Pages

Subscribe:

Thursday, August 31, 2017

YOUNG DEE ASITISHA KUTOA WIMBO MPYA LEO KISA PICHA CHAFU


Uongozi wa label ya King Cash unaomsimamia rapa Young Dee, umesitisha kuachia wimbo mpya kama ulivyoahidi wiki mbili zilizopita kwa madai ya kupinga kauli ambazo zipo kwenye mitandao ya kijamii kwamba picha hizo zilisambazwa ili waachie kazi mpya.

Jumatano hii uongozi huo ulimfikisha Amber Lulu kituo cha polisi cha Urafiki Ubungo jijini Dar es salaam ili kutoa maelezo ya kwanini aliamua kusambaza picha hizo wakati...

NAY: UPEPO WA DIAMOND NA ALIKIBA HAWANIZUWII KUTOA WIMBO


Msanii wa Bongo Flava, Nay wa Mitego amesema kitendo cha wasanii wakubwa kama Diamond na Alikiba kuachia ngoma zao kipindi hiki hukumzui yeye kuachia ngoma iwapo anataka kufanya hivyo.

Hapo jana Nay wa Mitego aliachia ngoma mpya ‘Makuzi’ zikiwa ni wiki mbili tu zimepita tangu...

ALIKIBA: I MISS YOU YA DIAMOND NI NGOMA KALI, ANGEIPA NAFASI (Audio)


Play Here

MADEE ASHANGAZA WATU BAADA YA KUDAI HAJAWAHI KUWA NA BIFU NA AFANDE SELE



Msanii wa Bongo Flava kutoka Tip Top Connection, Madee amedai hakuwahi kuwa na tatizo na Afande Sele kama ilivyokuwa ikisemekana.

Madee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sikila’ ambayo amemshirikisha Tekno kutoka Nigeria amesema kilichokuwa kinatokea kati yao ni kugongana kwa...

CHEGE WIMBO WANGU NA CHID BENZ UTAKUWA NAMBA MOJA KWENYE ALBAM



Msanii wa Bongo Flava, Chege ameeleza kuwa albamu yake imeshakamilika huku akitolea ufafanuzi ngoma yake na Chid Benz.

Chege amesema albamu ni kitu kikubwa sana ambacho msanii hapaswi kukurupuka, hivyo amejipanga kiasi kwamba kila wimbo ulio...

KESI YA WEMA SEPETU HAKIMU AKANA KUPOKEA MSOKOTO WA BANGI

Hakimu Mkazi Kisutu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imekataa kupokea ushahidi wa msokoto wa bangi na vipisi viwili vya madawa hayo ya kulevya katika kesi inayomkabili mwigizaji Wema Sepetu.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu, Thomas Simba, aliyesema mahakama haiwezi kupokea vielelezo hivyo kwa sababu msokoto wa bangi na vipisi vina...

Story: SIKU SABA KUZIMU (Sehemu Ya 15) - 15


ILIPOISHIA:
“Aisee! Mbona hii inaonekana kuwa ngoma nzito?”
“Ni ngoma nzito kwelikweli, halafu kuna huyu kijana ameingizwa kwenye mtego bila mwenyewe kujua chochote, mpaka namuonea huruma.”

SASA ENDELEA…
“Kwa akili zako unafikiri huyu kijana atakuwa ameingia kwenye mtego mwenyewe akiwa hajui chochote?” “Hajui chochote, hata maelezo aliyokuwa anayatoa, yanaonesha...

WAKAZI: ALICHO KISEMA CHID BENZ HAINA TOFAUTI NA DAYNA NYANGE KUSEMA DRAKE NI SHEMEJI YAKE

Msanii wa muziki wa hip hop bongo Wakazi, ameonyesha kuchukizwa na kitendo cha watu kumdhihaki msanii Chid Benz aliposema kuwa amefanya collabo na marehemu Tupac, na kusema kuwa huenda msanii huyo yuko sahihi kwenye kile alichokifanya. 

Kwenye ukurasa wake wa Instagram Wakazi ameandika ujumbe akionyesha kusikitikishwa na watu waliomuelewa vibaya msanii huyo na kumtuhumu kuwa...

POLISI WATOA TAMKO JUU YA SAKATA LA PICHA ZA UTUPU ZA AMBER LULU

Jeshi la Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam limetoa onyo kwa watu wanaopiga picha za utupu na kuzirusha mitandaoni, huku likisema kuwa litawachukulia hatua watu hao kwani wanavunja sheria. 

