Pages

Subscribe:

Monday, March 30, 2015

BABU TALE AFUNGUKA KUHUSU KIFO CHA KAKA YAKE ABDUL BONGE

Kifo cha mdau wa muziki nchini ambaye ni mwanzilishi na meneja wa kundi la Tip Top Connection, Abdul  Shaban Taletale, kilichotokea Magomeni-Kagera jijini Dar es Salaam, juzi jioni kimeendelea kuzua utata kufuatia mtuhumiwa wa mauaji mtu aliyetajwa kwa jina la Nassoro Idd kuingia mitini.

Akizungumza na mandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, alisema siku ya tukio Abdul Bonge...

VIDEO YA DIAMOND YAWAKOSHA AFRIKA MAGHARIBI NA KUSINI

Video hiyo inaonesha utamaduni wa mswahili wa pwani ambaye amerithi mambo mengi kutoka kwa waarabu. Hivi ni vitu ambavyo Afrika na dunia nzima imevisoma kwenye historia ya ukoloni. Kupitia video na wimbo wake, Diamond amewapa mashabiki wa muziki wa Nigeria, Ghana, Afrika Kusini na nchini zingine nje ya Afrika Mashariki...

Sunday, March 29, 2015

Download: Belle 9_Shauri Zao


Download

R.I.P: BOSI NA MWANZILISHI WA KUNDI LA TIPTOP CONNECTION ABDU BONGE AFARIKI DUNIA

Tasnia ya muziki wa kizazi kipya jana imepata pigo baada ya muasisi wa kundi la muziki la tiptop Abdul TaleTale (Abdul Bonge) kufariki jioni ya jana jumamosi.
Abdul amefikwa na mauti alipokuwa akikimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala baada ya kusukumwa na kuanguka alipokuwa akiamulia ugomvi wa...

SETELLA TILLYA A.K.A CHAGGA BABY ATOBOA KUWA MIMBA YA ZARI HAJAPEWA NA DIAMOND

In the on going battle between Zari and Chagga Barbie it has been revealed that Zari’s pregnancy is not Diamond’s! Chagga Barbie wrote to remind Zari that she is carrying a baby for a man she named by one name ‘Katunzi’...

NAY AFANYA KWELI... AAMUA KUPIMA DNA

Mwimbaji Nay wa Mitego ametimiza ahadi aliyosema kuwa atapima DNA kujua kama kweli mtoto aliyezaa na Siwema ni wake ama la baada ya Siwema kudai kuwa mtoto huyo si wake bali ni wa Obasanjo. Nay wa Mitego amehabarisha kuwa amepima DNA kwa Mwanakemia mkuu na Kuambiwa kuwa majibu yatatoka mwezi wa nne tarehe 8.

JAY DEE AWEKA WAZI KUWA YEYE NI TEAM KIBA

Kutoka kwenye Account ya Instagram, Mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee (Komando Jide) ameamua kutangaza rasmi yeye ni shabiki wa msanii Ali Kiba. Hii inakuja mara baada ya Ali Kiba kumsupport Jide jana usiku katika show yake bila masharti yeyote huku Ali Kiba akipata shangwe kali kutoka kwa mashabiki.. Lady jay Dee kaandika hivi...

HAWA NDIYO MASTAA WA BONGO HODARI KWA KUFICHA UJAUZITO HADI SIKU WANAPO JIFUNGUA

Kupata mimba ni jambo la heri na heshima kwa mwanamke. Mwanamke anaposhika mimba hujiona amekamilika lakini yule ambaye siku zinakwenda lakini kila akitega hanasi, hujisikia vibaya.

Hata hivyo, suala la ujauzito limekuwa likipokewa kwa hisia tofauti na mastaa wa Bongo. Wapo ambao wakipata mimba, dunia nzima itajua. Watajipiga picha na kuzitundika mtandaoni huku kila sehemu zenye mikusanyiko wakijiachia...

UKARIBU WA WEMA NA IDRIS WAZIDI KUZUA MASWALI.. TAZAMA PICHA ZAO HAPA

 
Hizi ni baadhi ya picha za Staa mrembo kutoka Bongo Movies , Wema Sepetu akiwa pamoja na mshindi wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014, Idris Sultan wakifanya manunuzi kwenye moja ya supermarket hapo bongo. Wawili hawa wameonekana kuwa ni watu wa karibu sana sio tu kwa muonekano wa picha hizi bali hata kwa maneno ya wema wenyewe, kwani kwenye picha hiyo hapo juu Wema aliandika maneno haya;...

