Pages

Subscribe:

Monday, July 31, 2017

Download: Phyno ft Wande Coal_Zamo Zamo


Download

Watch & Download: Mr Blue ft Jr_Siwezi (Official Video)

Mr Blue Ft JR – Siwezi video

Watch Here

NISHA: UNAWEZA UKAWA FUNDI KITANDANI HALAFU HAUNA NIDHAMU



Baada ya watu kumuandama Nisha kuwa mpenzi wake ni serengeti boy, ameibuka na kusema hakuna kitu kama hicho na si kweli masuala ya kitandani zaidi ndio yanawafanya baadhi ya wastaa wa kike kupenda kutoka kimapenzi na vijana wadogo (serengeti boy).

Muigizaji huyo wa Filamu Bongo amesema kuna vitu vingi vya kuangalia kwa mtu kabla ya kuingia naye katika mahusiano na mambo ya kitandani...

MSAGA SUMU AAMUA KUMCHANA MAKAVU DULLA MAKABILA

Mfalme wa kisingeli Tanzania, Msaga Sumu amefunguka kwa kumtaka Dulla Makabila aache tabia ya kuweka tamaa mbele kwa madai anachokifanya kinaweza kuwaaminisha watu kuwa waimba singeli wote ndivyo walivyo. 

Msaga Sumu amesema hayo baada ya Dulla Makabila kuwa na tabia ya kuchukua 'show' mbili kwenye usiku mmoja katika mikoa tofauti jambo ambalo...

CHEGE: KANUMBA HAJAFA NA BONGO MOVIE


Ikiwa kitaani kuna tetesi kuwa tasnia ya filamu hapa nchini iliyumba na hatimaye kupotea kabisa kwenye ramani baada tu aliyekuwa muigizaji mkali Steven Kanumba kufariki Dunia.

Kutoka Kiumeni Chege Chigunda amedai kuwa haungi mkono hata kidogo kauli hiyo ya Kanumba kuondoka na Bongo Movie yake kwasababu anaamini waasisi wa sanaa zote walikwisha...

WOLPER ATANGAZA KUJA NA APP YAKE KAMA ILIVYO KWA WEMA


Kufuatana na teknolojia inavyozidi kukua siku hadi siku na dunia nzima kuonekana kuelekea huko, mastaa wetu kibongo bongo wameonekana kutobaki nyuma kwa kutumia fursa ambazo wanazipata kutokana na majina yao na vitu kama hivyo.

Baada ya TZ Sweetheart Wema Sepetu kufungua application yake ya simu za mikononi (Smartphones) na kuwa wezesha mashabiki zake kupata...

CHRISTIANO RONALDO KUPANDISHWA KIZIMBANI LEO

Staa wa soka wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania Cristiano Ronaldo, leo Jumatatu ya July 31 2017 atapandishwa mahakamani Hispania kuanza kusikiliza kesi yake ya tuhuma za ukwepaji kodi.

Ronaldo atapandishwa kizimbani akiwa bado hajaanza mazoezi ya maandalizi ya msimu akiwa na Real Madrid,  kesi inayomkabili Ronaldo ni...

WIZKID AZIDI KUWA TISHIO ATENGENEZA ALBUM NDANI YA SIKU MBILI


Inaonekana kwamba baada ya kumaliza Concert yake huko nchini Kenya, Nairobi unaambiwa Wizkid alivyotua tu Nigeria ametengeneza Album ndani ya siku mbili.

Sasa taarifa hiyo ambayo inamwonesha Wizkid kwamba hakuwa na nafasi ya bure bali alikuwa na nafasi ya kuwatengenezea mashabiki zawadi ya ujio wa Album, ambapo taarifa hiyo ilitolewa na...