Akizungumza na mwandishi, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi (SACP), Lazaro Mambosasa, amesema vitendo hivyo ni...

Download: Dogo Janja_Ngarenaro


Download

Download: Barnaba_Mapenzi Jeneza


Download

SEDUCE ME NA ZILIPENDWA ZAZIDI KUCHUANA SASA ZAFIKIA HAPA



Mafahari wawili wakishindana zinazoumia ni nyasi. ‘Sedece Me’ na ‘Ziipendwa’ zazidi kupigana vikumbo katika Mtandao wa YouTube.

Ngoma ya ‘Sedece Me’ yarudi kwenye kiti chake cha namba moja trending kwenye mtandao huo baada ya kupokonywa nafasi hiyo kwa...

Story: NILILALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI - 11

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (11)
Tulikuwa katika mikono ya wanyang’anyi. Walikwisha tuamuru tushuke chini na tulitii kwa kuzihofia roho zetu kuondolewa na zile bunduki za majambazi.
“Haya, hatua ya kwanza weka simu katika mfuko. Ukikaidi utakiona cha mtema kuni!” aliamrisha jambazi mmojawapo. Kijana aliyebeba mfuko akaanza kukusanya simu zetu. Yangu niliiweka katika...

TAYLOR SWIFT AVUNJA REKODI AFIKISHA VIEWS MILIONI 74 NDANI YA SAA 72

Ni juzi tu staa wa Bongofleva Alikiba alitoa shukrani kwa mashabiki wake baada ya video yake mpya ‘Seduce Me’ kufikisha views milioni mbili ndani ya saa 72 yaani siku tatu na kuweka rekodi ya kuwa msanii wa kwanza Tanzania kuifikia rekodi hiyo.

Sasa huko Marekani rekodi mpya imewekwa pia baada ya mastaa Taylor Swift na Kart Perry kuonekana kushindanishwa sana na mashabiki kila...

THAILAND MWANAMKE KABLA YA KUOLEWA ANATAKIWA AKASOME KOZI HII KWANZA


Kuolewa au kuoa mtu kutoka Taifa lingine ni jambo la kawaida na mara nyingi inapotokea hivyo kuna vigezo vya kawaida tu ikiwa ni pamoja na kufuata taratibu za nchi husika lakini zipo nchi nyingie jambo hilo si rahisi kama kulitaja tu kinywani.

Unaambiwa katika nchi ya Thailand kumeanzishwa utaratibu maalumu wa kutoa kozi ya bure kufundisha wanawake wazawa wa nchi hiyo namna ya...

STUDIO YA RAYVANNY YAANZA KAZI RASMI, DOGO JANJA AWA MSANII WA KWANZA KUREKODI



Je unaufahamu wimbo wa kwanza ambao umeanza kutoka chini ya studio mpya ya Rayvanny, Surprise Music? Basi fahamu kuwa ngoma iitwayo ‘Ngarenaro’ ya Dogo iliyotoka rasmi Jumatano hii ndio imekuwa ya kwanza kutoka chini ya studio hiyo ambapo...

AMBER LULU ATIWA MBARONI BAADA YA KUSAMBAZA PICHA CHAFU


Amber Lulu akiingia kituo cha polisi cha Urafiki Ubungo jijini Dar es salaam hapo jana.

Msanii wa muziki na video vixen, Amber Lulu Jumanne hii alipelekwa kituo cha polisi cha Urafiki Ubungo jijini Dar es salaam kueleza kama anahusika katika kusambaza picha chafu mtandaoni ambazo zinamuonyesha...

DOGO JANJA: NAMPENDA SANA IRENE UWOYA



Msanii wa Bongo Flava, Dogo Janja amezungumzia taarifa zilizokuwa zikidai kuwa anatoka kimapenzi na Muigizaji wa filamu Irene Uwoya. 

Rapper huyo ambaye ameachia ngoma mpya Jana ‘Ngarenaro’ alikiambia kipindi cha XXL cha Clouds Fm kuwa ukaribu wao ulikuwa wa kawaida tu na...

LIVERPOOL WAFANIKISHA KUINASA SAINI YA ALEX OXLADE CHAMBERLAIN



Hatimaye aliyekuwa mchezaji wa Arsenal, Alex Oxlade-Chamberlain amefanikiwa kusaini mkataba wa kujiunga na Liverpool.  Mchezaji huyo amejiunga na Majogoo hao wa Anfield kwa ada ya uhamisho wa paundi milioni 40.