Friday, March 27, 2015

Video: Diamond ft Khadija Kopa_Nasema Nawe (Official Video)


Watch Here

BARNABA: DIAMOND SI MWANAMUZIKI WA KWELI ANAIMBA KIUJANJA TU

Jana, Wakati akihojiwa na Mwanadada Shadee kwenye Kipindi cha Clouds E cha Clouds TV, Msanii 'Fundi wa Muziki' kutoka nyumba ya vipaji THT, Barnaba Elias 'Barnaba', pamoja na mambo mengi aliyozungumzia, alitoa maelezo kuhusu wasanii watano anaowakubali na sifa zao Kimuziki ambapo alimtaja Msanii wa BongoFleva Diamond Platnumz kuwa sio 'Mwanamuziki' mwenye kujua kuimba muziki kiufundi.

Akifafanua kauli yake kwa mapana , Barnaba alieleza kwamba...

MAMA DIAMOND HALI SI SHWALI, DIAMOND AGOMA KUSEMA LOLOTE

Tumuombee! Afya ya mama mzazi wa msanii nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz, Sanura Kassim ‘Sandra’ bado si shwari juzikati hali yake ilibadilika ghafla na kuilazimu familia yake kumkimbiza katika Hospitali ya TMJ iliyoko Mikocheni jijini Dar ambako amepewa kitanda. Diamond alipotafutwa kuzungumzia afya ya mama yake aligoma kusema lolote zaidi ya...

JAYDEE: NIKIFA MAZISHI YANGU NATAKA YAWE YA MWALIKO MAALUM

Lady Jaydee haogopi kufa na infact anataka mazishi yake yawe na mwaliko kama vile harusi zilivyo. Katika muendelezo wa post zake ‘controversial’ Lady Jaydee ameweka picha za majeneza mawili ya kifahari ambayo anapenda akifa azikwe. Hata hivyo ana masharti – mazishi yatakuwa ya mialiko maalum na hatopenda mwili wake ufunuliwe...

Wednesday, March 25, 2015

Video: Shetta ft Kcee_Shikorobo [Official Video]


Watch Here

Download: Shetta ft Kcee_Shikorobo


Download

NYUMBA YA DIAMOND YAWA GUMZO JIJINI THAMANI YAKE YASHTUA WENGI

KUKAMILIKA kwa mjengo wa Staa wa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ndiyo habari ya mjini kwa sasa ambapo gumzo zaidi ni kuhusu gharama halisi huku mkandarasi mmoja akikisia kuwa si chini ya sh. mil. 400, Akiuzungumzia mjengo huo baada ya kuuona, mkandarasi mmoja ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini, alithibitisha kuwa mjengo huo unafikia sh...

NAY ACHUKUA KWA MTOTO ANAYE DAIWA KUWA SI WAKE

Nay wa Mitego na Mtoto wakeNay wa Mitego Amesikitishwa na Kauli ya Mzazi mwenzake SIWEMA ambaye wamezaa naye mtoto kwa kusema kuwa mtoto huyo si wa kwake bali ni wa aliyekuwa Mpenzi wake wa zamani Obasanjo. Japo Wahenga wanasema Kitanda hakizai Haramu Nay wa Mitego amehabarisha kuwa...

Tuesday, March 24, 2015

Download: Stamina ft Fid Q_Like Father Like Son

Stamina
Download

ZAMARADI NA RAY C WAINGIA KTK VITA NZITO

Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa ni maneno ya kejeli ya mtangazaji zamaradi mketema kwa mwanamuziki Ray C.

Hivi karibuni Zamaradi aliposti picha ya mwanae kwenye mtandao wa Instagram akim wish Happy birthday, uku aki repost baadhi ya pongezi kutoka kwa...

WANAMGAMBO WA KIISLAM WA ISIL WAPANGA KUISHAMBULIA TANZANIA

Kwa mujibu wa taarifa za kiupelelezi, Dola la kiislamu la ISIL, maarufu kama Islamic state. Linampango wa kujenga himaya yake Afrika mashariki, hasa Tanzania, Ethiopia, Kenya na Somalia. Hii ni kutaka kuungwa mkono na kujitanua zaidi kwenye nchi za Afrika. Pia Dola hilo limekuwa likipanga kuishashambulia Tanzania, hasa miji ya Mwanza na Dar Es Salaam...

Download: Jimmy Chansa_We Mchoyo


Download

Download: : Bonz ft Jux_My Angel


Download

Download: Moni ft Walter Chilambo_Mfano Ongovu Na Imara


Download

HUWEZI AMINI CHOO CHA NYUMBA YA DIAMOND KINA THAMANI YA SH. MIL 70

Diamond Platnumz In my 70Million Pure Gold plated toilet...pupping and Movies Lol!....i can't wait to play dirty game with her tonight ...IN THE MAKING OF STATE HOUSE!!!..thanks alot @Red_interiors i cant wait for the State house to Be Done! Done!"-Diamond captioned this photo

WOLPER AJIVUNIA MPENZI WAKE ALIYE MPA GARI

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Jacqueline Wolper ametupia picha hizi kwenye ukurasa wake mtandaoni na kuziandikia maneno kwa lugha ya “Malkia”. “Being with someone who won't give up on you”. Akaandika tena “Be with someone who is proud to have you. Thug life mentality”. Kauli hizi zinaonyesha mrembo huyu kwa sasa yupo kwenye mahusiano na mtu ambaye anampenda na...