RAY C AFUNGUKA ADHABU ATAKAYOMPA MWIZI WA ACCOUNT YAKE

Mkongwe wa muziki wa bongo fleva Rehema Chalamila 'Ray C' amedai kumfunga mwizi aliyedukua (hack) ukurasa wake wa Instagram uliokuwa na wafuasi zaidi ya laki tano na kusema kwamba hataweza kuvumilia wezi kuendelea kuwepo mitaani. 

Ray C amefunguka hayo siku chache zilizopita alipokuwepo kwenye Heshima ya Bongo fleva kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa kupitia East Africa radio huku akiesema...

DIAMOND AMZIDI KUMPA JEURI HARMONIZE



Msanii Diamond Platinumz na mmiliki wa label ya WCB, Diamond Platnumz amempa ushauri msaanii wa kwanza kusainiwa katika label hiyo, Harmonize kuhusu maneno ya watu. 

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Eneka’, kupitia mtandao wa Instagram amemtaka Harmonize kutoogopa maneno ya watu katika kazi zake, Diamond ameandika...

DIVA THE BAWSE: MIMI SIYO TEAM KIBA NA SIHITAKI HATA KUSIKIA


Alhamisi ya wiki iliyopita kwenye kipindi cha Ala za Roho cha Clouds fm Diva The Bawse (Mtangazaji) alikuwa na interview na Wachekeshaji wapya wanaokiki mjini kutoka kampuni ya Timamu Ebitoke na Mama Ashura.

Moja kati ya story ambazo zilikiki kinoma kwenye interview hiyo ni story za u-team kwenye game ya Bongo fleva ikiwa siku chache zilizopita alisikika Mama Ashura akifunguka kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa Diamond Platnumz na sio Alikiba, huku Ebitoke yeye ni shabiki wa kutupwa wa...

Sunday, July 30, 2017

DARAJA REFU KULIKO YOTE DUNIANI LAZINDULIWA + VIDEO


Daraja refu zaidi duniani la kuning’inia lenye urefu wa mita 494 limefunguliwa jana nchini Uswizi katika mji wa Zermatt. Daraja hilo lijulikalo kwa jina la Europabrucke lenye maana ya Daraja la Ulaya lina urefu wa mita 494 mita 85 kutoka ardhini litakuwa ndiyo daraja refu zaidi kujengwa likivunja rekodi ya daraja la Reutte la nchini Austria lenye urefu wa mita 405 na mita 110 kutoka ardhini.

Taarifa kutoka Bodi ya Utalii nchini Uswizi zinasema Daraja hilo lina uzito wa tani 8 na limewekwa kifaa ambacho...

Story Audio: Barua Ya Mrembo Kipofu 02

Related image

Play Here 

 Download

Story: SIKU SABA KUZIMU (Sehemu Ya Kwanza) 01


Damu nyingi zilikuwa zinanitoka upande wa kushoto wa kifua changu kiasi cha kunifanya nilowe chapachapa. Nilijitahidi kuinuka pale nilipokuwa nimelala huku damu nyingi zikiendelea kunitoka lakini maumivu makali yalinirudisha chini.

Kwa kutumia mikono yangu miwili, nilijaribu kuminya pale kwenye jeraha kubwa ili kuzuia damu isiendelee kunimwagika lakini nilijikuta...

Download: Reekado Banks_Kiss Me


Download

STAMINA NA ROMA KUJA NA ALBUM YA PAMOJA


Aliyefichua hilo ni Stamina ambaye amesema kutokana na ukaribu wake na Roma wamegundua muziki wao unaendana hivyo wameamua kufanya albamu.

“Kuna albamu ya mimi na Roma imeshamalizika kurekodiwa kama unaona kuna picha tulikuwa studio kwa Manecky na wakina...

EXCLUSIVE: PETITMAN AFUNGUKIA SWALA LA KUMFUMANIA MKEWE ESMA


NDOA ya mastaa wawili, Esma Abdulkadiri na Hamad Manungwa ‘Petit Man’ inadaiwa kuwa kwenye machafuko baada ya juzikati kuvuja madai kuwa, Petit alimfumania mkewe na jamaa mwingine.