Awali Chamberlain alikuwa akiwaniwa kwa ukaribu na Chelsea ambayo hakufanikiwa kuipata saini yake. Hata hivyo mchezaji huyo amewashangaza mashabiki wengi baada ya...

CHID BENZ: 2PAC YUPO HAI KILASIKU NAONGEA NAYE ANAISHI NCHINI CUBA

Chidi Benz azua jipya mjini, adai 2Pac yuko hai na anaishi nchini Cuba, na wanaongea kila siku na tayari ameshafanya naye ngoma itakayotoka hivi karibuni. 

Chidi Benz ambaye kwa sasa anazungumzwa sana kwa skendo za utumiaji wa madawa ya kulevya, akiongea alisema kuwa  "Maneno yanayoongelewa kwamba 2Pac amefariki siyo kweli, Kila siku ninaongea na 2pac na hata sasa hivi...

PUNDA WAZIDI KUPANDA BEI BAADA YA NYAMA YAO KULIWA KWA KASI

Shirika moja la kutetea wanyama nchini Kenya limesema bei ya Punda imepanda maradufu nchini humo kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya nyama ya mnyama huyo nchini China taifa ambalo hununua kwa wingi bidhaa ya mnyama huyo. 

Kwa mujibu wa shirika hilo, sababu ya bei ya Punda kupanda kwa karibu 200% ni kutokana na ongezeka la...

JUX: NITAFARIJIKA KAMA NTAMUONA VANESSA KWENYE BIRTHDAY YANGU

Msanii wa muziki bongo fleva Juma Jux aonyesha bado anahitaji uwepo wa aliyekuwa mpenzi wake msanii Vanessa Mdee, kwa kushindwa kuvumilia maumivu ya kuachana na kuweka bayana kwamba atafarijika sana endapo atamuona tena kwa mara nyingine. 

Jux amebainisha hayo kupitia ukurasa wake Instagram ambapo  ameandika ujumbe unaohusu kusherehekea siku yake ya kuzaliwa, na kusema miaka ya nyuma alikuwa...

NIYONZIMA: NAWEZA KUPENDA AU KUPENDWA ILA KABULA SIYO TYPE YANGU

Mchezaji wa klabu ya Simba Haruna Niyonzima amefunguka na kusema kwamba muigizaji Miriam Jolwa, Kabula  aliyewahi kutangaza ana mahusiano naye na kwamba hafahamu kwa nini mwanamke huyo aliamua kumchafua  huku akidai siyo 'type' yake.

Niyonzima amedai kuwa wakati Kabula anaongea maneno hayo hakuwepo ndani ya nchi lakini pia aliogopa maneno hayo kwani yalimuharibia kwenye...

DAX: SIANGALII UKUBWA WA JNA LA MWANAMKE WA KUTOKA NAYE

Mwanamitindo wa kiume ambaye anafanya vizuri kwenye ulimwengu wa mitindo Dax Cruz, ameweka wazi vigezo vya mwanamke ambaye anaweza kuwa naye kwenye mahusiano, huku akiweza wazi hajali kama ni maarufu ama la. 

Akizungumza na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, Dax amesema kigezo kikubwa na ngao yake anapotaka kuingia kwenye mahusiano ni...

Wednesday, August 30, 2017

Download: Nay Wa Mitego_Makuzi (Maku)


Nay Wa Mitego - Maku (Makuzi)

Download

Watch & Download: Sajna_Uko Wapi (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Chaba ft Nikki Mbishi x Pinda Bway_Washa Washa (Official Video)


Watch Here

LAMAR AWEKA WAZI KAZI ANAYO IFANYA NJE YA MUZIKI


Producer kutoka studio za Fish Crab Lamar amewaka wazi kazi ngingine ambazo anafanya kwa sasa. Lamar ameiambia XXL ya Clouds Fm kwa sasa anafanya biashara ya kuuza vifaa vya magari na kusimamia Car Wash yake ingawa bado anafanya muziki na kazi zote anazifanya kila siku.

“Mimi kila kitu ni biashara, muziki ni biashara kwa sababu bila muziki nisingefika hapa, muziki umenipatia umaarufu ambao umenipatia...

DIAMOND, LULU NA ALIKIBA WATAJWA KWENYE ORODHA YA HAWA WATU 100 AFRICA



Mastaa wa Bongo Fleva kutoka Tanzania, Alikiba na Diamond Platnumz wametajwa kwenye orodha ya vijana 100 waliochini ya miaka 40 wenye ushawishi zaidi barani Africa kwa mwaka 2017.

