliweka picha mtandaoni, mama akanitumia sms kwamba ninafanana na Wema, nilishtuka lakini...

BAADA YA KUSHINDANA BEI YA SHOW YA HARMONIZE SHIGONGO NA BABU TALE WATUPIANA MANENO



Baada ya Eric Shigongo kuandika barua ndefu ya kumuonya Diamond kuhusiana na jinsi anavyowawekea ngumu waandaji wa show za ndani kwa kuwatoza bei zile zile kama anavyowatoza wa nje ya nchi na kuhusisha uongozi wa WCB kuwa ni sehemu ya tatizo hilo, Babutale amejibu.

Tale amefunguka mengi huku akimshutumu Shigongo kuwa na hila ya kuharibu biashara zake kupitia magazeti ya Global Publishers. Kupitia Instagram, Tale ameandika...

VICTORIA KIMANI NA GODZILLA WAGSWA NA HII ISHU YA KENDRICK LAMAR


‘Humble’ ya Kendrick Lamar imepagawisha wengi sana na wengine kupigia salute ambayo yameimbwa humo, Godzilla pamoja na Victoria Kimani wametoa yao kuhusu video hiyo ya Kendrick Lamar.

Ikiwa bado haijajulikana album ya Kendrick Lamar itapewa jina gani,  tunachofahamu kwa sasa ni kwamba rapper Schoolboy Q amethibitisha ujio wa Album upo, baada ya kuachia “The Heart part 4” this time Kendrick amesogeza moto mwingine wa “Humble”, ukiachana na hayo, rapper...

RIHANNA ATARAJIA KUPOKEA TUZO KUTOKA SHULE HII

Mwanamuziki wa Kike kutoka nchini Marekani Rihanna anatarajia kupokea tuzo kutoka kwenye shule ya mitindo maarufu inayojulikana kwa jina la “The Parsons School of Design”.

Hii ni Tuzo nyingine kwa mwanamuziki huyo, mara baada ya muda mfupi kupokea heshima kubwa ya kutajwa kama Harvard’s Humanitarian of the Year ikiwa ni  heshima ambayo imemweka kwenye ligi moja...

SHIGONGO AMLAUMU DIAMOND KWA KUTOZA SHOW ZA NDANI MIL 100



Eric Shigongo, mfanyabiashara maarufu na mmiliki wa kampuni ya Global Publishers amelalamika kitendo cha Diamond kuwatoza mapromota wa nyumbani kiwango kile kile anachowatandika wale wa nje. 

Shigongo ni mmoja wa waandaji wakubwa wa matamasha kupitia ukumbi wake wa Dar Live na huenda miaka ya hivi karibuni ameshindwa kuzimudu gharama za kumchukua kutumbuiza. Kupitia Instagram, haya ndio mambo aliyoandika...

PICHA: ASKARI NCHINI ITALY KUTEMBELEA LAMBORGHINI HURACAN

Kila nchi inatumia fedha nyingi kuhakikisha ulinzi na usalama wa nchi na raia wake lakini kuna nchi ambazo zimeenda mbali zaidi kwa kununua magari ya polisi ambayo mara nyingi tulizoea kuyaona yakitumika na matajiri kwenye matanuzi.

Jeshi la Polisi nchini Italia limefanya uzinduzi wa gari aina ya Lamborghini Huracan kwa ajili ya kufanyia doria kwa askari wa barabarani ‘Trafiki’. Uzinduzi huo ulifanywa na...

MKUBWA FELLA AZUNGUMZA HAYA KUHUSU UKIMYA WA YAMOTO BAND

Leo March 31 2017 kupitia Leo Tena ya Clouds FM, kiongozi wa Mkubwa na Wanawe Said Fella amezungumzia minong’ono iliyozuka mitaani juu ya ukimya wa Yamoto Band ikidaiwa kuwa kundi hilo limesambaratika na kila mmoja kufanya kazi kivyake.

Mkubwa Fella amekiri Yamoto Band kuwa kimya lakini amedai kundi hilo kurudi tena upya ambapo amesisitiza kuwa bado wako pamoja ingawa kila mmoja...

