Pages

Subscribe:

Tuesday, May 29, 2018

Download: Godzilla_Save My Soul (SMS)


Download

Download: Marina ft Harmonize_Love You


Download

RAYVANNY AFUNGUKA SABABU ZA KUMSHIRIKISHA ROSA REE KWENYE POCHI NENE


Msanii wa muziki Bongo kutoka WCB, Rayvanny ameeleza ni kwanii Rosa Ree ndiye rapper pekee wa kike katika remix ya ngoma yake ‘Pochi Nene’

Muimbaji huyo amesema kuwa kwanza amekuwa akivutiwa na muziki wa Rosa Ree, pili wimbo wenyewe ulimuhitaji Rosa Ree kutokana na...

RUBY: WASANII WAMEKOSA AKILI YA ZIADA KWENYE BIASHARA


Msanii wa Bongo Flava, Ruby amesema kuwa wasanii wameshindwa kufanya biashara ya muziki kutokana na kushindwa kujitengenezea soko lao binafsi. Ruby amesema hayo wakati akieleza sababu za ukimya wake kwenye muziki.

“Kwa sababu napenda vitu vizuri na vyenye kukaa kwenye biashara yangu muda mrefu kwa sababu nilikuwa natengeneza...

WAKAZI AWACHANA WASANII WAKONGWE WANAO OMBA MISAADA KWENYE MEDIA


Msanii wa muziki wa Hop Hop, Wakazi amedai anachukizwa sana na kitendo cha wasanii wakongwe ambao wametumia muda wao vibaya kwenye muziki kulialia kwenye interview na kuomba wasaidiwa.

Rapa huyo amedai kitendo hicho sio kizuri na hakiwezi kuurutubisha muziki wa BongoFleva. “Hamna kitu kinaniboa kama Wasanii wakongwe ambao kila kukicha wanaenda kulia kwenye media ili wapewe support na...

WEMA AKOSEKANA MAHAKAMANI BAADA YA KWENDA INDIA KUFANYIWA UPASUAJI

Msanii Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo May 29, 2018 ili kujitetea katika kesi yake kwa sababu amekwenda nchini India kufanyiwa upasuaji.

Hayo yameelezwa na Mama mzazi wa Wema, Mariam Sepetu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya Wakili wa serikali, Constantine Kakula kuhoji kwanini...

ROMAN ABRAMOVICH APEWA URAIA WA ISRAEL

Moja ya stori ya uifahamu leo May 29, 2018 ni kumhusu miliki wa Klabu ya Chelsea, Roman Abramovich amepewa uraia wa Israeli baada ya Uingereza alikowekeza kushindwa kumpatia Viza.

Abramovich ameshindwa kupewa viza kutokana na mzozo wa kidiplomasia kati ya taifa la Uingereza na Urusi, na yeye...

Download: Hunter ft Dully Sykes_Gambe


Download

Watch & Download: Weusi_Mdundiko (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Marina ft Harmonize_Love You (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Msami_Vipi Kwani (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Best Naso ft Nay Wa Mitego_Hellena (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: The Marafik_Sheba (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Ruby ft The Marafik_Mama J (Official Video)



Watch Here

Watch & Download: Belle 9_Dada (Official Video)


Watch Here

Download: Rosa Ree ft Emtee_Way Up


Download

Download: Ruby ft The Marafik_Niwaze


Download

Download: The Marafik_Sheba


Download

Download: Weusi_Mdundiko


Download

Friday, May 25, 2018

SABABU ZA ALIKIBA KUMTOSA NE-YO KWENYE SEDUCE ME ZAFICHULIWA


Producer anayedondosha hit baada ya hit kutoka kwa Alikiba, Man Walter amefunguka sababu ya muimbaji huyo kuachana na mpango wa kumshirikisha Ne-Yo katika ngoma yake ya Seduce Me.

Man Walter amesema tayari mipango yote ya kufanya kolabo hiyo ilikuwa imekamilika ikiwa ni pamoja na kumtumia vocal ila baadaye walikuja kuona muimbaji huyo alikuwa...

DIAMOND NA PAUL MAKONDA WAGUSWA NA MABADILIKO YA MUZIKI WA MRISHO MPOTO


Hakuna aliyetegemea kama msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto angeweza kutoka na kibao cha wimbo ‘Nimwage Radhi’ akiwa tofauti na kukubalika kila kona na mashabiki wa muziki wake.

