Pages

Subscribe:

Friday, April 27, 2018

BABU WA KITAA AKIRI STAREHE NDIYO CHANZO CHA YEYE KUPOTEA KIMUZIKI

Babu wa Kitaa Athibitisha Usemi wa Country Boy
Siku za nyuma kidogo Country Boy alisema kuwa moja ya kitu klichoua muziki wa msanii babu wa kitaa ni kutokana na kuendekeza starehe na kulewa umaarufu na ndio maana ameshindwa kuendelea na muziki wake.

akiongea na radio clouds fm ,Babu wa kitaa alikiri kuwa usemi wa ndugu yake Country Boy ni kweli na kwamba...

IDRIS SULTAN NA JERRY MURO WAJIBIZANA MTANDAONI KISA MAANDAMANO

Idris Ajibizana na Jerry Muro Katika Mitandao ya Kijamii
Msanii  wa maigizo ya uchekeshaji nchini idris sultan ameingia katika majibizano na aliyekuwa mwanahabari jerry muro baada ya Idris kupost clip iliyokuwa ikisapoti maandamano ya amani yaliyotakiwa kufanyika April 26 na  wananchi waliokuwa wakiiipinga serikali.

Idris katika clip hiyo aliwataka watu kuandamna kwa amani na sio vita wala kusababisha kukosekana kwa amani ndipo Jerry Murro nae...

AKOTHEE ATAMANI KUONGEZA MTOTO WA SITA


MSANII mwenye vituko kutoka nchini Kenya, Esther Akothee, kidizaini kama anatamani kuongeza mtoto wa sita baada ya kuacha meseji tata mtandaoni. Mkali huyo wa Ngoma ya Oyoyo ambaye haishi vituko kila kukicha, juzikati aliwapa sapraiz mashabiki wake kwa kusema kuwa endapo atabeba mimba tena, basi lazima kuwe na mkataba.

“Mhmmm vile wanaume walinizalisha na kuniacha hoi! Wakati huu nikibeba mimba ni mpaka contract (mkataba)! Kwanza tuweke account ya mimba! iiitwe...

HARMONIZE: SIJAWAHI KUTAMANI KUFANYA KOLABO NA ALIKIBA


Msanii kutoka label ya WCB, Harmonize amefunguka iwapo yupo tayari kufanya kolabo na Alikiba. Muimbaji huyo amesema hajawahi kutamani kufanya kolabo na msanii huyo na si Alikiba pekee bali na wasanii wengi.

“Lengo la Watanzania wote ni kuona ni kiasi gani tunaweza ku-push muziki wetu na kuupeleka mbali. Sijawahi kutamani kufanya kolabo na Alikiba, sijawahi kutamani kufanya kolabo na...

Download: Walter Chilambo_Only You


Download

Download: Dianond Platnumz_Sijaona


Download

Download: Quizy ft Skelletune_Danadana


Download

Download: RJ The Dj ft Baraka The Prince_Bora Iwe


Download

Download: Willy Paul ft Ben Pol_Mamangu rmx


Download

DIAMOND AANGUKIA MIKONONI MWA BINTI KUTOKA RWANDA


Mara nyingi mastaa wengi hupenda kufanya mahusiano yao siri hadi pale habari zinapovuja ndipo wanaamua kuweka kila kitu wazi. Mara baada ya kuachana na Zari The Boss Lady kumekuwa na tetesi kuwa Diamond anatoka na msichana maarufu hasa katika mitandao nchini Rwanda, Shaddy Boo.

Tetesi zinaibuka wakati kukiwa na stori kama hizo kuwa Diamond amerudiana na mwanamitindo Hamisa Mobetto ambao walifanya mahusiano yao kuwa siri hadi pale...

Tuesday, April 24, 2018

Watch & Download: Omarion_Nudes (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Rouge ft BigStar_Dololo (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Kayumba_Tuongee (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Harmonize ft Diamond Platnumz_Kwangwaru (Lyrics)


Watch Here

Download: Popsound ft DyceValo_You Got Me


Download

Download: Mesen Selekta ft Musiholiq x Target_Kinanda (rmx)


Download

Download: Noble_Kiroba


Download

Download: Kismarty x Galaton_Heshima


Download

ELYCENT ARUDI KUIPANDISHA BENDERA YA YA HIPHOP NCHINI KENYA



Msanii wa muziki wa rap kutoka nchini Kenya, Mwakima Elisha a.k.a Elycent amezungumzia mabadiliko ya biashara ya muziki na ukubwa wa kukubalika kwa muziki wa hip hop na rap tofauti na ilivyokuwa  kipindi cha nyuma.

Akipiga Story na Dizzim Online juu ya mapokezi ya wimbo wake mpya wa ‘Hip Hop Is Back’ , Elycent amethibitisha kuwa muziki wa kuimba ulifanya vizuri kibiashara ambapo amesema kuwa anachokiona ni...

TAKWIMU ZA SIMON MSUVA LIGI YA MOROCCO ZAZIDI KUWA TISHIO

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars anayeichezea club ya Difaa El Jadid ya Morocco Simon Msuva amezidi kuchukua headlines katika Ligi hiyo kwa uwezo wake anaoendelea kuuonesha kila mechi anayocheza.

Msuva hadi sasa ndio mchezaji pekee wa kigeni aliye na magoli mengi Ligi Kuu Morocco akiwa na magoli...

CRYSTAL ATOZWA TSH MIL 1.2 BAADA YA KUTOKULA APPLE KWENYE NDEGE

Mwanamke mmoja kutoka nchini Ufaransa amedai kuwa anakabiliana na faini ya Dola za Marekani 500 sawa na Shilingi za Kitanzania Milioni 1.2 baada ya apple alilokuwa amepewa bure kwenye ndege kukutwa kwenye begi lake.