Kwenye orodha hiyo iliyotolewa leo na mtandao wa African Youth Awards imemtaja pia muigizaji wa filamu nchini Tanzania mrembo Elizabeth ‘Lulu’ Michael na mwanamitindo...

ALIKIBA: KUMFUNGA MWATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA NI MATESO

Msanii Alikiba amejitosa kwenye suala la dawa za kulevya kwa kumtetea aliyekuwa swahiba wake Chid Benz kwa kusema anapofungwa mtumiaji wa dawa za kulevya ni kumtesa bali anapaswa kupelekwa katika vituo vya afya ili aweze kupatiwa tiba mbadala. 

Alikiba ameeleza hayo baada ya Chid Benz kukamatwa na dawa za kulevya hivi karibuni na Jeshi la Polisi na kuweka chini ya uangalizi mkali wa...

SABABU ZA BARAKAH THE PRINCE KUONDOLEWA ROCKSTAR4000 ZAANIKWA

Baada ya muda mrefu wa maswali juu ya sababu iliyomfanya msanii Baraka The Prince kutoka kwenye lebo kubwa ya muziki ambayo ilimsaini ya Rockstar4000, hatimaye mmoja wa mabosi wa lebo hiyo msanii Alikiba aweka wazi kila kitu. 

Akizungumza kwenye Planet bongo ya East Africa Radio alipokwenda kutambulisha wimbo wake mpya wa 'seduce me', Alikiba amesema...

JUX: NINA KAZI YA KUMLINDA VANESSA MDEE

Msanii Jux amesema sasa hivi ana kazi kubwa ya kumlinda aliyekuwa mpenzi wake, Vanessa Mdee machoni mwa watu ili asiweze kuonekana mbaya kwa chochote atakachokifanya baada ya kuachana kwao. 

Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Jux amesema Vanessa sasa hivi yupo kwenye wakati mgumu katika kufanya...

MAN WALTER: WASANII MNAPOTOA NYIMBO MPEANE NAFASI

August 25, 2017 mwimbaji staa wa Bongofleva Alikiba aliachia video ya wimbo wake mpya unaoitwa ‘Seduce Me’ ambao umekuwa gumzo ambapo saa chache baadaye WCB wakiongozwa na Diamond Platnumz waliachia video yao mpya pia ‘Zilipendwa’ kitendo kilichopokelewa kwa hisia tofauti.

Mmoja wa watu waliopokea tofauti ni pamoja na Producer wa ‘Seduce Me’ Man Water ambaye amekaa na Ayo TV ambapo pamoja na mambo mengine imezungumzia ishu hiyo akisema lazima...

Tuesday, August 29, 2017

FAIDA 6 ZA KULALA BILA NGUO (UTUPU) NYAKATI ZA USIKU



Mara nyingi tumezoea kulala na nguo nyepesi ifikapo usiku, pia kuna watu wengine hujifunika mashuka au blenketi. Kwa mujiu wa makala mbalimbali za afya zinaeleza kuwa si vizuri kiafya kulala na nguo. Hizi ni faida chache za kuto lala na nguo nyakati za usiku.

1. Hutengeneza uhusiano mzuri ukisaidiwa na kichocheo cha Oxytocin.
Natasha Turner, daktari wa...

NYASHINSKI AIKUBALI NYIMBO MPYA YA JUX NA KUSEMA HAYA

Rapa Nyashinski kutoka nchini Kenya ambaye sasa anafanya vyema na ngoma yake 'Aminia' amefunguka na kunyoosha mikono kwa msanii wa bongo fleva Jux African Boy ambaye sasa anafanya vyema na ngoma yake mpya 'Utaniua'. 

Nyashinski alishindwa kuzuia hisia zake juu ya wimbo huo mpya wa Jux na kusema ni moja ya wimbo mzuri na mkubwa ambao huwezi...

NISHER: SINA BIFU NA KUNDI LA WEUSI



Director wa music video Bongo, Nisher amesema uhusiano wake na kundi la Weusi upo vizuri. “Mimi na G Nako hatuna beef, mimi na kampuni nzima ya Weusi hatuna beef. 

Nimetoa Choro Joh Makini amenipa...

IRENE: NILIPO TAKA KUSHOOT VIDEO MAMA ALINIAMBIA NIENDE NA KAKA

Mlimbwende Irene mwenye urembo wake wa haja ambaye alipata umaarufu kwa kuonekana kwenye video za wasanii wa bongo, amesema mama yake alimkataza kufanya kazi hiyo akihofia kupata matatizo kwa mtoto wake huyo. 