ATAKAYECHINJA NG'OMBE ATAFUNGWA MAISHA NCHINI INDIA

Ng'ome hutajwa kuwa mtakatifu na waumini wengi wa Hindu
Jimbo lililo magharibi mwa India la Gujarat, limepitisha sheria ya kuharamisha kuchinjwa ng'ome na kutangaza adhabu ya kifungo cha maisha jela kwa yoyote ambaye atapatikana na kosa hilo.

Chini ya sheria hiyo, pia wale ambao watapatikana wakisafirisha nyama ya ng'ome watahukumiwa kifungo cha miaka 10 jela. Ng'ome hutajwa kuwa mtakatifu na waumini wengi wa Hindu, na kumua ngome ni...

NUHU MZIWANDA AWATAKA MASHABIKI WASIMPANDE KICHWANI

Msanii wa wa bongo fleva anayetamba na ngoma ya anameremeta, Nuh Mziwanda amewataka mashabiki zake kutompangia jina la mtoto wake na kusisitiza yeye kama baba ndiye mwenye mamlaka hayo. 

Kupitia eNewz ya EATV,  Nuh amefunguka kwamba hawezi kumuita binti yake majina ya kizungu kwa madai kuwa siku akikua na kwenda kwenye asili yake atakutana na hayo majina hivyo hakuna haja ya kumpatia mtoto majina yasiyo ya asili kwani hata mastaa wakubwa wana...

Watch & Download: Juliana Kanyomozi – I’m Still Here (Official Video)


Watch Here

Download: Juliana Kinyomozi_I'm Still Here


Download

Download: Iyanya_Bow For You


Download

Download: Yamoto Band_Basi

Yamoto Bandi Safi

Download

Download: OMG ft Barakah The Prince_Uongo Na Umbea


Download

JESSE LINGARD AVUTA MKOKO WA BEI MBAYA



Mafanikio ya kimaisha ya mchezaji wa klabu ya Manchester United, Jesse Lingard mwenye miezi 18 tu ndani ya kikosi hicho, yameanza kuonekana. Licha ya uwanjani kuwa mmoja wafungaji wa magoli muhimu, nje ya uwanja mambo yanamuendea vizuri pia.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 tu, tayari sasa anamiliki gari la kifahari aina ya Bentley Continental GT lenye thamani ya paundi...

JOH MAKINI AWAPA SHAVU ROSA REE, OMG NA MOTRA THE FUTURE


Hakuna kipingamizi kwamba Joh Makini ni mmoja kati ya rappers wenye heshima na mafanikio makubwa sana hapa Bongo, alichotaka kukijua B Dozen ni kwamba jicho la Joh Makini linamuona rapper gani mpya ambaye atafuata nyendo za mkali huyo.

Bila kupepesa maneno, kinywa cha Joh Makini kililitamka jina la rapper mpya wa kike anae sumbua kinoma noma na ngoma yake ya Up in The Air, Rosa Ree, na pia kumdondoshea...

HAYA NDIYO MADHARA YANAYO TONAKA NA KUVAA CHUPI KWA WANAWAKE

1. Magonjwa ya "Urinary tract infection" au UTI hayataisha kwako. Hii hasa ni kwa wanawake wanavaa nguo nyingi kwa wakati mmoja na kwa muda mrefu zaidi ya saa kumi. Unavaa chupi, lakini tight, suruali ya jeans, nk halafu unashinda na hizo nguo kuanzia asubuhi unapoenda kazini hadi saa mbili usiku unaporudi home. 

Hiyo ni hatari sana. Mwanamke anayefanya kazi zinazompasa kuwepo kazini zaidi ya masaa 8 anashauriwa asiwe anavaa chupi kabisa. Chupi ivaliwe nyakati za hedhi tu. Kama hauko kwenye siku zako vaa...

BARAKAH THE PRINCE AWEKA WAZI JINSI UHASAMA WA DIAMOND NA ALIKIBA ULIVYO MHATHIRI



Barakah The Prince amedai kuwa kumshirikisha Alikiba kwenye wimbo wake Nisamehe kulikuwa na changamoto hasa kutokana na mvutano uliopo kati ya Team Kiba na Team Diamond.

“Ujue Alikiba ni brand kubwa na ni brand ambayo ina mvutano na vitu vingi, kwahiyo unavyofavya collabo na Alikiba kuna mawili hapo, kuna nyimbo kufanya vizuri na kuna nyimbo kufanya vizuri wastani, wa kawaida kwasababu...