Saturday, March 21, 2015

Download: Jokate ft Ice Prince_Leo Leo


Download

Download: Victoria Kimani_Two Of Dem


Download

Download: Vichekesho Vya Mkude Simba Hapa


Mkude Simba - Kazi Ya Udobi

Mkude Simba - Brazil

Mkude Simba - Dili

Mkude Simba - Mnyama

Mkude Simba - Anaimba

NEY ALEA MTOTO WA OBASANJO PASIPO KUJUA SIWEMA AFUNGUKA UKWELI

Sakata la Nay wa Mitego na Aliyekuwa Mpenzi wake Siwema limeingia ukurasa mpya baada ya Siwema Kumjibu Nay wa Mitego na Kusema mambo makubwa yakushtusha.

Haya ni Maneno aliyosema Siwema baada ya Nay Kumwacha na kumyang'anya Mtoto kwa Shutuma za kumfumania na Mwanaume Kitandani, Siwema: "Daah,siwezi endelea kukaa kimya aisee!! Ts hurt,iko hivi:@nay,naomba usisahau kama ni wewe uliniambia nitafute boyfrnd. tena...

Video: Johnrodgers ft Lulu_Moyo Wangu [Official Video]


Watch Here

DANSA WA DIAMOND AONEKANA MTAANI NA NGUZA ZA MUME WA AUNTY EZEKIEL

Gazeti la Kiu Limetoa Siri kuwa Dansa wa Diamond Moses Iyobo amedaiwa kuanza kurithi mali za mume wa Msanii Aunty Ezekiel, Sunday Demonte Ambaye yupo Gerezani nchini Abu Dhabi akitumikia kifungo cha Miaka Kumi. .

Mali anazodaiwa kurithi Iyobo ni pamoja na nguo anazodaiwa kuonekana nazo mitaani na kwenye Show za Diamond. Chanzo cha ndani kinasema nguo hizo ni zile alizokwenda kuzichukua...

DUDUBAYA ANUSURIKA KUCHOMWA MOTO

Msanii Dudubaya Ameingia katika Skendo nyingine baada ya kushutumiwa kutaka kuiba simu ya mdau mkubwa wa Twanga pepeta ajulikanae kama Mapao ambae alikuwa amekaa naye meza moja pale Mango Garden huku Twanga Peteta wakiburudisha Tarehe 14 March.
Inasemekana Papa Mapao baada ya kutosheka na Burudani aliamka na kuondoka lakini baada ya kufika nje alishtuka kuwa ameacha simu mezani na kurudi lakini alikuta simu haipo na mtu aliyemwacha hapo ni Dudubaya ambae bado alikuwa hapa. Hali ilikuwa mbaya ukumbini kwani baadhi ya mashabiki walipendekeza Dudubaya Asachiwe lakini ghafla...

Friday, March 20, 2015

Download [Two Songs]: T-Pain_Wait A Minute + Hash Tag 2015


T-Pain - Wait A Minute

T-Pain - Hash Tag 2015

Download [Two Songs]: Rihanna_As Real As You And Me + Dancing In The Dark


Rihanna - As Real As You And Me

Rihanna - Dancing In The Dark

ROSE MUHANDO AMKUBALI H-BABA

Mwanamuziki wa Injili kutoka Tanzania Rose Muhando ameleta utata mtandaoni baada ya kutoa sifa za kuonyesha kumkubali Mwanamuziki wa Bongo Fleva H-Baba kwa kazi yake mpya Show Time,Rose Mhando alitoa sifa hizo baada Msanii wa Bongo Fleva H Baba akiwa na Mwibaji wa nyimbo za injili Tanzania Rose Mhando. Baada ya kushuhudia show aliofanya H Baba na wimbo wake mpya wa Show Time. Rose Mhando alinukuliwa akisema kuwa...

WEMA AMGOMEA KAJALA KULA KEKI YA BIRTHDAY

Wema Agomea Kajala Kulishwa Keki
Mrembo na  staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu Jumanne wiki hii akiwa ni mshehereshaji katika sherehe ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa mtoto wa mtangazaji maarufu, Zamaradi Mketema, anadaiwa kugoma  kumtaja Kajala Masanja kama mmoja wa watu waliotakiwa kula keki, Kwenye sherehe hizo zilizofanyika nyumbani kwa mtangazaji huyo jijini Dar, baada ya...

