Pages

Subscribe:

Thursday, March 29, 2018

CAMERA YAKUTWA ZIWANI IKIWA NZIMA BAADA YA KUDONDOKA MIEZI MIWILI ILIYOPITA

Katika hali ya kushangaza huko nchini Marekani, kamera moja ambayo ilipotea baada ya kuanguka ziwani na kukaa huko kwa miaka miwili imepatikana ikiwa nzima.

Inaelezwa kuwa kamera hiyo iliokotwa kwenye ufukwe huko Taiwan ikiwa imefunikwa na matope na uchafu mwingine bila hata kutambulika, lakini ilivyosafishwa ikagundulika kuwa...
bado ni nzima.

Kamera hiyo iliokotwa na wanafunzi pamoja na walimu wao ambao walikuwa kwenye ufukwe huo na tayari wameanza kumtafuta mmiliki wake kupitia mtandao wa Facebook.

0 comments:

Post a Comment