Chanzo ambacho kiliomba hifadhi ya jina lake awali kilidai kuwa, wawili hao waliibua varangati la aina yake na kusababisha kufunga...

JOHARI: BADO NAHESHIMIKA SIJAWA USED


Staa wa filamu za Kibongo toka kitambo, Blandinda Chagula ‘Johari’ ametema cheche kuwa hata kama ametumika muda mrefu kwenye tasnia hiyo lakini bado anaheshimika kwa mashabiki wake na siyo ‘Used’ kama wanavyodai mastaa wanaochipukia.

Akizungumza Johari ambaye juzi Ijumaa Julai 28, 2017 ilikuwa ni kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa, alisema anaamini yeye kama staa aliyekuwa akisumbua huko ...

Story: KAHABA KUTOKA CHINA (Sehemu Ya Sita) 06

Related image
Rose alibaki akiwa amepigwa na mshtuko mkubwa, hakuamini kama baba yake ndiye ambaye alisimama mbele ya geti lile. Alikuwa akimwangalia huku akitetemeka kupita kawaida. Hofu kubwa ikaingia moyoni mwake, uso wa baba yake ukaonekana kuwa kwenye hasira kubwa kupita kawaida.

Rose akaihisi miguu yake ikitetemeka sana, alitamanai kurudi kule alipotoka lakini akajikuta akikosa nguvu kabisa za kurudi, Bwana Shedrack alikuwa akitetemeka kwa hasira, kijasho chembamba kilikuwa kikimtoka kwa wakati huo, macho yake yakaanza...

Watch & Download: Goodluck Gozbert_Shukrani (Official Video)



Goodluck Gozbert - Shukurani

Watch Here

Download: Wizkid_Medicine


Download

Download: Goodluck Gozbert_Shukrani


Download

Watch & Download: Q Boy Msafi ft Naiboi_Karorero rmx(Official Video)


Watch Here

OMMY DIMPOZ AFUNGUKA UTOAJI WA VIDEO WA DIAMOND KIMAFUMBO



Msanii Ommy Dimpoz ametaja faida na hasara kwa msanii kutoa video nyingi kwa wakati mmoja. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ya Cheche, ameiambia EA Radio iwapo msanii atatoa video nyingi moja wapo inaweza kufanikiwa na iwapo zote zikifeli atakuwa amejiondoa katika media rotation.

“Kila mtu ana biashara yake na anavyoingalia mipango yake ambayo anahisi inaweza kumsukuma, pengine anataka kuangalia katika hizi tatu ninazotoa moja haiwezi kukataa lakini kuna faida na hasara. Faida yake...

Download: Q Boy Msafi ft Naiboi_Kororero (rmx)


Download

PICHA TATU TATA ZA DAYNA NYANGE ZAVURUGA WANAUME


Msanii wa Bongo Flava, Dayna Nyange ameachia picha katika mtandao zenye utata kidogo. Hitmaker huyo wa Komela ameweka picha hizo katika mtandao wa instagram na kutoandika chochote. Hizi ndizo picha alizoweka...

Watch & Download: Bonge La Nyau ft Baraka The Prince_Homa Ya Mapenzi (Official Video)


Download

MSAMI: UWOYA SIKUMTONGOZA BALI ALINITONGOZA


Mwanamuziki anayefanya poa na ngoma ya 'So Fine' Msami baby amedai hana mawazo ya mpenzi wake wa zamani, msanii wa bogo movie, Irene Uwoya kutoka kimapenzi na msanii Dogo Janja kwani hakuwahi kumtaka bali mwanadada huyo ndiye aliyemtaka wa kwanza. 

Msami amefunguka hayo kwenye FNL ya EATV ijuma hii wakati alipokuwa akijibu swali la mtangazaji wa kipindi hicho kuhusu kupotea kwake kwenye...

