Pages

Subscribe:

Thursday, March 29, 2018

Download: Stamina ft Chemical x Baraka The Prince_Wivu


Akipangacho Mungu,binadamu huwezi kukizuia/
Aliyekupa ndio aliyeninyima iko siku atanifikiria/
In @therealfidq voice.

Download

Watch & Download: Queen Coco ft Sultan King_Wewe Tu (Official Video)


Watch Here

CAMERA YAKUTWA ZIWANI IKIWA NZIMA BAADA YA KUDONDOKA MIEZI MIWILI ILIYOPITA

Katika hali ya kushangaza huko nchini Marekani, kamera moja ambayo ilipotea baada ya kuanguka ziwani na kukaa huko kwa miaka miwili imepatikana ikiwa nzima.

Inaelezwa kuwa kamera hiyo iliokotwa kwenye ufukwe huko Taiwan ikiwa imefunikwa na matope na uchafu mwingine bila hata kutambulika, lakini ilivyosafishwa ikagundulika kuwa...

MR NICE: SIMKUBALI MSANII YEYOTE NAJIKUBALI MI MWENYEWE


Msanii wa muziki Bongo, Mr. Nice amedai kuwa hamkubali msanii yeyote zaidi yake hata akipewa fursa ya kutaja orodha ya wasanii watano anaowakubali nafasi hizo zote atajipatia yeye.

Muimbaji huyo aliyetamba na style ya Takeu amesema hayo nchini Rwanda alipokuwa akifanya show weekend iliyomalizika. Mr Nice amewataja wasanii...

ADHABU YA ROMA YAFUTWA NA WAZIRI MWAKYEMBE


Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Harisson Mwakyembe leo Machi29, 2018 ametangaza kufuta adhabu ya kufungiwa kwa msanii wa muziki Roma Mkatoliki.

Akizungumza na Waandishi wa Habari katika Ofisi ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam Waziri Mwakyembe amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa Roma Mkatoliki atakuwa huru kufanya shughuli zake za muziki kama ilivyokuwa awali kwa sharti moja la kukamilisha...

JUX: IKIFIKA WAKATI WATU WATAJUA HATUWEZI KUFICHA UJAUZITO

Jux ameeleza hayo wakati alipokuwa anahojiwa na moja wapo ya chombo cha habari nchini Tanzania baada ya kuenea picha ya mpenzi wake Vanessa mitandaoni ikiwa inamuonesha tumbo lake limeja jaa mithiri ya ujauzito.

"Kiukweli Vanessa hana ujauzito ile ni picha tu, labda siku hiyo alikuwa ametoka kula 'ameshiba' na kupigwa picha vibaya ndio ikatokea hivyo. Lakini hakuna kitu kama hicho, hivyo vitu inabidi...

NAY WA MITEGO: BASATA HAWAWEZI KUNIPANGIA CHA KUIMBA


#Mwandishi: Kesho Unaachia Ngoma Mpya Kuna Mabadiliko Gani Katika Wimbo Huo Mpya Kuepuka Kufungiwa Tena.? #BabaYaga: Hakuna Mabadiliko Yoyoteeee Naendelea Na Muziki Wangu Ule Ule Coz Mashabiki Wangu Ndo Wanao Upenda Na Ndio Walio Nipokea Nao✊🏿 #Amshapopo

Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye anajulikana kuwa miongoni mwa wasanii wabishi linapokuja suala la maadili ya kazi zao, Emmanuel Elibariki maarufu kama Nay wa Mitego kwa mara ya kwanza amesalimu amri ya serikali na kuwasilisha kazi yake BASATA kukaguliwa, lakini asema sio sababu ya kumzuia kufanya atakalo.
Akizungumza na Nay wa Mitego amesema ameamua kufanya hivyo ili kukwepa lawama za serikali, lakini bado msimamo wake ni uleule kuwa...

MIMI MARS :SIWEZI KUOLEWA NA MWANAUME WA KABILA LA WAPARE

Msanii ambaye kwa sasa anatamba na kibao chake kipya 'Sitamani' chini ya Mdee Music, Mimi Mars amesema hawezi kujihusisha mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwenye kabila la Mpare kwa madai makabila hayo wanatabia ya ubahili na kujisikia. 

Mimi amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuulizwa swali na ripota wa kipindi hicho kuwa anatamani mwanaume wa...