DIAMOND PLATNUMZ AELEZA A-Z ANAVYOPATA UTAJIRI

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’, amefichua moja ya siri ya mafanikio yake makubwa kiuchumi ni kusaidia watu wenye uhitaji.

Diamond ambaye anatajwa kama msanii anayeongoza kwa kipato nchini, amesema anajisikia ufahari mkubwa kuona anaweza kuwasaidia watu wenye uhitaji na amekuwa akipata...

BILL NASS: CHORUS YA NAAZIZ NDIYO ILINIWEKA KWENYE RAMANI YA MUZIKI



Rapper Bill Nass hawezi kusahau mchango mkubwa wa Nazizi na TID kwenye maisha yake ya muziki. Wawili hao waliufanya wimbo wake uliomtoa, Raha uwe na mvuto mkubwa.

Akimpongeza Nazizi kwenye siku yake ya kuzaliwa wiki hii, Bill ameielezea chorus iliyofanywa na muimbaji huyo wa kundi la Necessary Noise kuwa ndio ilikuwa kila kitu. “Nakutakia...

SIWEMA AANIKA SIRI ZA NAY HADHARANI

MZAZI mwenziye na Mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’,  Siwema Hudson amesema kitendo cha serikali kumpa kashikashi kutokana na wimbo wake wa Wapo hakikumshangaza kwani alitarajia hayo yatokee kwa kuwa zilipendwa wake huyo ni mtu wa kukurupuka.

Akizungumza na gazeti hili juzi baada ya Nay kutoka polisi, Siwema alisema yeye amekaa na Nay kwa muda mrefu na mara nyingi akiamua jambo ndiyo hivyo wala hakuna...

JAY DEE KUZINDUA ALBUM YA WOMAN SIKU YA LEO



Lady Jaydee leo atafanya uzinduzi wa album yake mpya na ya saba, Woman. Ametangaza kubadilisha ukumbi wa awali na sasa utafanyika King Solomon Hall.

“Naomba kuwafahamisha mabadiliko ya Venue Ijumaa Woman Album Launch Itafanyika ukumbi wa King Solomon Hall , karibu na Best Bite (Ada Estate- Kinondoni) Kutokana na...

NAY WA MITEGO: HAKUNA WA KUNIBADILISHA MTAZAMO WANGU

Hatimae msanii Nay wa Mitego mwenye ‘hit song ya wapo’ amefunguka baada ya kumaliza mkutano na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe Dodoma na kusema hakuna atakayeweza mbadilisha mtazamo wake katika kile anachoamini.

Hiyo ni baada ya Rais Magufuli kuamuru wimbo wake huo wa ‘Wapo’ ufunguliwe baada ya kufungiwa na BASATA huku akishauri...

SHILOLE: SIKUJAALIWA KUPATA MTOTO NA NUHU



Shilole aka Shishi Trump ni mzungu. Amesema hana kinyongo na ex wake Nuh Mziwanda na ndio maana mwaliko wa 40 ya mtoto wa kike wa Nuh na mke wake Nawal ukihusika, ataenda kufanya makubwa.

“Mimi sinaga shobo ujue,” muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio hivi karibuni. “Mimi naenda kwa moyo wangu kwamba ntaenda kama msanii mwenzangu kwamba...

HUYU NDIYO MTANZANIA ANAYE FANYA VIZURI NA MUZIKI HUKO SWEDEN


Baada Marehemu James Dandu a.k.a Cool James ‘Mtoto wa Dandu’ kufanya vizuri sana pande za Sweden This time around kuna this kid wa kuitwa Lil Dev or u can call him David lils, anasimama kama mbongo anayefanya vizuri kwenye muziki nchini humo, unaweza kuona watanzania wanavyoweza kufanya poa sehemu mbali mbali duniani.

Lil Dev mbaye hivi karibuni amedondosha boonge moja la track ‘kidege’, mzigo unaendelea kusikika sehemu mbali mbali duniani na bongo, then singo yake mpya ‘wine’ angependa soon isikike...

