Pages

Subscribe:

Thursday, July 27, 2017

MAKAMUA: HAKUNA KUNDI LA RNB KAMA ILIVYOKUWA WAKALI KWANZA



Member wa kundi la Wakali Kwanza, Makamua ameeleza kuwa mpaka sasa hakuna Crew inayofanya vizuri katika muzki wa RnB kama wao walivofanya wao.

“Kwanza mimi ninachoamini na ninachokiona hakuna Crew ya RnB kama Wakali Kwanza, hakuna Joint ambayo imefanya vizuri kama Wakali Kwanza yenye...
strong basement kama Wakali Kwanza kwa kitu kinachofanyika mpaka hapo walipofikia,”ameiambia Bongo5.

Pia mkali huyo ameeelza kuwaa nalipa nafasi ya juu kundi hilo ambalo muda wowote litarejea kataka ramani ya muziki pia kwa sasa wamekuwa wakijiandaa kurudi kwa kutengeneza hits kali katika studio za MJ Records chini ya Producer Mako Chali.

0 comments:

Post a Comment