Watch & Download: Meda_Nawe (Official Video)


Watch Here

MR NICE: HAKUNA KINACHO ENDELEA KATI YANGU NA WCB VIDEO YA SINA NILILIPWA


Ikiwa vichwa vya Habari kubwa za siku kwenye vyanzo tofauti tofauti vya Habari nchini Tanzania vimesheheni jina la Mkongwe wa Muziki wa Bongo fleva Mr Nice kwa mara nyingine tena baada ya muda mrefu kupita.

Ikiwa ni baada ya mkali huyo kutokea kwenye video ya wimbo mpya wa Harmonize unaokwenda kwa jina la Sina. Wimbo ambao unamzungumzia mtu flani ambaye alipata...

Download: Bonge La Nyau ft Baraka The Prince_Homa Ya Mapenzi


Download

DIAMOND ACHARUKA BAADA YA ZARI KUANDAMWA MTANZAONI


Baada ya Mama Tiffah, Zari Te Boss Lady kustream live kwenye page yake katika mtandao wa instagram akionekana anakula raha na mpenzi wake Diamond Platnumz wapo ambao wamekuwa na comments za tofauti katika kitendo hicho ukizingatia ni siku chache tu zimepiita tangu mrembo huyo afiwe na Mama yake mzazi.

Diamond Platnumz ameamua kutowakalia kimya watu hao na kuwatupia madongo ya saizi yao huku akidai kwamba hii ni time ya...

BARNABA AMPIGIA ASLAY SALUTI KWA KAZI HII



Hitmaker wa Lover Boy, Barnaba amempongeza Aslay kwa namna anavyofanya muziki wake kwa sasa. Muimbaji huyo amesema kwa sasa Aslay yupo vizuri na mashabiki wamempokea vizuri na hasa maeneo ya uswahilini, hivyo Aslay kwake anakuwa msanii bora zaidi kwa sasa.

“Aslay anafanya vizuri kwa sasa, hatumii nguvu, aombi interview, hafanyi interview nyingi sana, ni mtu ambaye amechagua...

Saturday, July 29, 2017

UJAUZITO WA RIHANNA BADO NI KITENDAWILI


Mwanamuziki, Robyn Rihanna Fenty ‘Rihanna’ anadaiwa kuwa mjamzito kutokana na muonekano wake kifuani, usoni, matendo na mavazi.

Kwa mujibu wa mtandao mmoja umedai kuwa, Rihanna anadaiwa kushika ujauzito wa mpenzi wake Bilionea Hassan Jameel ambapo ameongezeka...

Download & Install: Smashkilimanjaro Application For Your Phone

Related image

Download

MAPENZI UCHIZI..!! NISHA ABADILI MPAKA JINA KISA PENZI JIPYA


MSANII wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amebadili jina lake na kujiita Nisha Minhal Azad huku kisa kikidaiwa kuwa amefanya hivyo baada ya kuingia katika uhusiano wa kimapenzi na ‘Serengeti Boy’ anayetumia jina hilo. 

Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na msanii huyo, Nisha amekuwa karibu na ‘Serengeti Boy’ huyo ambaye pia ni msanii wa Bongo Fleva na...

Story: KAHABA KUTOKA CHINA 05

Related image
Peter akaliegesha gari lake nje ya geti la kuingilia katika kambi ya kijeshi ya Lugalo. Kwa kuwa alikuwa ni mtoto wa mwanajeshi, akatoa kitambulisho chake na kisha kumuonyeshea mwanajeshi ambaye alimtaka kufanya hivyo na kisha kuruhusiwa. Akaliendesha gari lake mpaka katika sehemu ya maegesho na kisha kuteremka.

Kichwa chake kilikuwa kwenye mawazo mengi, hakuamini kwamba Bwana Shedrack hakuwa amemwambia Rose kile ambacho alikuwa ameambiwa na baba yake, Bwana Edward. Kitu ambacho alikijua ni...