STORY: NILIFANYA MAPENZI NA MAITI 20 ILI NITAJIRIKE-24

Image result for nilifanya mapenzi na maiti 20 ILI NITAJIRIKE-21
ILIPOISHIA
Huo ndiyo ukaanza kuninyemelea. Mara ya kwanza, sikujali, ila baadaye, nilikuja kujuta kwa nini nilitaka utajiri.


SONGA NAYO
Kusema ukweli hakukuwa na kipindi nilichokuwa na furaha kama kipindi hicho, sikuamini kilichokuwa kikiendelea, maskini mimi, niliyeishi maisha ya ufukara mkubwa mkoani Morogoro, eti leo hii nilikuwa na...

STORY: NILIACHA USISTER NIKAWA MCHAWI 10

Image result for ROMAN CATHOLIC SISTER
Nilimwangalia mama kama kuna hatua nyingine baada ya tukio lile, naye akaniashiria nimchape makofi yule. Nikainua mkono mmoja na kumchapa makofi kwa mbali katika shavu lake la kulia, akashtuka na kujishika shavu hilo huku akifuta kwa mkono kuonesha kwamba ameumia, nikafanya vile tena na mkono wa kushoto, akayumbia kulia kwangu kuonesha kwamba kofi lilimpata. Kisha nikatumia akili zangu sasa, nikaifanya mikono kwa ishara ya kumzungusha, akaanza kuzunguka ndani ya chumba kutoka sehemu moja kwenda nyingine akiwa hajitambui kwa lolote. 

Nikamsimamisha, akasimama wimba huku mikono ameikunjia kifuani. Nilimyooshea mikono sista mwingine pale kitandani, naye akaamka kwanza. Halafu likafuata zoezi la...

STORY: SLAVE SEX (MTUMWA WA NGONO) 04

Image result for MTUMWA WA NGONo 01
AGE…..(18+)

ILIPOISHIA
.Lakini moyo wake ulimdunda baada ya nyoka wake kupita ndani bila tatizo,alimtoa na kumuingiza tena lakini hali ilikuwa vilevile.Akili yake ilichanganyikiwa na kugundua teyari ameuziwa mbuzi kwenye gunia! 


SONGA NAYO.

Hali ya kutokuwa kwa ubikira wa Gloria ilimshtua sana Nickson, lakini hakutaka kuuliza kwanza, jambo alilofanya ni kumaliza alochokianza kwanza!Alimpindua Gloria na...

STORY: PENZI LA DADA (SEHEMU YA SITA) 06



Ucku ulipoingia niliingia ndan na ucngz ukanichkua.. Baada ya kupitiwa na usingizitulilala mm ktk sehem yangu na dada yangu coleen sehemu yake usiku wa manane mm nikaamka na kujikuta usingiz umekata kabisa basi nikatoka na kwenda kukaa sehem waliyoweka kama ya kupumzikia nikiangalia mazingira ya Brazil huku nikikumbuka ahadi niliyowahi kumuahidi Tayna juu ya kutembelea Brazil.

Nikawa nafikiria kama angekua hai hadi ss tungekua tupo ktk fungate mawazo ya ujuzi wa Tayna kitandani yakanijiaa na kujikuta mashine ikituna kwa hasira kwa njaa ya penzi hadi misuli ikaanza...

Thursday, March 30, 2017

Watch & Download: Bibi Cheka_Nalia (Official Video)


Watch Here

HK: BIFU LA SHILOLE NA SNURA LINATENGENEZWA

Meneja wa Msanii Snura, HK amesema yeye pamoja na msanii wake hawana 'bifu' na Shilole huku akidai wapo tayari hata kufanya naye kazi ya pamoja endapo atakuwa anahitaji katika hilo.

Hayo yamekuja baada ya tetesi za muda mrefu zikiwahusisha wadada hao wawili kwa kile kilichowaaminisha mashabiki katika nyimbo zao kujawa mafumbo huku wengine...

JAY DEE: SINA TATIZO NA MPENZI WANGU

Wakati maneno ya chini chini yakiwa yanaendelea kuhusu kupigwa kibuti na mpenzi wake mpya Spicy kutoka Nigeria, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amefunguka na kusema wabongo wengi wanapenda wenzao waharibikiwe na kuwataka kuacha kuwaziana mabaya. 
 