Akipiga stori na Big Chawa, Irene ambaye amesema mama yake hakutaka kabisa aonekane kwenye video, na hata alipomruhusu alimtaka...

AFANDE SELE: ALIKIBA ANAKUBALIKA NA WATU WA MJINI DIAMOND WATU WA KAWAIDA


Msanii mkongwe wa muziki, Afande Sele amefunguka kwa kudai kuwa katika utafiti wake mdogo alioufanya amegundua Alikiba ana mashabiki wengi mjini huku Diamond akidai anapendwa sana vijijini.

Wawili hao wamekuwa kwenye ushindani wiki hii baada ya kila mmoja kuachia wimbo mpya huku wimbo wa Alikiba, Seduce Me ukionekana kufanya vizuri mtandaoni.
Wasanii na viongozi wengi wa serikali wamekuwa wakitoa pongezi kwa...

HII NDIYO SABABU ILIYO PELEKEA DUKA LA JUX KUVUNJWA

Msanii Jux ambaye ni mmiliki wa duka linalo uza nguo za 'brand' yake ya 'African Boy', ametoa sababu iliyofanywa duka hilo lipitiwe na bomoa bomoa, katika eneo la Sinza jijini Dar es salaam. 

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Jux amesema duka hilo limevunjwa kwa sababu mwenye nyumba alikuwa na...

HII NDIYO PICHA YA UTUPU NA YOUNG D NA AMBER LULU ILIYO LETA GUMZO



Dakika chache zilizopita picha ya rapper Young Dee akiwa na Amber Lulu imesambaa katika mitandao ya kijamii na kupelekea kuibua sitofahamu.

Hits maker huyo wa Bongo Bahati Mbaya ameamua kutolea ufafanuzi picha hiyo na kueleza kuwa imevuja kimakosa na alikuwa na lengo la...

Watch & Download: Feza Kessy ft Nikki Wa II_Kaa Kijanja (Official Video)




Watch Here

MH MWIGULU: TUTUMIE UJUZI WA WAFUNGWA KUZALISHA MALI


Jana August 28, 2017 Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba wakati wa uzinduzi wa nyumba tano mpya za Maafisa wa Magereza. Arusha ameeleza kuwa ni vizuri wafungwa wenye ujuzi ambao wamemaliza vifungo watumiwe katika shughuli mbalimbali za uzalishaji mali nchini.

Waziri Mwigulu ameyasema hayo wakati anazindua nyumba tano za Maafisa wa Magereza Arusha zenye...

STAA WA MOVIE ZA MAPIGANO CYNTHA ROTHROCK ATUA TANZANIA


List ya mastaa wanaotembelea Tanzania imezidi kuongezeka licha ya wengi wao kutoweka wazi ujio na location wanapokuwa Tanzania lakini hii imekuwa tofauti baada ya mkongwe wa Filamu za mapigano Cynthia Rothrock ‘Lady Dragon’ kuamua kuweka wazi location na kusema yupo Visiwani Zanzibar.

Cynthia Rothrock ni mwigizaji aliyetamba sana na movie za mapigano kabla ya kutua Tanzania alipitia...

DIAMOND HAISHIWI NA VITUKO SASA AJA NA KINGINE HIKI HUKO INSTAGRAM

Usiku wa Augst 28, 2017 staa wa Bongofleva na Boss wa WCB kutokea Tandale Diamond Platnumz ambaye anafanya vizuri kwenye Bongofleva ameamua kutupa jiwe gizani baada ya kuweka post kwenye Instagram yake.

Katika post hiyo ambayo ina maneno yasiyopungua 16 Diamond amewalenga watu wanaoonesha...

Story: SIKU SABA KUZIMU (Sehemu Ya 14) - 14

Seven Days
ILIPOISHIA:
“Tuondoke!” nilisema huku nikiinuka pale nilipokuwa nimekaa kwani tayari kengele ya hatari ililia ndani ya kichwa changu, Raya naye akainuka, tukaanza kuelekea kwenye lango la kutokea nje ya hospitali hiyo lakini cha ajabu zaidi, tukiwa getini tunataka kutoka, nililiona lile gari nalo likija kule tulipokuwepo.

SASA ENDELEA
“Bodaboda! Bodaboda!” niliita kwa sauti huku tukitembea kwa haraka kuelekea nje ya hospitali, lile gari nalo likizidi...

