Pages

Subscribe:

Thursday, March 29, 2018

TAMMY THE BADDEST: MSANII ILI UUZE UNATAKIWA UWE NA MUONEKANO


Female Rapper Tammy The Baddest amesema muonekana wa msanii mbele ya mashabiki wake una nafasi katika kuuza muziki wake anaofanya. Tammy amesema kuwa msanii si kuandika nyimbo tu na kuingia studio kurekodi bali hata muonekano wake ni kitu cha kuzingatia.

“Msanii kama msanii hasa mtoto wa kike unatakiwa uwe full package, sio unaonekana tu umefanya muziki basi, no!, you have to sale, ili kuuza ni lazima uwe na muonekano mzuri hata kama una shida mtu...
aone mmmh!, kumpa Tammy show kiasi fulani hapana,” Tammy amefunguka.

Ameongeza kuwa muuoneka wake ndio kila kitu kwake japokuwa muda mwingine inakuwa tabu kwake kwa kuwa baadhi ya mashabiki wake hufikiri ana fedha nyingi kitu ambacho si kweli.

0 comments:

Post a Comment