Mwanamke huyo aliyejitambulisha kwa jina la Crystal Tadlock ambaye alikuwa anasafiri kutoka Paris, Ufaransa kwenda Marekani alipewa apple hilo kama...

TAZAMA PICHA 15 ZA MAZISH YA AGNESS MASOGANGE JIJINI MBEYA

Leo April 23, 2018 Mwili wa Agnes Gerald ‘Masogange’ umezikwa rasmi jioni nyumbani kwao Mbalizi Mbeya. Shuka chini kutazama PICHA 15 kutoka katika mazishi...

VITA YA MIAMBA YA SOKA UEFA CHAMPIONS LEAGUE KUENDELEA LEO


Michuano ya klabu bingwa barani Ulaya inatarajiwa kuendelea hii leo siku ya Jumanne kwa mchezo wa kwanza wa nusu fainali kupigwa dimba la Anfield ambapo Klabu ya Liverpool itakuwa mwenyeji dhidi ya AS Roma.

Liverpool wametinga hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo mikubwa kabisa kwa ngazi ya klabu baada ya...

JEBBY AZIKWA WASANII WATOA KIDOGO WALICHO NACHO KUFANIKISHA MAZISHI


Msanii wa Bongo Fleva, Jebby amezikwa katika makaburi ya Mailimbili mjini Dodoma. Jebby ambaye amewahi kufanya vizuri na wimbo wake wa ‘Swahiba’ alifariki dunia hapo juzi April 22, 2018 mjini Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu.

Kwa mujibu wa mdogo Jebby, Hamis Omary msanii huyo hakubahatika kuwa na mke wala mtoto, pia kuna nyimbo zaidi ya...

MADONNA ASHINDWA KESI YA BARUA YA KUACHWA NA TUPAC



Malkia wa muziki wa Pop kutoka nchini Marekani na mshindi wa tuzo za Grammy, Madonna ameshindwa kesi ya haki ya kulinda kutotolewa kwenye jamii kwa mambo yake binafsi na marehemu Tupac Shakur.

Mwaka jana, mwana mama huyo alikwenda mahakamani kuzuia mnada uuzwaji wa barua ya kutemwa na Tupac. Hata hivyo, jitihada zake hizo...

Download: Into The Badlands Season 3 episode 1

Into the Badlands season 3 backdrops
Into the Badlands season 3 is an action adventure about two friends. In the wilderness of death, what challenges will the main heroes face in the path of enlightenment. For the sake of gaining the highest wisdom, martial arts master Sunny and his young partner decide to go through uncharted lands. They know that there they will be met with hostility, but for the sake of a higher goal, the main characters are ready to endure everything. The plot of the series was based on a Chinese novel entitled “Journey to the West”. During the trip, Sunny will show her skills to the full, and his young friend will be able to learn a lot, and owning his own body, and controlling his own spirit.

Mp4 400MB 


Saturday, April 21, 2018

Watch & Download: Black Rhino ft T Touch x Hard Mad_Panda mnazi (Official Video)


Watch Here

Download: Black Rhino ft T Touch x Hard Mad_Panda Mnazi


Download

Watch & Download: Bright ft Jolie_Mazonge (Official Video)


Watch Here

Download: Linah_Najivunia


Download

Download: Maka Voice ft Chege_Mama J


Download

Download: Sholomwamba ft Tunda Man_Mama


Download

Download: Franga_Nimegundua


Download

Download: Dinno_Bado Upo


Download

Watch & Download: Sean Paul ft Major Laizer_Tip Pon It (Official Video)


Watch Here

Download: Wozu ft s2kizzy_Comboraa


Download

SNURA: MENEJA WANGU HAUSIKI KWENYE MAISHA YANGU YA KIMAPENZI


Msanii wa Muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania, Snura Mushi a.k.a Snuu Sex amesema Meneja wake HK hachangii kitu chochote kwenye mahusiano yake ya kimapenzi.

Akipiga story na Dizzimonline msanii huyu ambae kwasasa anafanya vizuri na kibao chake cha ‘Vumbi la mguu’ amesema meneja wake yupo kwa ajili ya kusimamia kazi zake tu za muziki na...

Friday, April 20, 2018

AMBER LULU: SIJAWAHI KUTAMBULISHWA WALA KUFIKA NYUMBANI KWA PREZZO


Msanii wa Muziki Bongo, Amber Lulu amefunguka kuhusu mipango yake ya kuolewa.

Muimbaji huyo ambaye yupo katika mahusiano na rapper Prezzo kutoka nchini Kenya, amesema ndoa ni majaliwa ya Mwenyenzi Mungu ila anaamini muda wowote ataolewa.
“Ndoa ni majaliwa kwa hiyo any time, Mungu akitujalia mtaona nitavaa sana...

SHOCK NEWZ: AGNESS MASOGANGE AFARIKI DUNIA


Video Queen maarufu nchini Tanzania, Agness Gerald maarufu kama Masogange amefariki dunia jioni ya leo Aprili 20, 2018 katika hospitali ya Mama Ngoma iliyopo Mwenge, jijini Dar es salaam.

Taarifa za kifo hicho zimethibitishwa na ndugu wa karibu na marehemu, Dick Sound ambaye amesema mwili wa marehemu unasafirishwa jioni hii kwenda kuhifadhiwa mochwari- Muhimbili. Kwa mujibu wa Steve Nyerere, Marehemu Agnes 'Masogange' Gerald, alifariki leo Saa 10 jioni katika hospitali ya Dr. NGOMA Mwenge DSM, baada ya...