Jide amelazimika kutoa kauli hiyo baada ya maneno kuzagaa kuwa amepigana kibuti na Mnigeria huyo ikiwa ni siku wiki chache baada ya kuandika maneno yaliyomo kwenye...

YAMOTO BAND WATANGAZA UJIO WAO MPYA IJUMAA YA WIKI HII


Baaada ya kuwa kimya kwa muda takribani miezi saba sasa Yamoto Band kupitia mtandao wa Instagram wametangaza kuachia wimbo mpya ijumaa ya siku ya kesho wamepost picha hiyo hapo juu na kuweka caption isemayo"

Ilikuwa ni tarehe 13 June 2016 Bendi yako pendwa ya @yamoto_band_ ilitoa nyimbo ya “SU” kama official song waliomshirikisha mwana dada Ruby, wiki 3 mbele wakakuletea Bonus track Iliyokwenda kwa jina la...

KANYE WEST AUZA COLLECTION YA NGUO ZAKE MPYA KWA DAKIKA TANO

Kanye West ameendelea kuthibitisha kuwa yeye sio mkali kwenye Music tu bali hadi kwenye mitindo. Collection yake mpya ya nguo “Calabasas” aliyoshirikiana na kampuni ya Adidas imeuza (Sold Out) ndani ya dakika tano, Collection hiyo ilikua na nguo, viatu, socks,kofia na vingine 

Cha kushangaza zaidi hakuipigia promo kubwa kama...

NYASI ZA BANDIA PAMOJA NA MAGOLI YA SIMBA SC KUPIGWA MNADA



Kampuni ya udalali ya Majembe Auction Mart inataka kupiga mnada nyasi bandia za klabu ya Simba SC pamoja na magoli yake, sababu kubwa ni uongozi (wamiliki) kushindwa kuzilipia kodi.Sababu hasa za kupigwa mnanda kwa nyasi pamoja na magoli yake ni timu ya Simba kushindwa kulipa kodi ya Shilingi milioni 80 wanazodaiwa na TRA.

Mnada utafanyika siku ya leo Alhamisi 30/03/2017.
Eneo:Nyuma ya “The Waterfront Sunset Restaurant and Beach Bar”, barabara ya Yatch Club, Masaki, ofisi mnada utakaofanyika zinaitwa...

OMMY DIMPOZ AWAKERA MASHABIKI KWA STAREHE ZISIZO NA MSINGI

Huenda Ommy Dimpoz akawa ni msanii wa kwanza wa kiume Bongo anaekula bata sana nchi mbali mbali kutoka na picha anazopost..lakini swali linabaki kwa wengi kwani hawaoni akifanya kazi zinazolingana na bata hizi.

Msakie huyu mdau wa Jamii Forums alivyoamua kumfungukia bila chenga:
 

By Warumi:
"Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo show off waachie akina..

MADHARA YA SIMU ZA MKONONI KWA AFYA YA WATOTO

Madhara ya simu za mkononi kwa afya ya watoto
Katika makala hizi tunaangazia namna teknolojia hizo zinavoweza kuwa na faida na pia madhara kwa mwanadamu na yote yanategemea namna zinavyotumiwa. Katika makala yetu iliyopita tulisema kuwa wataalamu wanasema utumizi wa muda mrefu wa simu za mkononi ambao huambatana na kulengwa kwa muda mrefu na sumaku pamoja miale ya kielektroniki ni jambo lenye madhara makubwa kwa afya ya mwandamu. 

Kati ya madhara tunayoweza kuashiriki hapa ni kama vile kupungua uwezo wa ubongo kuhifadhi mambo, kuhisi uchovu, kukosa usingizi, saratani, uvimbe wa ubongo, utasa na...

HUU NDIYO UTABILI WA BILLBOARD JUU YA MSANII TEKNO


Billboard yaamua kufunguka makubwa kwa Tekno kwamba anatarajiwa kuwa ni moja ya wasanii kutoka Nigeria wanaotarajiwa kufanya makubwa kwenye soko la muziki nchini Marekani.

Tumeshuhudia wasanii kama Davido na Wizkid wakiwa wametoboa katika anga za kimataifa kwa kuvuka boda ambapo tukicheki upande wa Wizkid amefanikiwa kupata...