TANGU APRIL MPAKA SASA DAYNA NYANGE HAJAKABIDHIWA TUZO ZAKE ZA BEA



Msanii wa Bongo Flava, Dayna Nyange amefunguka kutokabidhiwa tuzo zake mbili alizoshinda katika BEA Awards, 2017 ambazo hutolewa nchini Nigeria.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Chovya’, amesema alishafanya mchakato wa kupata tuzo hizo kipindi cha nyuma lakini hakufanikiwa na kuna...

LULU: KITU KIZURI UKIKIFANYA KWA NIA MBAYA HAKIFANIKIWI



Mrembo kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Elizabeth Micheal maarufu Lulu ameamua kutupa jiwe gizani katika mtandao wa kijamii wa Twitter ambapo ameandika umeshagundua kitu kizuri ukikifanya kwa nia mbaya hakifanikiwi kwa uzuri wote.

Kupitia mtandao huo Lulu ameandika “Hivi Umeshagundua...

TIMBULO BIG UP KING KIBA MIMI SIYO TEAM MOND WALA KIBA


Bado mpambano mkali unaendelea kupitia mtandao wa YouTube, kati ya video ya ‘Seduce Me’ya Alikiba na’Zilipendwa’ ya WCB, huku msanii wa Bongo Flava Timbulo akiibuka na kutoa somo.

Timbulo, ambaye anahit na ngoma ya Mshumaa ameandika katika mtandao wa Instagram kuwa, wasanii wajifunze kupeana nafasi ya...

Story: NILILALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI - 10

SITASAHAU NILIPOLALA NA MWANAMKE JUU YA KABURI (10)
Kufumba na kufumbua tulifika Singida. Kupika na kupakua tuliingia Tabora. Taratibu tukauacha mkoa huu wa Wanyamwezi, tukafika Kahama mkoani Shinyanga.
Tulifika wilayani hapo saa nne usiku. Ikabidi tulale kwani sheria hazikuturuhusu kusafiri muda ule. Abiria wachache walishuka, wakaenda...

PROF J AFUNGUKA JUU YA SEDUCE ME YA ALIKIBA


Tanzanian HipHop Legend Professor Jay naye alikuwa na machache ya kusema kuhusu wimbo mpya wa AliKiba #SeduceMe.

Kupitia IG Yake Professor Jay anasema...

ALIKIBA: SIMUOGOPI SIMBA MUDA WOWOTE ANAPOTEA

Msanii Alikiba ambaye ni shabiki  wa klabu ya Yanga, amesema haiogopi wala kuihofia timu ya Simba hata kama wameanza vizuri kwa kugawa kichapo katika mechi za awali Ligi Kuu huku akidai mpira unadunda na muda wowote Simba itapotea.

Alikiba ameeleza hayo muda mchache alipomaliza mahojiano kwenye kipindi cha Planet Bongo akiwa ameongozana na mtayarishaji wake...

WAALIMU WAWILI CHINI YA ULINZI BAADA YA KUFANYA MAPENZI NA WANAFUNZI

Walimu wawili waliokuwa wakifanya mazoezi kwa vitendo katika shule ya sekondari ya Kikala wilayani Lushoto mkoani Tanga wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kosa la kufanya mapenzi na wanafunzi wawili wa kidato cha tatu shuleni hapo.

Akizungumza Mkuu wa Wilaya ya Lushoto ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, January Lugangika amesema waalimu wa...

MR BLUE: MUNGU AMENIFANYIA MAMBO MAKUBWA

Msanii Mr. Blue ametoa sababu iliyomfanya kuingia studio na kuimba wimbo wenye kumtukuza Mungu tofauti na wengi walivyo mzoea, na kusema kuwa alifanya hivyo kwa mapenzi yake na shukrani kwa Mungu. 

Akizungumza na mwandishi wetu Mr. Blue amesema kuwa siku zote amekuwa akitumia sanaa yake kufurahisha watu kwenye starehe, lakini...

Monday, August 28, 2017

WATANZANIA KUMI (10) WATAJWA KUWANIA TUZO ZA AFRIMA



Ni Good News nyingine kwenye muziki wa Tanzania baada ya Waandaaji wa All African Music Awards ‘AFRIMA’ wametangaza list ya wasanii wanaowania tuzo katika vipengele mbalimbali kwa mwaka 2017 ambazo hujumuisha Mastaa kibao katika tasnia ya muziki wa Afrika November 10-12, 2017.

Kuna jumla ya wanamuziki 33 waliotajwa kuwania tuzo mbalimbali lakini wamegawanywa katika Kanda Tano ambazo ni...