Muimbaji huyo alizoeleka na nyimbo kama Sizonje, Njoo Uichukue, Mjomja pamoja nyingine nyingi lakini safari hii akiwa na Harmonize kutoka WCB amekuja...

NICKI MINAJ ABADILI TAREHE YA KUACHIA ALBUM YAKE MPYA



Nicki Minaj ameamua kubadilisha ratiba ya kuachia albamu yake mpya. Mapema mwezi huu katika onyesho la mitindo na mavazi Met Gala lililofanyika mjini New York, malkia huyo wa Hip Hop alisema albamu yake itatoka Juni 15 na itaitwa jina la Queen.

Kupiia mtandao wake wa Twitter, Nicki ameonekana kubadili muda wa kuachia albamu hiyo na kupanga kuiachia...

Watch & Download: Fifth Harmony_Don't Say You Love Me (Official Video)


Watch Here

Download: Belle 9 ft Jay Moe_Kwenye Video


Download

Watch & Download: Jeniffer Lopez ft Dj Khaled x Card B_Dinero (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: Gucci Mane ft Migos x Lil Yachty_Solitaire


Watch Here

Watch & Download: Country Boy ft Nikki Wa Pili_Calabash (Official Video)



Watch here

Watch & Download: Sauti Sol ft Nyashinski_Short N Sweet (Official Video)


Watch Here

Watch & Download: B Gway_Na Stay (Official Video)



Watch Here

Download: Yamoto Band_Barua


Download

Download: Belle 9_Dada


Download

Watch & Download: Mrisho Mpoto ft Harmonize_Nimwage Radhi (Official Video)


Watch Here

Download: Samir_Nitaimba


Download

Download: RAYVANNY Ft. Khaligraph Jones, Godzilla, Rosa ree, Izzo bizness, Counrty Boy, Young dee & Wakorinto - POCHI NENE REMIX | Download

 

Download

Download: B Gway_Na Stay


Download

Tuesday, May 8, 2018

Watch & Download: Mbosso_Alele (Official Video)


Watch Here


NICKI MINAJI AWEKA WAZI UJIO WA ALBAMU YAKE MPYA YA QUEEN


Baada ya kimya cha takribani miaka minne bila ya albamu sokoni, Nicki Minaj anarudi tena kwa kishindo kikubwa. Malkia huyo wa muziki wa Hip Hop ameweka wazi kuwa albamu hiyo itatoka Juni mwaka huu na itaitwa ‘Queen’.

Nicki amesema hayo Jumatatu hii kwenye red carpet ya onyesho la mitindo na mavazi Met Gala lililofanyika mjini New York huku akiwa amevalia gauni la rangi nyekundu lililobuniwa na Oscar de la Renta aliyefariki...

HARMONIZE ATAJA WANAUME 11 WALIOTEMBEA NA WOLPER


Msanii Harmonize kutokea WCB na aliyekuwa mpenzi wake Jacqueline Wolper, sasa drama tele licha ya kuachana na kila mmoja kuwa na maisha yake. 

Msanii Harmonize kutokea WCB na aliyekuwa mpenzi wake Jacqueline Wolper, sasa drama tele licha ya kuachana na kila mmoja kuwa na maisha yake. Harmonize anaingia katika headlines mara baada ya...

MTOTO WA AGNESS MASOGANGE AKATAA SHULE

Mtoto wa video queen maarufu bongo Agnes Masogange ambaye amefariki mwishoni mwa mwezi uliopita,Sania Shaaban, amekataa kusoma shule za bweni ambazo ameahidiwa kusomeshwa na wafadhili, na kutaka kusoma shule za kutwa. 

Akizungumza kwenye Planet Bogno ya East Africa Radio, Sania amesema hataki kukaa mbali na shangazi zake ambao ndio...

NICKI MINAJI NA CARDI B WAKUTANA USO KWA USO METGALA



What A Moment The Female rapper Nicki Minaj amekutana uso kwa uso na Cardi B kwenye Onyesho la Mitindo na Mavazi, #MetGala mwaka 2018.

Wawili hao wamekuwa wakihusishwa kuwa kwenye BEEF hasa baada ya #CardiB kuja kwa kasi kwenye Industry ya Hip Hop na kutishia...