Listen & Download: Barua Ya Mrembo Kipofu 01 [Simulizi]

Related image

Play Here

Download

Friday, July 28, 2017

RAY C: JAMANI NAMPENDA SANA HUYU MTOTO BEKA FLAVOUR

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ray C ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake 'Unanimaliza' amefunguka na kusema yeye anampenda sana msanii kutoka kundi la Yamoto Band, Beka Flavour na kusema anaamini atafika mbali sana.  

Ray C amesema hayo kupitia kipindi cha Planet bongo kinachorushwa na East Africa Radio alipokuwa kwenye 'Heshima ya Bongo Fleva' na kusema anaposikiliza wimbo wake 'Libebe' anapata...

ABDUKIBA AVUJISHA SIRI YA KAKA YAKE

Msanii Abdukiba ambaye ni mdogo wa Alikiba ametoboa siri kuwa Alikiba anaweza kuachia ngoma yake mpya pindi atakaporudi Tanzania kutokea nchini Kenya ambapo amekwenda kufanya mambo mawili matatu na gavana wa Mombasa Hassan Joho. 

Abdukiba alipoongea na East Africa Radio kupitia kipindi cha PlanetBongo aliweka wazi kuwa Alikiba yupo nchini Kenya na kusema amekwenda kushirikiana na...

Download: Harmonize_Sina (Audio)

Harmonize - Sina

Download

Download: Msami_Wahenga


Download

Download: Future ft Nicki Minaj_You Da Baddest [Audio]

You Da Baddest

Play Here

Download

Download: Dave East ft Chris Brown_Perfect

Perfect

Play Here

Watch & Download: Future ft Nicki Minaj_You Da Baddest (Official Video)

Image result for future ft nicki minaj you da baddest

Watch Here

Watch & Download: Davido ft. Rae Sremmurd & Young Thug_Pere (Official Video)

Image result for Davido-pere

Watch Here

Watch & Download: Harmonize_Sina (Official Video)


Watch Here

SHERIA: NAMNA YA KUPATA AU KUTOA DHAMANA KWA MTU ALIYE CHINI YA ULINZI

DHAMANA NI NINI?
Dhamana ni hatua ambayo mtuhumiwa wa kosa fulani huachiwa huru kwa muda, ili kusubiri hatua za kufikishwa mahakamani, au kama tayari amefikishwa mahakamani husubiri kuendelea na kesi kwa siku zijazo.

Kwa hiyo, ili lije suala la dhamana ni lazima uwe umetuhumiwa polisi au tayari umefikishwa mahakamani. Ileweke kuwa kuna aina kuu mbili za dhamana. Kwanza dhamana ya polisi na pili dhamana ya...

ASLAY AITOLEA MAJIBU KAULI YA BEKA FLAVOUR



Baada ya kauli ya Beka Flavour kuwa hatomvumilia Aslay iwapo atatoa ngoma nyingine, Aslay amesema hilo halina shida. Aslay ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Baby’, amesema hafikirii kuwa kitendo cha Beka Flavour kuhairisha kutoa ngoma ili zisigongane na yake ni kumuhofia kwani ni msanii mzuri mwenye muziki mzuri.

“Mfano mdogo Libebe imepita na hata angeamua kutoa ngoma na mimi zingekutana huku mjini na kila shabiki angependa...

HII NDIYO SABABU INAYO WAFANYA DIAMOND NA AY KUMKUBALI ROSA REE



Only Female Rapper kutoka label ya The Industry, Rose Ree ameeleza sababu ya wasanii wakubwa kuubali muziki wake. Katika nyakati tofauti wasanii kama AY na Diamond walionyesha kuvutiwa na uwezo wa Rapper huyo.

Rosa Ree amesema utofauti aliokuja nao katika game umependwa na wengi kwa sababu hakuufikiria muziki wake katika...