DIAMOND ASHTUSHWA NA HABARI ZA MIMBA YA ZARI KUCHOROPOKA

Mwanamuziki ambaye pia ni Rais wa Wasafi Classic Baby (WCB, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameshangazwa na madai kuwa eti mimba ya mpenzi wake Zarina Hassan ‘Zari’ imetoka na kuwataka Wabongo kuacha tabia ya uzushi. Akizungumzia madai yaliyokuwa yamezagaa mtandaoni kuwa ile mimba yake aliyokuwa akiilea kama yai kwa Zari imechoropoka, Diamond alisema: “Hee! Eti mimba ya Zari imetoka! Wanaosema hivyo...

MASANJA AWAACHA MBALI J DEE NA PROF J KWA KUMILIKI PESA NYINGI ZAIDI

Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania
Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi. Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani kama kidokezo, hapo mwandishi akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni...

Thursday, March 19, 2015

MGANGA AKAMATWA NA KICHWA CHA MTU MKOANI TABORA


Wakati kamatakamata ya waganga wa kienyeji ikiendelea kupamba moto katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, mmoja amenaswa akiwa na viungo vya binadamu, kikiwemo kichwa ambacho bado kilikuwa na nywele zake. Mganga huyo, Nyamizi Makunga (70), mkazi wa Kijiji cha Igurubi wilayani Igunga, Tabora, alitiwa mbaroni juzi. Mbali na viungo hivyo, pia alikutwa na vifaa vingine, zikiwemo...

HIKI NDICHO ALICHO KISEMA NUHU BAADA YA KUPANDA NDEGE KWA MARA YA KWANZA

"My best #Tbt kwa mara ya kwanza napanda ndege asee na Alienitoa ushamba ni baby wangu mwenyewe japo kazaliwa igunga na mimi mtoto wa dar lakini kanipandisha ndege ahahaha. Usimdharau Mtu katika maisha #TBT" Nuhu Mziwanda

DIAMOND AKATAA SHOW YA SH. MIL 54 NCHINI UGANDA

Diamond Platnumz hana njaa na ndio maana alizikataa dola 30,000 ambazo ni zaidi ya shilingi milioni 54 za Tanzania kufanya show nchini Uganda?

Hiyo ni kwa mujibu wa rapper maarufu wa Uganda, Atlas Da African aliyekuwepo nchini wiki hii, baada ya Diamond kuwa chanzo cha kuijaza club Guvnor kwenye All White CIROC Party iliyoandaliwa na mpenzi wake Zari the Bosslady December 18 mwaka jana, makampuni kadhaa yalijitokeza kumtaka msanii huyo afanye show yake mwenyewe...

HII NDIYO LIST YA WANAWAKE WAREMBO ZAIDI BONGO MOVIE

Katika game ya Bongo Movie wapo wanawake wengi sana waliojaaliwa uzuri wa sura na maumbo kupitia maoni ya watu kadhaa nimepata list fupi ya wadada watano ambao ni warembo na wenye mvuto zaidi nao ni...

KWA MARA YA KWANZA DIAMOND AZUNGUMZIA UPASUAJI ALIO FANYIWA ZARI

Zimeonekana picha na video zikumuonesha Diamond Plutnumz akiwa Hospitali akifanyiwa upasuaji wa mguu, magazetini kukawa na Headlines zilizoandikwa kwamba alinusurika kukatwa mguu. Soudy Brown amemtafuta Diamond ambapo ishu ya mguu amesema alifanyiwa upasuaji huo wa mguu kutokana na...

UJAUZITO WA PENNY ILIKUWA KAMA MUVI

IMEVUJA! Ile mimba ya aliyekuwa Mtangazaji wa Efm Radio, Penieli Mungilwa ‘Penny’ ambayo ilijulikana alipachikwa na staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ imezua mzozo upya baada ya kuvuja kwa madai mengine.
Chanzo makini kimeliambia Amani kwamba, tofauti na madai ya Diamond kwamba Penny alitoa mimba yake, lakini kumbe Diamond hakumpa mimba ila ilikuwa ni...

Wednesday, March 18, 2015

Download: Tunda Man ft Matonya_Ugomvi


Download

Download: Kala Jeremia ft Roma_Nchi Ya Ahadi


Download

PICHA: BAADHI YA MATUKIO YA VURUGU ZILIZO ENDELEA BODA YA TUNDUMA

 
Kijana aonesha bomu ambalo bado halija tumia alilo mpokonya askari na kisha kutimua mbio. See more photos...

Download: Ludacris ft Big K.R.I.T_Come And See Me


Download

KAJALA ARUDIANA NA PRODUCER P-FUNK

Mwigizaji wa Kike Kajala Masanja Mwenye ugomvi na Wema sepetu Baada ya Kuchukuliana Mabwana inasemekana kwa sasa ameamua kurudiana na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Producer P-funk Majani ...Ambae ni Baba wa Mtoto wake Anayejulikana kama Paula.