Pages

Subscribe:

Sunday, March 18, 2018

FASHION: DAD UGLY SNEAKERS ZAZIDI KUSHIKA CHAT


Ukizungumzia kwenda na wakati basi juua kwa sasa raba zilizopewa jina la ‘Dad Ugly Sneakers’ ndio zinahit sana kitaani hasa kwa mastaa.

Katika ulimwengu huu wa mitindo watu wengi wanapenda kwenda na wakati kwa kuvaa vitu vilivyo na majina makubwa. Mfano:- bidhaa za Louis Vuitton, Balenciaga, Zara na nyinginezo. Ila tokea kuingie trend ya viatu vilivyopewa jina...
la ‘Dad Ugly Sneaker’ basi baadhi ya mastaa wameamisha mapenzi yao huko.





Unaweza kuhoji kwa nini viatu vimepewa jina hilo, hii ni kwa sababu ya kuonekano wake kuwa mbaya yaani hauvuti. Watu kama Kim Kardashian, Jade Smith, Bella Hadidi na wengineo wameshatinga raba hizi na ku-roll nazo kitaani.


0 comments:

Post a Comment