Download: Wakwanza x Vidy Mb_Sikati Tamaa rmx


Download

Watch & Download: Ervixy ft Mwana FA_Text (Official Video)


Watch Here

Download: Orezi_Ijo Wakanda


Download

FAIZA ALLY ATEMA POVU BAADA YA ZARI KUPATA DILI NCHINI TANZANIA


Tokeo la picha la zari dili nono
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Faiza Ally huenda akawa ni moja ya mastaa ambao wamekasirishwa na kitendo cha mwanamama Zari kupata dili la kutangaza nepi za watoto za Soft Care. 

Faiza Ally amesema kuwa ameshangazwa na kampuni hiyo kumtumia Zari kutoka Uganda kwenye matangazo yao ile hali kuna Watanzania wengi na wenye majina ambao...

DMX AHUKUMIWA MWAKA MMOJA KWENDA JELA

Rapper kutoka nchini Marekani anayeunda kundi la Ruff Ryders, DMX amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela kwa kosa la kukwepa kulipa kodi. 

DMX alikamatwa July mwaka jana, kwa mujibu wa CBS rapper huyo anadaiwa kiasi cha dola milioni 1.7 ambapo inasemekana alifungua akauti benki nyingine na kutumia jina jingine ili kukwepa...

TAMMY THE BADDEST: MSANII ILI UUZE UNATAKIWA UWE NA MUONEKANO


Female Rapper Tammy The Baddest amesema muonekana wa msanii mbele ya mashabiki wake una nafasi katika kuuza muziki wake anaofanya. Tammy amesema kuwa msanii si kuandika nyimbo tu na kuingia studio kurekodi bali hata muonekano wake ni kitu cha kuzingatia.

“Msanii kama msanii hasa mtoto wa kike unatakiwa uwe full package, sio unaonekana tu umefanya muziki basi, no!, you have to sale, ili kuuza ni lazima uwe na muonekano mzuri hata kama una shida mtu...

MSAMI AMZUNGUMZIA UWOYA NA KUDAI HAMJUI DOGO JANJA


Ndoa ya Irene Uwoya na Dogo Janja inazidi kugonga vichwa vya habari, safari hii msanii Msamii aliyekuwa mpenzi wa Irene hapo awali anatajwa sana katika ndoa hiyo.

Msanii na Irene wameacha maswali mengi baada ya hivi karibuni kuanza kusifiana katika mitandao kitu ambacho baadhi ya watu wanadai hakileti picha nzuri katika...

Download: Phyno ft Kranium_One Chance


Download

Watch & Download: Yamungu ft Barnaba_Kaniroge (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Sauti Sol ft Khaligraph Jones_Rewind (Official Video)


Watch Here

Download: Mansu Li ft Chemical_Sina Gari


Download

Watch & Download: Beka Flavour ft Mr. Blue_Tuwe Sare (Official Video)


Watch Here

Download: Nay Wa Mitego (Mr Nay)_Amsha Popo


Download

Download: Harmonize ft Diamond Platnumz_Kwa Ngwaru


Download

Monday, March 19, 2018

CHRISTIANO RONALDO AWA MCHEZAJI WA KWANZA KUFUNGA MABAO MENGI MWAKA 2018

Nyota wa Real Madrid Cristiano Ronaldo amemfunika nyota wa Barcelona Lionel Messi pamoja na washambuliaji wengine akiwa ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi ndani ya mwaka 2018. 

Ronaldo amefanikiwa kufikisha mabao 21 kwenye mashindano yote tangu mwaka 2018 uanze, baada ya jana usiku kufunga mabao 4 kwenye ushindi wa...

MADEE: SIWEZI KUACHA MUZIKI LABDA NIFE

Rais wa Manzese, Madee amesema hana mpango wowote kwa sasa wa kuachana na muziki kama watu wanavyofikilia katika vichwa vyao, kwa madai muziki ndio maisha yake hivyo atafanya mpaka pale kifo kitakapokuja kumchukua. 

Madee ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha 'FRIDAY NIGHT LIVE' (FNL) inayorushwa na EATV baada ya msanii huyo kuonekana kusajili wasanii wake wapya kila...

DIAMOND AWEKA REKODI YOUTUBE AMTUPA MBALI DAVIDO NA WIZKID



Wazungu wanasema ‘Hard work Pays’ huu msemo unajidhihirisha kwa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ambaye kila kukicha anaendelea kuweka rekodi kwenye muziki wake na awamu hii sio views wa kwenye mtandao wa YouTube bali ni Subscribers.

Diamond kwenye akaunti yake ya YouTube tayari amefikisha Subscribers milioni 1+ na kuwa msanii wa muziki wa 8 barani Afrika kuwa na...