Monday, May 7, 2018

Watch & Download: Monetary_School Girls (Official Video)


Watch Here

Download: Lomodo ft Baraka The Prince_Nafuu


Download

NASTY C ANYAKUA TUZO YA THE HEADIES KIPENGELE CHA AFRICAN ARTIST OF THE YEAR



Rapper NastyC wa Afrika Kusini amefanikiwa kushinda Tuzo ya African Artiste Of The Year katika Tuzo kubwa za Nchini Nigeria, THE HEADIES 2018, zilizofanyika usiku wa kuamkia leo.

Nasty C alikuwa akiwania kipengele hicho na wakali wa Afrika, @Sarkodie x @Casspernyovest x @Sautisol pamoja na Mtanzania pekee kwenye Tuzo hizo...

JORDIN SPARKS AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME NA KUMWITA DJ



Mwimbaji wa Marekani #JordinSparks, amefanikiwa kujifungua mtoto wa kiume, na kumpatia jina la #DJ

@Jordinsparks ambaye aliwahi kutamba na Hits zake, "No Air" na "One Step At A Time", amepata mtoto huyo akiwa ni wa kwanza kwake kwenye penzi lake na...

FAIZA ALLY AMWAGA MACHOZI HADHARANI BAADA YA KUNASA UJAUZITO TENA

Faiza Anasa Mimba Nyingine  Amwaga Chozi Hadharani
Mwigizaji wa sinema za Kibongo ambaye ni mzazi mwenza wa Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) anayetumikia kifungo cha miezi mitano jela, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, Faiza Ally amejikuta akimwaga machozi laivu!

Kwa mujibu wa chanzo makini, hivi karibuni Faiza alinasa ujauzito mwingine wa mtoto wa tatu huku mtoto wake wa pili akiwa na umri wa miezi nane tu kisha ukachoropoka. Chanzo hicho kilitiririka kuwa, Faiza alianza kuumwa bila kujua anaumwa nini baada ya...

JANJA NA IRENE UWOYA WAANZA HARAKATI ZA KUSAKA MTOTO

Irene Uwoya na Dogo Janja Wasaka Mtoto Usiku Kucha
MKALI wa Bongo Movies, Irene Pancras Uwoya na mumewe, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, wamesema kuwa, wapo bize kwa sasa na wamekuwa wakikesha kumsaka mdogo wake Krish ambaye ni mtoto wa mwanamama huyo aliyezaa na mumewe wa awali, marehemu Hamad Ndikumana ‘Kataut’.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti mastaa hao walifunguka kuwa, kwa kipindi hiki cha mvua ndiyo muda sahihi wa kusaka mtoto hivyo wanalifanyia kazi suala hilo kwa...

KUMBUKUMBU YA AJALI YA LUCKY VICENT MNARA WAJENGWA

Mnamo May 6, 2017 Tanzania ilizizima kwa taarifa za ajali iliyohusisha basi la wanafunzi wa shule ya Lucky Vincent ambayo iliua wanafunzi 29, dereva na walimu wawili huko katika mlima Rhotia wilayani Karatu Mkoani Arusha.

Jana May 6 ilikuwa ni kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kutokea kwa ajali hiyo iliyobakiza wanafunzi watatu tu waliokuwa kwenye...

Watch & Download: Childish Gambino_This Is America (Official Video)

Image result for childish gambino_this is america

Watch Here

MITINDO: SOCKS IN SHOES KWA SASA NDIYO HABARI YA MJINI KWA WAKINA DADA



Ni watu wachache sana wanaoweza kuwa na ujasiri wa ku’roll mtaani wakiwa wametinga ‘Socks in Shoes’ karibu katika ulimwengu wa mitindo. 

Kwa sasa fashion ya kuvaa ‘Socks in Shoes’ ndio inafaya poa sana kwa mastaa mbalimbali duniani ila kibongo bongo wapo...

MADJ NCHINI MAREKANI WAGOMA KUPIGA NYIMBO ZA KANYE WEST


Tokeo la picha la Kanye west
Kauli ya Kanye West aliyoitoa wiki iliyopita kwenye mahojiano yake na mtandao wa TMZ akidai kuwa “Watu weusi walichagua kuishi kama watumwa kwa miaka 400“. Huenda ikawa imepokelewa kwa huzuni na jamii ya watu weusi nchini Marekani kwani tayari MaDj wawili wa kituo maarufu cha radio cha 105.1 The Bounce mjini Detroit wamekataa kucheza ngoma zake kwenye kipindi chao.

Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye ukurasa rasmi wa Facebook wa kituo hicho cha Radio, MaDj hao maarufu mjini Detroit,  DJs BiGG na Shay Shay Say  wamesema kuwa...