Pages

Subscribe:

Saturday, March 17, 2018

SIMA SC YAAGA RASMI MASHINDANO YA KOME LA SHIRIKISHO



Klabu ya wekundu wa msimbazi Simba imeyaaga rasmi mashindano ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kutoka sare ya 0 – 0 dhidi ya timu ya Al Masry katika mchezo uliyopigwa nchini Misri.

Simba SC imetolewa katika mashindano hayo baada ya kutoka sare ya mabao 2 – 2 jijini Dar es Salaam katika...
mchezo wake wa awali.
Picha za matukio ya uwanjani

 
 
 
 
 


 

0 comments:

Post a Comment