Watch & Download: Chemical x Centano_Kilwa Yetu (Official Video)


Watch Here

BLACK PANTHER YAZIDI KUWEKA HISTORIA YAINGIZA BILIONI 1.182.5



Filamu ya ‘Black Panther’ imezidi kufanya vizuri katika mauzo yake duniani. Filamu hiyo imetajwa kuingiza kiasi cha dola milioni 605.4 kwa Marekani ndani ya mwezi mmoja tangu ilipotoka February 16 ya mwaka huu, pia imeingiza kiasi cha dola bilioni 1.182.5 duniani kote. 

Kutokana na kiasi hicho kilichoingiza filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Marvel Studios, imevunja rekodi zilizowahi kuwekwa na filamu kibao kwenye...

Download: Lulu Diva_Homa


Download

MTI WASABABISHA HASARA YA MAMILIONI SERENA HOTEL

Stori ya kuifahamu leo March 19, 2018 ni ya mti mkubwa ambao umeanguka katika hoteli ya kifahari ya Serena jijini Nairobi siku ya Jumamosi, umesababisha hasara ya Mamilioni ya pesa. 

Mti huo aina ya mkaratusi uliharibu magari ya thamani ya wateja waliokuwa wametembelea hoteli hiyo ya kifahari na kuyaachwa yakiwa katika hali mbaya.
Magari aina ya...

Download: Mgalilaya ft Mesen Selekta_Final


Download

WEMA AWASHTUA MASHABIKI BAADA YA KUPOST UA NA KUANDIKA MANENO HAYA

Ku-trend kwa ua rose jeusi kwenye mitandao ya kijamii imekuwa kama ni kitu cha kawaida kwa watu wengi ambapo huenda kukawa kuna dosari katika mapenzi au kuachana kwa wapendanao basi watu hutumia ua rose jeusi kuwajulisha watu kuwa wameachana au kuna dosari katika penzi.

Baadhi ya mastaa wamekuwa waki-post pia ua hilo jeusi kwenye mitandao ya kijamii endapo panapotokea dosari kwenye mapenzi ila kwa upande wa muigizaji na miss Tanzania 2006 Wema Sepetu imekuwa tofauti ambapo amepost...

Sunday, March 18, 2018

Watch & Download: Christian Bella ft Malaika Band_Lamba Lamba


Watch Here

Watch & Download: Timbulo_Post (Official Video)


Watch Here

Download: Kikosi Cha Mizinga ft Chege_Urefu Wa Kamba


Download

FASHION: DAD UGLY SNEAKERS ZAZIDI KUSHIKA CHAT


Ukizungumzia kwenda na wakati basi juua kwa sasa raba zilizopewa jina la ‘Dad Ugly Sneakers’ ndio zinahit sana kitaani hasa kwa mastaa.

Katika ulimwengu huu wa mitindo watu wengi wanapenda kwenda na wakati kwa kuvaa vitu vilivyo na majina makubwa. Mfano:- bidhaa za Louis Vuitton, Balenciaga, Zara na nyinginezo. Ila tokea kuingie trend ya viatu vilivyopewa jina...

ADA VYUO VIKUU NCHINI UJERUMANI YAFUTWA KWA WANAFUNZI WA NJE NA NDANI

Leo March 18, 2018 Nimeipata hii stori kutoka Ujerumani imepitisha sera mpya ya elimu kwa kuondoa aina zote za ada za masomo katika mfumo wa elimu ya juu, na kutoa elimu bure kwa wanafunzi wote wanaotoka ndani na nje ya Ujerumani. 

Sasa wanafunzi wote wanaosoma nchini Ujerumani watakuwa na fursa ya kupata elimu  bure, na kufanya kufanya fursa za elimu katika bara la...

Watch & Download: Weusi ft Christian Bella_Nijue (Official Video)


Watch Here

KITUO CHA RUNINGA CHA NCHINI MAREKANI BET CHAMPONGEZA DIAMOND PLATNUMZ


Kituo cha runinga cha kimataifa cha ‘BET ‘ kimetoa pongezi kwa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya album yake mpya ya ‘A Boy From Tandale’ kuingiza nyimbo tano zinazosikilizwa zaidi kwenye mtandao was iTunes nchini Burkina Faso.

Kituo hicho kimetoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter kwa kuandika ”Hongera Diamond Platnumz kwa kuingiza nyimbo tano zinazosikilizwa zaidi...

WATANZANIA WANNE WAONDOKA NA TUZO ZA HIPIPO NCHINI UGANDA

Usiku wa March 17, 2018 nchini Uganda zilitolewa Tuzo za Hipipo ambazo zinatolewaga kila mwaka nchini humo na kwa siku ya jana zilitolewa katika Ukumbi wa Serena Hotel ya Uganda na Watanzania wanne ambao ni Alikiba, Vanessa Mdee, Diamond na Darassa wameibuka washindi kwenye baadhi ya vipengele.

