Pages

Subscribe:

Wednesday, August 22, 2018

Watch & Download: Nuh Mziwanda ft Ben Pol_Ki2 na Box (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Harmonize_Atarudi (Official Video)


Watch Here

Download: Sauti Sol ft Nyashinski_Tujiangalie


Download

Download: Nuh Mziwanda ft Ben Pol_Ki2 Na Box


Download

Download: Chege x Mr Blue_Naogelea


Download

Download: Amber Lulu ft Zest_Nimeloga


Download

UWOYA AZUNGUMZIA UKARIBU WAKE NA TESSY WA ASLAY


Msanii wa filamu Irene Uwoya amefunguka kuzungumzia ukaribu alionao na aliyekuwa mpenzi wa muimbaji Aslay, Tessy.

Muigizaji huyo ambaye ni mke halali wa rapa, Dogo Jana amedai yeye akikutana na mama watoto huyo wa Aslay hawazungumzi ishu kuhusu...

Downoad: ChindoMan ft Barakah The Prince x JCB_Subira


Download

ZAIDI YA LIL 90 ZATUMIKA KUTIMIZA NDOTO YA SHILOLE


Msanii wa muziki na mjasiliamali, Shilole aka Shishi ameweka wazi gharama alizotumia kujenga nyumba yake ambayo aliionyesha mtandaoni. Akiongea na kituo cha redio cha Clouds FM Jumanne hii, Shishi amedai zaidi ya ths milioni 90 aliyoitumia imetokana na muziki wake na sio biashara zake.

“Sijawahi kukopa, nimejenga kupitia muziki wangu, hadi sasa nimetumia kama mill. 90. Ni nyumba mbili zipo kwenye...

Download: Hamisa Mobetto_Madame Hero


Download

JESHI LA UGANDA LAOMBA RADHI KWA KUMPIGA MWANDISHI WA HABARI




Baada ya video ikiwaonesha Askari Polisi nchini Uganda wakimshushia kichapo Mwandishi wa Habari wa shirika la utangazaji la Reuters nchini humo, James Akena kusambaa mitandaoni. Hatimaye Jeshi hilo limeomba radhi kwa kitendo hicho.

Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo IGP Martin Okoth Ochola amesema kuwa...

Download: Harmonize_Atarudi


Download

MBWA APELEKEA KIFO CHA MWANADADA KULIWA NA MAMBA



Mwanamke mmoja nchini Marekani ameuawa na mamba mwenye ukubwa wa futi nane maarufu kama ‘alligator’ baada ya kutaka kumsaidia mbwa wake aliyekuwa anapiga kelele pembezoni mwa bwawa.

Victim Cassandra Cline mwenye umri wa miaka 45, ameuawa na mamba huyo kisha kumzamisha hadi chini ya maji wakati alipokuwa....