AUDIO: DIAMOND PLATNUMZ AKAMILISHA MAZUNGUMZO YA KUFUNGUA TAWI LA WCB NCHINI RWANDA


My Dear RWANDEESE Artist,  am so happy to inform you that, from next week @wasafidotcom branch will be officially in RWANDA....i will soon annouce where and how you can get connected and be able so to sell your good Music through @wasafidotcom platform...🙏 (Mapema baada ya kukamilisha kikao na Makubaliano na kampuni itayokuwa tawi letu  ama agent wa @wasafidotcom nchini RWANDA... Muda si Mwingi  nitawatangazia Wasanii wote wa Rwanda ni namna gani mnaweza kuwa na Acount za kuuza nyimbo zenu @wasafidotcom ....

March 28 tulizinyaka taarifa za mkali wa Bongo Fleva Diamond Platnumz kukamilisha mazungumzo kuhusu kufungua tawi la Wasafi.Com nchini Rwanda, kitu ambacho ni kizuri katika kukuza brand yake na vitu kama hivyo.

Mwandishi amepiga story na Diamond Platnumz na amefunguka kila kitu kuhusu ilikuwa vipi hadi kuifanya platform yake ifanye kazi na wasanii wa Africa nzima tofauti na lengo lake la mwanzo. Msikilize menyewe akizungumza hapa chini

Play Here 

Listen & Download: MSIKILIZE NAY WA MITEGO AKIZUNGUMIZIA MWALIKO WA KWENDA KUKUTANA NA RAIS JPM


Caption..

Play Here

NAY WA MITEGO: TUSIPO ANGALIA SIASA ITATUZIDI NGUVU MZIKI UPOTEE KAMA BONGO MOVIE



Nay wa Mitego amedai kuwa kama wasanii wa Bongo Flava wasiposimama kidete kuupigania muziki wao, kuna hatari ukapotezwa na siasa. Amedai kuwa siku za hivi karibuni mashabiki wamekuwa wakifuatilia zaidi mambo ya siasa kuliko wanavyofuatilia muziki, na anasema hiyo ni hatari.

“Watu walikuwa wanasikiliza siasa zaidi kwamba leo nini kinaendelea, leo kiongozi gani ameongea kitu fulani, nafikiri sasa ni time ya sisi kupambana kuurudisha muziki wetu kwenye line, kuurudisha muziki wetu watu...

MENEJA WA DIAMOND PLATNUMZ AMKABA KOO WAZIRI WA UTALII JUU YA PESA ZA WIZARA YA MATANGAZO

March 26, 2017 kupitia mtandao wa Instagram Meneja wa msanii Diamond Platnumz, Babu Tale aliandika kuhusu Wizara ya Maliasili na Utalii kushindwa kuwatumia watu maarufu nchini kuutangaza utalii wa Tanzania akiwataja mwanasoka Mbwana Samata na mwanamuziki Diamond Platnumz kati ya watu wanaofanya vizuri kimataifa lakini hawapewi dili hizo.

Alipotafutwa Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembealisema>>Wasanii wetu wenye majina makubwa watangaze tu Tanzania. Tanzania ni nchi yao sio lazima mpaka...

MWAKYEMBE ASEMA HAYA KUHUSIANA NA KESI YA UVAMIZI WA OFISI ZA CLOUDS

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt Harrison Mwakyembe leo amezungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma mara baada ya kukaribishwa rasmi Wizarani hapo.

Baada ya maongezi aliruhusu mwaswali ambapo moja ya swali aliloulizwa na wanahabari ni kuhusu ripoti iliyoachwa na Waziri wa zamani Nape Nnauye kuhusu uchunguzi wa...

BENDERA NDEFU KULIKO ZOTE NCHINI INDIA YABADILISHWA

Inasemekana kuwa bendera hii iliwekwa kwa haraka
Bendera ndefu zaidi huko India ambayo mnara wake upo juu ya mpaka wa Pakistan inabadilishwa kwa mara ya nne sasa baada ya kuendelea kuchanika kwa upepo.

Bendera hiyo ya taifa iliyo na urefu wa mita 600, ilipandishwa mwezi uliopita katika ukanda mkuu wa Wagah inayokatisha katika nchi hasimu ya...