Alikiba ameibuka mshindi katika kipengele cha Wimbo bora wa mwaka Tanzania Seduce Me, Diamond ameshinda kipengele cha wimbo bora wa mwaka Afrika Marry You na Eneka ikitwaa...

Saturday, March 17, 2018

SIMA SC YAAGA RASMI MASHINDANO YA KOME LA SHIRIKISHO



Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imeyaaga rasmi mashindano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kutoka sare ya 0 – 0 dhidi ya timu ya Al Masry katika mchezo uliyopigwa nchini Misri.

Simba SC imetolewa katika mashindano hayo baada ya kutoka sare ya mabao 2 – 2 jijini Dar es Salaam katika...

FOLLOW US ON INSTAGRAM SMASH JUANITO

Image result for SMASH
Follow our instagram account now by click down here then follow

Follow Here

FEMI ONE AUELEZEA WIMBO WAKE MPYA ZAGAZAGA



Rapper Femi One kutoka nchini Kenya, amefunguka kuhusu wimbo wake mpya wa ‘Zaga Zaga’ na sabau za kumshirikisha Mejja kwenye ngoma hiyo.

Akiongea na Bongo5, rapper huyo wa kike ambaye yupo chini ya lebo ya Kaka Empire, amesema kuwa ngoma hiyo inamliwaza mtu anapokuwa na matatizo na pia ilikuwa ndoto yake ya muda mrefu kufanya...

FAHAMU KITU KUHUSU HII CHOCOLATE YA GHARAMA KULIKO ZOTE DUNIANI

Inawezekana wewe ni moja kati ya watu wanaopenda chocolate kama kitafunwa (snack) lakini je umewahi kuhisi kuna chocolate ya gharama ya juu zaidi kiasi cha kupelekwa kwenye maonyesho ya biashara?.

Basi jana March 16, 2018 chocolate inayodaiwa kuwa ya gharama ya juu zaidi duniani ilipelekwa kwenye maonyesho ya biashara kwenye Mji wa Obidos nchini Ureno.
Chocolate hiyo ambayo ni ya gharama ya Euro 7,728 ambayo ni sawa na Fedha za Kitanzania Shilingi Milioni 20.7, imefunikwa na...

HII NDIYO LIST YA NYIMBO ZA DINI ZILIZO KWENYE ALBAM YA SNOOP DOGG

Staa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani Calvin Cordozar Broadus ambaye wengi wanamfahamu kwa jina maarufu kama Snoop Dogg alitangaza kuachana na muziki wa Hip Hop (kidunia) na kumrudia Mungu kwa kuanza kufanya nyimbo za dini.

March 16 Snoop Dogg ameachia rasmi album ya nyimbo za injili inayokwenda kwa jina la ‘Bible of Love’ mkongwe huyo katika muziki wa Hip Hop March 16 ameachia album yake hiyo ya gospel, baada ya...

Q CHIEF ASHUSHA ZIGO LA LAWAMA KWA PAPII KOCHA

Msanii wa BongoFleva Q Chief ameibuka na kujitetea kuwa hana tofauti yeyote ile na Papii Kocha pamoja na Nguza Vicking ila kuna baadhi ya watu ndio wanataka kuwatia ubaya kuhusiana na kuzimiwa MIC akiwa kwenye jukwaa akitumbuiza. 

Q chief ametoa kauli hiyo akiwa anazungumza kwenye kipindi cha eNewz inayorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV baada ya kupita siku kadhaa tokea msanii huyo kuzimiwa MIC kwenye 'show' ya...

WEMA SEPETU ASHINDWA KUVUMILIA COMMENT ZA MATUSI ACHUKUA HATUA

Muigizaji wa filamu mwenye nyota yake bongo na Afrika Mashariki Wema Sepetu, amedai amevumilia matusi vya kutosha anayotukanwa na kupitia mitandao ya kijamii bila kosa lolote hivyo kwa sasa ataenda nao hatua kwa hatua. 

Wema Sepetu ametoa kauli hiyo alasiri ya jana (Machi 16, 2018) baada ya baadhi ya watu kupenda kumtolea maneno machafu na kumdhihaki kwa jambo ambalo yeye...

Watch & Download: Jux_Fimbo (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Diamond ft Omarion_African Beauty (Clean Video)


Watch Here

Download: Jux_Fimbo


Download

Download: Maua Sama_Nakuelewa


Download